Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Tuna uzoefu na id zinazofunguliwa hapa jukwaani wakati wa mtawala fulani ili kumpigia debe. Wote wanaofaidika na utawala huo utawaona wakimpamba kiongozi wao ili wapate ulaji. Kuna id za wakati wa JK, kwa sasa ziko kimya kabisa. Kuna id za wakati wa Magufuli, kwa sasa zinapambana na nyie watetezi wake kwa ajili ya maslahi yenu. I'd yako ni ya mwezi uliopita, ukiangalia hii id yako,na nyingine za hivi majuzi ni rasmi kwa ajili ya kumpigia debe mama wa kambo, simply nyie ni wafaidika wa utawala wa sasa fullstop.
iyo kweli mkuu, SINA MASLAHI NA MAMA zaidi ya kuwa kiongozi wangu na mimi raia wake.
 
Mimi ushauri wangu kwa Rais Samia Suluhu Hassan ajipime kwenye uwanja sawa uliokuwa na Tume huru
Mkuu, japokuwa haijaandikwa sehemu yoyote kwenye katiba, lakini siyo kwamba ili kutoongeza kero za Muungano basi SSH angeendelea hadi 2035 kwa kuwa Wazanzibari nao walisubiri nafasi hiyo tangu 1995?
 
Hawezi kudhubutu hilo, wala wanaccm wenzake hawawezi kukubaliana na hilo kwani wanajua fika hawawezi kushinda kihalali kwenye uchaguzi huru.
Mimi ushauri wangu kwa Rais Samia Suluhu Hassan ajipime kwenye uwanja sawa uliokuwa na Tume huru
 
Hawezi kudhubutu hilo, wala wanaccm wenzake hawawezi kukubaliana na hilo kwani wanajua fika hawawezi kushinda kihalali kwenye uchaguzi huru.
Mkuu, CCM iko sehemu mbili za muungano, ni sehemu ipi ilipo CCM unayorejelea kwamba haiwezi kukubali?
 
Tuna uzoefu na id zinazofunguliwa hapa jukwaani wakati wa mtawala fulani ili kumpigia debe. Wote wanaofaidika na utawala huo utawaona wakimpamba kiongozi wao ili wapate ulaji. Kuna id za wakati wa JK, kwa sasa ziko kimya kabisa. Kuna id za wakati wa Magufuli, kwa sasa zinapambana na nyie watetezi wake kwa ajili ya maslahi yenu. I'd yako ni ya mwezi uliopita, ukiangalia hii id yako,na nyingine za hivi majuzi ni rasmi kwa ajili ya kumpigia debe mama wa kambo, simply nyie ni wafaidika wa utawala wa sasa fullstop.
Mimi naamini pana tofauti kubwa ya msingi sana ya dhamira (ama njema au mbaya) kati ya kuficha ID (Pseudo name) na kuweka dhahiri ID (jina la kweli).
 
Kama ni kweli hilo unaloongea basi ni faraja kubwa, ni bora kuongozwa na jeshi kuliko lijamaa la awamu ya 5
Mbona tangu Mwl. Nyerere tunaongozwa na jeshi! Kikatiba Rais ni Afande (Amiri Jeshi Mkuu), hivyo ni mwanajeshi kamili. Hii ni itifaki ya dunia. Dunia yote nchi zinaongozwa na wanajeshi kwa mantiki hiyo. Jeshi linapokea Amri ya juu kabisa kikatiba toka kwa AFANDE AMIRI JESHI MKUU.
 
uhuru wa kutoa maoni usitomike kuandika ujinga
Mkuu, unaweza pia kutumia uhuru wa kutoa maoni kuandika ujinga usiyovunja sheria, ila reaction dhidi ya ujinga usiyovunja sheria inawezakuwa ya kijinga kwa kuongozwa na jazba badala ya hoja na reaction hiyo kubadilika kuwa ujingamkuu (hasa pale reaction hiyo inapowekwa kwenye mizania kubaini mantiki na muktadha) kuliko ule ujinga usiyo wa kuvunja sheria.
 
Mlianza hivi hivi kwa yule dhalim na kilichofuata wote tunakijua, endeleeni tu kumchuria.
Ukimchuria kiongozi wako unajichuria mwenyewe kwasababu huna mbadala hadi uchaguzi mkuu. Kiongozi ni nembo ya nchi, kama huna kiongozi huna nchi na wala huwezi kujiita Mtz. Hakuna Tz bila kiongozi.
 
yo kwamba ulihama toka kwenye mada ukaibua hoja ya ID? Na mimi nikajibu humo humo ulikoenda au siyo mkuu?

Nilimaanisha hizi id zenu za kupamba viongozi sio kwakuwa wana uwezo, bali ni kwakuwa wanawapa ulaji. Ndio maana hizi id zenu zinapotea pindi kiongozi unyempamba akitoka madarakani. Sasa sijui ulikwama wapi?
 
Kiongozi aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura ni mchafu kama wachafu wengine. Kama unamtegemea kiongozi wa aina hiyo ni kwa faida yako binafsi, na wala sio faida kwa taifa.
Ukimchuria kiongozi wako unajichuria mwenyewe kwasababu huna mbadala hadi uchaguzi mkuu. Kiongozi ni nembo ya nchi, kama huna kiongozi huna nchi na wala huwezi kujiita Mtz. Hakuna Tz bila kiongozi.
 
Nilimaanisha hizi id zenu za kupamba viongozi sio kwakuwa wana uwezo, bali ni kwakuwa wanawapa ulaji. Ndio maana hizi id zenu zinapotea pindi kiongozi unyempamba akitoka madarakani. Sasa sijui ulikwama wapi?
Mkuu, sijawahi kusikia Bunge likitenga kasma inayoitwa "ULAJI" wanayopewa watu wanaopamba viongozi kwenye hadhira mbalimbali, na kama kasma nyingine inatumika kwa matumizi hayo basi CAG na TAKUKURU wangeishabaini hayo. Ukumbuke bajeti ikiishapitishwa na Bunge inasainiwa na Rais kuwa sheria ndiyo ianze kutumika, hivyo basi matumizi yasiyo kwenye sheria hiyo (bajeti hiyo) ni haramu na uhalifu.
 
Back
Top Bottom