Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
Kuna aina ya kazi inaruhusu mtu kuwa online muda mwingi. Hasa wanaofanya bishara za maduka, saloon etc.
 
Wakati wewe unafanya kazi.

Wenzako wengine pesa zao zinawafanyia kazi Wala hawahitaji kuvuja jasho.

Siku hizi maisha sio magumu kama unavyodhani ni kujiongeza tu wapi ujiweke maisha Yako yaende vizuri.

Sio lazima kuvuja jasho zama hizi za information age
aah au sio mkuu
 
Back
Top Bottom