Konny Joseph
Senior Member
- Aug 28, 2016
- 118
- 199
Una maana gani,watu hawakusema wamagharibu ndio walilianzisha,bali wao ndio wanalisupport kuwepo pale,mana ukiambiwa taifa maana yake ni kundi la watu hata kama hawana ardhi.Eti lilianzishwa na westen! Wana wa Yakobo , Taifa lao lilianzishwa na magharibi! Hilo Taifa lipo kabla ya magharibi.
Wakati wanaenda uhamishoni Misiri hiyo westen ilikuwepo. Wakati wanaenda uhamishoni Babeli, westen ilikuwepo! Ilikuwepo.
Kwa hiyo lilitokea wapi taifa la wapalestine??Sijui unataka ku justify kitu gani?
Kukujibu tu ni kwamba hata taifa la Wapalestina halikuwahi kuwepo
Hivi huko Ulaya waliishi miaka mingapi ao Wayahudi?Hiyo haimaanishi kuwa pale hapakuwepo na Wayahudi. Nimeshsema mara kadhaa, kwamba Wayahudi walikuwepo pale.
Hso waliorudishwa kutoka Ulaya ni matokeo ya wao kuuawa na kuchukiwa huko balani Ulaya na mwisho wakaamua kukubali kurudi nchi yao ya asili kuungana na wenzao waliopo huko.
Hata aliyepelekea Wayahudi kuchukiwa na kuanza kuuawa ni Wayahudi wenyewe. Walipowaomba wenzao warudi kuwasaidia kupambana na wapalwstina au hata wawapatie misaada , wenzao waliwakatalia, maana wenzao tayari walikua na maisha mazuri huko Ulaya. Ndipo likajiunda kundi la vijana wa Kuyahudi lililoamua kuwaharibia wenzao popote walipo. Kundi lile la vijana lilifanikiwa sana, kwani kilichokuja kuwatokea Wayahudi kila mmoja anakijua na baada ya hapo wakakubali kurudi kwao kuungana na wenzao kupambana na Palestine, maana kila nchi walikua either wanachukiwa au wanawindwa.
Baada ya kukubali kurudi, matokeo yake ndiyo meli hizo mnazo share.
Ingawa, kati ya hizo meli ulizo share, kuna meli haihusiani na tukio hilo, sijui hizo nyingine. Ila hiyo moja inahusiana na tukio na na huko Saigon wakati ule vita inafika mwishoni.
Uongo bhna palestina ilikuwepo ukitaka nikule uthibitisho nitakupaSijui unataka ku justify kitu gani?
Kukujibu tu ni kwamba hata taifa la Wapalestina halikuwahi kuwepo
Kwa hiyo nao ni Waarabu?Maeneo ya Jordan, Lebanon, Syria, and Cyprus...kwa kifupi ni maeneo hayohayo ya Mediterranean.
Usipate sana shida, ipo hivi;Hivi huko Ulaya waliishi miaka mingapi ao Wayahudi?
Hapakuwa pia na taifa linaitwa Israel kabla, Palestine ipo muda tu.Moja, unapaswa kuelewa hapajawahi kuwepo taifa la Wapalestina.
Pili, usifikiri kwamba kabla ya hao diaspora pale hapakuwepo na Wayahudi wengine, pale tayari walishakuwepo wengine waliokua wakiishi pale. Hao walikua wakipambania ardhi dhidi ya wapalestina kwa miaka mingi tu.
Hao Diaspora wakati wanarudi pale, walikuta wenzao wapo, usidhani waliondoka wote.
Kwa hiyo wazaramo wakirudi maeneo yao hapa dar tuondoke?Wayahudi wamekuwepo eneo hilo kwa miaka mingi ila walikuja kusambaa maeneo mengi duniani mpaka nchi nyinginezo
Wayahudi sio mara ya kwanza kufukuzwa, walifukuzwa uingereza, walifukuzwa marekani ya kipindi hiko kutokana na mishe mishe zao hasa katika masuala ya fedha
Wachache waliobaki kwenye maeneno yao ya asili huko Israel ya sasa, walipitia tabu na dhulma nyingi kutoka kwa wapalestina kutokana na uwingi wao
Ila makazi hayo ni yao na ndio maana hata majina ya miji mingi eneo hilo yana asili ya kiibrenia na sio kiarabu
Issue ni kuwa baada ya kuondoka muda mrefu waliolowea wameweka makazi ya kudumu hivyo hawataki kutoka
Huu msuguano sidhani kama utaisha
Wakitaka, na wakiwa na mkakati sahihi, wanaweza kuwaondoa "wageni" bila wageni kujua kuwa wanaondolewa. Lakini hilo litafanikiwa tu ikiwa wataweka malengo ya muda mrefu na kuwa tayari kulipa gharama yoyote itakayohitajika ili yatimie. Kwa hiyo, ni lazima wawe na hela na akili.Kwa hiyo wazaramo wakirudi maeneo yao hapa dar tuondoke?
Sikuwahi kuikataa, ninachokikataa ni pale kitendo cha kwamba Pale ilipo nchi yao hivi sasa hawakuwahi kuwepo walikusanywa kutoka Ulaya. Wakati ukweli ni kwamba walikuwepo na waliosababisha wakubali kutoka Ulaya kwenda kule ni wayahudi wenzao.
Kuna jamaa jana alikuja na mfano mzuri sana. Alisema ni sawa na kule Ngorongoro leo hii wamasai wanavyoondolewa na kubakizwa wachache huku wageni wakiongezeka.
Na mimi naongezea, baadaye, waarabu wakiweza kujenga ushawishi wao na kupelekea kukabidhiwa jumla Ngorongoro, halafu Ngorongoro ikaja kuwa nchi yenye mchanganyiko wa wamasai wachache waliobaki na waarabu wengi na labda waarabu kuibafilisha jina la Ngorongoro na waamue kuiita Arabian Land, wakati huohuo wakiishi kwa uhasama na wamasai wachache waliobaki, wakiwakandamiza n.k.
Wamasai nao wakaanza harakati za kudai ardhi yao, na baadaye wafanikiwe kuwashawishi wamasai wemzao wanaoishi Kenya, Tanzania na Somali land wakakubali kurudi kwenye ardhi ya asili yao, basi ndivyo lilivo hili swala la Waisraelu na Wapalestina.
Israel ipo Muhamad hajazaliwa.Huendi kwenda nchi ya watu wakati nchi yako ya asili ipo.Turudi asili yetu,ZIONISM.Sija angalia video clip yako kwa sababu najua hiko overly biased - nani ambaye hajui kwamba Waisrael walishauliwa kwenda Uganda wakakataa - soma vizuri jinsi Taifa la Israel lilivyo anzishwa na western Nations specifically Uingereza na Merikani na kupewa silaha including ndege za vita kuwaonea Wapalestina na kuanzisha makazi taifa ambalo hapo hawali alikuwepo kabisa - lilikuwepo taifa la Palestine sio Israel - Israel ilibuniwa na western Nation for Geopolitical reasons by dividing some hypocritical Arabs nations kutokana na utajiri wa mafuta waliokuwa nao. Waisrael ni binadamu wa ajabu sana na wakatiri, selfish na racists nyie hamjui tu vurugu zote Duniani zinatokana na vyombo vyao vya habari vinavyo eneza habari za uongo na uonezi ili kuvidaidia viwandavyao vyakutengeneza silaha za vita MIC majority ambavyo wamiliki wao wakubwa ni Waisrael hivyo kwao vita ni sehemu ya biashara.