Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Mnaonaje Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035?

Kiongozi aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura ni mchafu kama wachafu wengine. Kama unamtegemea kiongozi wa aina hiyo ni kwa faida yako binafsi, na wala sio faida kwa taifa.
Hakuna kiongozi mchafu anajipeleka Ikulu mwenyewe automatically, anapelekwa na wanaomchagua, hivyo wanaomchagua ndiyo wachafu na uchafu wao unawaongoza kuchagua kiongozi mchafu. Ni vivyo hivyo natoa mfano kuwa hakuna kiongozi anazaliwa dikteta, ni matendo ya watu ndiyo yanamfinyanga kiongozi kuwa dikteta. Aidha, faida ya kiongozi awe mchafu au msafi ni kwa watu wote waliomchagua na wasiyomchagua. Huwezi kuwa na viongozi wawili Ikulu kwa wakati mmoja; mmoja akiwa msafi kwa ajili ya watu wasafi na mmoja akiwa mchafu kwa ajili ya watu wachafu. Mkuu, kiongozi anayetamalaki madaraka anayatamalaki kwa faida yetu sote mimi na #WEWE.
 
Mkuu inaonekana una uelewa mdogo sana wa mambo, hivi unajua bunge huwa linaidhinisha fungu kwa ajili ya ikulu, na hilo halikagukiwi na CAG? Halafu ni takukuru ipi unayoiongelea hapa yenye weledi wa kuichunguza ikulu?
uu, sijawahi kusikia Bunge likitenga kasma inayoitwa "ULAJI" wanayopewa watu wanaopamba viongozi kwenye hadhira mbalimbali, na kama kasma nyingine inatumika kwa matumizi hayo basi CAG na TAKUKURU wangeishabaini hayo. Ukumbuke bajeti ikiishapitishwa na Bunge inasainiwa na Rais kuwa sheria ndiyo ianze kutumika, hivyo basi matumizi yasiyo kwenye sheria hiyo (bajeti hiyo) ni haramu na uhalifu.
 
Mkuu inaonekana una uelewa mdogo sana wa mambo, hivi unajua bunge huwa linaidhinisha fungu kwa ajili ya ikulu, na hilo halikagukiwi na CAG? Halafu ni takukuru ipi unayoiongelea hapa yenye weledi wa kuichunguza ikulu?
Hakuna taasisi isiyokaguliwa na CAG. Ebu ona hii kama labda ulikuwa hujazaliwa:-
Mnamo tarehe 26/04/2003 kampuni ya Net Group Solutions (NGS) ya Afrika Kusini ilipata baraka za serikali kupewa kandarasi ya kuendesha menejimenti ya Tanesco. Kwa taarifa za ukaguzi wa Tanesco hata Ikulu na jeshi zilikuwa wadaiwa wakubwa wa ankara za umeme, Rais Mkapa (Big Ben) alitoa kibali kwa Net Group Solutions kukusanya madeni yote na Ikulu pamoja na jeshi zikalipa madeni yao baada ya NGS kutishia kukata huduma na kuwapeleka wadaiwa sugu Mahakamani. CAG ana mamlaka ya kukagua taasisi zote. Je, taasisi ya Ikulu si ni ile ile inayotambuliwa na Katiba? Nikusahihishe kwamba CAG ana weledi (professionalism) wa kitaaluma na kitendaji, ni taasisi ya wataalam waliobobea, hakuna mwanaharakati pale CAG anayekagua mahesabu ya taasisi.
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Kwa kipi hasa?
 
Narudia tena, fungu la ikulu halikaguliwi na CAG. Weka reference utakazo lakini ukweli huo hutoubadili.
kuna taasisi isiyokaguliwa na CAG. Ebu ona hii kama labda ulikuwa hujazaliwa:-
Mnamo tarehe 26/04/2003 kampuni ya Net Group Solutions (NGS) ya Afrika Kusini ilipata baraka za serikali kupewa kandarasi ya kuendesha menejimenti ya Tanesco. Kwa taarifa za ukaguzi wa Tanesco hata Ikulu na jeshi zilikuwa wadaiwa wakubwa wa ankara za umeme, Rais Mkapa (Big Ben) alitoa kibali kwa Net Group Solutions kukusanya madeni yote na Ikulu pamoja na jeshi zikalipa madeni yao baada ya NGS kutishia kukata huduma na kuwapeleka wadaiwa sugu Mahakamani. CAG ana mamlaka ya kukagua taasisi zote. Je, taasisi ya Ikulu si ni ile ile inayotambuliwa na Katiba? Nikusahihishe kwamba CAG ana weledi (professionalism) wa kitaaluma na kitendaji, ni taasisi ya wataalam waliobobea, hakuna mwanaharakati pale CAG anayekagua mahesabu ya taasisi.
 
Narudia tena, fungu la ikulu halikaguliwi na CAG. Weka reference utakazo lakini ukweli huo hutoubadili.
Tupe reference na wewe pia, madhali kwenye mada kuu nilisema mwishoni kuwa tupe ushahidi.

Bunge ndiyo inaisimamia serikali japokuwa zote ni mihimili huru na serikali ndiyo mhimili anaoongoza rais, lakini Bunge hilo hilo linaloisimamia serikali bado nalo na mamlaka makubwa hayo linakaguliwa na CAG. Mhimili wa Mahakama ambao uko huru kabisa pia na ambao unatoa haki kwa kila mtu na kwa mihimili iliyobaki nao unakaguliwa na CAG. Madaraka ya CAG yako kikatiba na hakuna nchi hii sehemu ambayo katiba inazuiliwa kutenda mamlaka yake. Soma Katiba ya JMT ya 1977 ibara za 143 na 144 kuhusu CAG na mamlaka yake ya utendaji.
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
 

Interview that lacks substance.

1. What is Chadema doing in Zanzibar if the union is reserved for CCM Mainland and CCM Zanzibar?
2. Article 98 of the current Constitution he has cited does not talk of the Modus Operandi for dissolving the union.
3. The respondent did not prepare for the viva voce thus, lacks substance and therefore zombie some sort of.
4. The interviewer did not edit the content thus, she/he has committed professional suicide.

Just that.
 
Huko Zanzibar sio huku kwetu.
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
 
Mbona mapema sana? 😃😃

lakini anaweza kulichomeka hilo kwenye katiba mpya anayopanga kuifufua after 2025.
Mkuu Mwarobaini,
Unajuwa wengi tunavyodai katiba mpya tunafikiri ni ile rasimu ya Jaji Warioba ndiyo tutakayoletewa kwenye referendum. Hawajui ni rasimu ya Bunge Maalum la Katiba ndiyo tutakayoletewa ambayo Bunge hilo liliihariri (liliijadili na kuirekebisha) rasimu ya Jaji Warioba ndani ya wigo wa sheria iliyoanzisha Bunge Maalum hilo. Tusije tukadai Katiba mpya tukaletewa rasimu ya Katiba iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba alafu tukaanza madai mapya tena ya Katiba mpya; kama mchakato hautaanza upya kwenye White Paper.
 
Hili litakuwa jaribio la kuibaka Katiba yetu, anatakiwa kuongoza kwa mujibu wa Katiba..Tunampenda sana na tunaamini ni mtu ambaye anaheshimu utawala wa sheria.

#LongLiveMama
 
Hili litakuwa jaribio la kuibaka Katiba yetu, anatakiwa kuongoza kwa mujibu wa Katiba..Tunampenda sana na tunaamini ni mtu ambaye anaheshimu utawala wa sheria.

#LongLiveMama
Mkuu,
Tukiacha katiba ambayo haituambii juu ya zamu ya urais kwa pande zote za muungano, hivi kwa mila tu na desturi upande mmoja wa muungano unaweza kutoa rais indefinitely na ikakubalika bila kuzua malalamiko toka upande mwingine? Hapo tunafanyaje? Zanzibar tangu mwaka 1995 miaka 26 haikuwahi kutoa rais wa union hadi sasa Mhe. Samia, vipi kuna dhambi gani hasa kwa watu wa Zanzibar (acha bara ambako mnaona siyo) kama Mhe. Samia akiendelea hadi 2035? Mojawapo ya kero za muungano haiwezikuwa hii kwamba Znz hawajatoa rais wa union kwa muda mrefu?
 
kwani hata akitaka kubadilisha katiba ili aongoze Maisha kuna mtu wa kuhoji basi,zaid ni kelele tu baadaye Maisha yanaendelea
 
Mkuu,
Tukiacha katiba ambayo haituambii juu ya zamu ya urais kwa pande zote za muungano, hivi kwa mila tu na desturi upande mmoja wa muungano unaweza kutoa rais indefinitely na ikakubalika bila kuzua malalamiko toka upande mwingine? Hapo tunafanyaje? Zanzibar tangu mwaka 1995 miaka 26 haikuwahi kutoa rais wa union hadi sasa Mhe. Samia, vipi kuna dhambi gani hasa kwa watu wa Zanzibar (acha bara ambako mnaona siyo) kama Mhe. Samia akiendelea hadi 2035? Mojawapo ya kero za muungano haiwezikuwa hii kwamba Znz hawajatoa rais wa union kwa muda mrefu?
Mkuu cha muhimu ni Katiba inasemaje tukienda hivyo kanda yetu ya ziwa tungedai kumalizia ungwe yetu 🤣 🤣 🤣
 
Nachokoza mada.

Wadau mnaonaje kama Rais Samia akiongezwa muda wa kukaa kwenye dhamana na mamlaka yake hadi 2035? Kwa kuwa Rais Samia alichukuwa nafasi yake kufuatia mauti ya mtangulizi wake mwanzo wa safari na kwamba hakukuwa na utaratibu wa mila na desturi ya uchaguzi bali ilikuwa ni kutimiza matakwa ya katiba.


Kiuhalali na kwa haki kwake, anastahili kuwa wa pili nyuma ya Mwl Nyerere kwa kukaa ofisini kwa miaka 15 kwa maana ya miaka aliyopokea kijiti kwa sharti la katiba na ndipo sasa astahili utaratibu wa mila na desturi yetu ya uchaguzi ambapo anaruhusiwa awamu mbili 2025 – 2035?

Nini maarifa yako, tupe maoni kwa vigezo na ushahidi.
Atoe ajira mpya Kwanza ndo tuongee hayo mengine[emoji23][emoji23]
 
Ungetuwekea ibara na vifungu ingependeza zaidi
Sura ya Pili, Sehemu ya Kwanza, Ibara za 38, 39 na 40.

Ibara ya 40 (1) na (2)

Kifungu (1)
"Bila kuathiri masharti ya mengineyo yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti hicho" Siyo kuteuliwa na Katiba.

Kifungu (2)
"Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika kiti cha Rais"

Mhe. Rais Samia hajachaguliwa, atachaguliwa kwa mara ya kwanza 2025 na hivyo kwa mara ya pili kama atagombea na kushinda 2030 na hivyo kuhitimisha awamu zake 2035.

Bado tunaye sana tu!
 
Mshaanza kumchulia ,atakata MOTO kama Mtangulizi wake....Kuchezea katiba bila ridhaa ya wananchi wenyewe ni mikosi ,wabunge hawatuwakilishi sisi bungeni bali wanawakilisha chama,matumbo yao na serikali.
 
Back
Top Bottom