Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Niite Ngoshi Wane we Boya 😂😂😂😂Mazziyaah 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niite Ngoshi Wane we Boya 😂😂😂😂Mazziyaah 🤣🤣
Kuna aina ya kazi inaruhusu mtu kuwa online muda mwingi. Hasa wanaofanya bishara za maduka, saloon etc.Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
nahisi na free wifi labdaKuna aina ya kazi inaruhusu mtu kuwa online muda mwingi. Hasa wanaofanya bishara za maduka, saloon etc.
aah au sio mkuuWakati wewe unafanya kazi.
Wenzako wengine pesa zao zinawafanyia kazi Wala hawahitaji kuvuja jasho.
Siku hizi maisha sio magumu kama unavyodhani ni kujiongeza tu wapi ujiweke maisha Yako yaende vizuri.
Sio lazima kuvuja jasho zama hizi za information age
Free wifi wapi.. watu wanaweka bando aunt.nahisi na free wifi labda
mana mi jobless ila hunikuti humu sana