Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
Hahahaha Mimi Niko online siku zote na masaa yote, angalia post yangu nilikua online usiku mzima.

Sisi ndio wale tunaopiganiwa na Mungu
 
Mwanaume kuwa na wivu, kufatilia na vitu usivyohusika navyo, ni aina fulani ya wazimu.
Hana sifa za kuwa mwanaume huyo

Wanaume kamili wako busy na mambo ya maana ye busy JF kufatilia nani kachat na nani, ATOLEWE TU KWENYE KUNDI LA WANAUME.
 
Unaweza kukuta mleta mada ndio kapata kazi wiki iliyopita tu kwenye Duka la Kanjibai Kariakoo,full kutumwa mpaka kuwapeleka Shule kina Sunche na Kapeto,mara atumwe Giligilani Kisutu....Ndio maana ana shangaa kuona mbona watu wengine wapo free sometimes.
🤣🤣🤣👊

Kwamba anakesha anatumwa.
Hapati muda wa kushika simu
 
Hana sifa za kuwa mwanaume huyo

Wanaume kamili wako busy na mambo ya maana ye busy JF kufatilia nani kachat na nani, ATOLEWE TU KWENYE KUNDI LA WANAUME.
Mjini hapa
Achunge sana kiherehere
Atakuja kutobolewa kidonati kimasihara
Kufatilia mambo ya watu hakujawahigi kuwa na mwisho mwema
 
Mjini hapa
Achunge sana kiherehere
Atakuja kutobolewa kidonati kimasihara
Kufatilia mambo ya watu hakujawahigi kuwa na mwisho mwema
🤣🤣🤣🤣🤣
Asije kusema hatujamwambia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji109]

Kwamba anakesha anatumwa.
Hapati muda wa kushika simu
Na ole wako Kanjibai akuone umeshika simu yako hata Kama unaangalia saa,fukuza wwe Mara moja Jumaaa!!
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha

Hawana kazi
 
Na ole wako Kanjibai akuone umeshika simu yako hata Kama unaangalia saa,fukuza wwe Mara moja Jumaaa!!
Hahaha Kanjibai mjomba angu, ndio maana muda wote tuko online Jf
 
Mkuu kuna watu wanafanya kazi online, yan yupo tz anafanya kazi ulaya ni kawaida tu watu wengi wanafanyia kazi home tu... So usiwajudge sana...Upo sawa sawa na bibi yangu alikuwa anaangalia tv akaona nyimbo jamaa wanaimba na kucheza akasema ivi hawa kazi yao ni hiyo hiyo tu watakula nini sasa, ye anaamini ili mtu ale lazima alime 😂😂😂😂, kazi zipo nyingi mkuu za kila aina sio lazima watu wote wafanye kazi inayofanana na wewe, wengine kazi zao ni online content creator, so vile wanavyofanya ni kazi tayari..
 
Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
Wengine ndiyo kazi yao hiyo,ameajiriwa kudeal na social media tu,amepewa target kuhakikisha taasisi yake haichafuliwi kuanzia Dini,vyama vya Siasa, Taasisi za Umma, Taasisi za Bank etc.......ndiyo maana mtu kama huyo kila kinachoingia Jeiefu lazima akione
 
Back
Top Bottom