Umofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
1. Wana access na mitandao masaa 24.
2. Wengi wana uwezo wa kulipia huduma ya internet.
3. Wengi wana nafasi baada ya shughuli zaop zingine.
4. Wapo wenye kufanya kazi mitandaoni kwa malengo mbalimbali.
5. Wengine ndo wanoiendesha nchi hii kwa kuchukua ideas kutoka mitandaoni hivyo mitandao ni sehemu ya kazi zao.
6. Wengine ni kama alivyosema jamaa hapo juu hawana kazi maalum ila wana uwezo mkubwa wa kushinda JF hata masaa 24.
7. Wengine kama mimi tumeopata wito tu wa kuingia JF kutafuta tu kuelimishana kuhusu masuala kadha wa kadha.
Hiyo pesa ndo wawekeza kwenye biashara ndogondogo kama kuchoma chips, car wash, berber shop na zingine. Mimi kibanda changu pale Kwamtogole bado chalipa (nilikifungua 2015) na vijana wangu wapiga kazi kwelikweli. Hivyo nikirudi kule Kibaigwa naingia JF naanza kazi.
Ukiwekeza pesa yako kwenye mifuko kama Vanguard Investment, weye wafuatilia tu mitandaoni ile interest ndo huwa mlo wako. Unakuwa umewekeza kama $50,000 kama kianzio.
Kuna siku waiona kabisa $3000 imeingia waipigia hesabu ndo utaona mtu yupo Dubai na kadhalika.
Hivyo watu hawakai bure hapa JF wengi watumia fursa zilizopo za mitandao.
Halafu usisahau kwamba JF ina majukwaa mengi hivyo kila mwanachama ana uchaguzi aingine jukwaa lipi.
Yaani JF is so Cool.