Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

Hata mi nishawah kupata sms za crdb mara mbili nikashangaa sanaa inakuwaje
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Boss,hakuna ktk post ya jamaa kauli inayoonyesha kutaka kuharibu biashara ya mtu hii ameitoa kama tahadhari tu na ni vitu hata mamlaka za kiserikali zinafanya mitandao ya simu inafanya hata bank zinafanya.

Kingine inawezekana system ili-shake hili tatizo likatokea maana system yenyewe nayo ni man made vizuri kama wakala mzoefu hili ungelibeba ukaenda kuwa-challenge bankers unaofanya kazi zao ili waendelee kuboresha sector hiyo ili hata wewe isije ikatokea kwako ikakuletea usumbufu.
 
Ili kuepukana na hayo, hebu fateni taratibu.

Leo umepata sms, ila kuna muda hata sms haziji. Je, ungefuatiliaje hela yako? Mpaka ukaangalie statement urudi, wakala akikubishia?

Ukienda kwa Wakala fata taratibu zinavyopaswa. Fika, naomba kutoa fedha. Omba form ya kujaza.

Jaza vizuri. Kabidhi kadi na form kwa pamoja. Akutolee hela kisha baki na copy yako.

Hii ni in case ikatokea tatizo, utakuwa na pa kuanzia. Chana karatasi endapo utajihakikishia kila kitu kipo sawa. Namaanisha baada ya kupitia statement yako ama kuiangalia kwenye internet banking.

Acheni kufanya mambo kienyeji.
 
Inawezekana ikawa shida ya mtandao maaana kuna siku message ya kutoa hela ila ilikuwa hela za kwenye simu ilionesha nimetoa hela na message zikaja mbili na zinafanana kila kitu.
Ila aende benki yeyote iliyo karibu yake kwa maelezo zaidi na achukue bank statement inaonesha transaction zote na mawakala wote wanakuwa wamesajiliwa na wanatambulika kisheria.
Nami niliwapigia CRDB wakaniambia ilikuwa mtandao
 
Dah mi nahisi ntakua nimepigwa sana maana harakati zangu nyingi natolea kwa wakala siendi ATM na hivi huwa sijui balance yangu imebaki shingapi ndo hata wakinipiga sitajua .
Huo mchezo aliwahi kuchezewa jamaa mmoja mi nikadhani ni makosa ya bahati mbaya kumbe imeshakua hatari
 
Swali ?password alingiza mwenyewe
Au alimpa huyo dada nmb wakala
Password aingize???

Ova
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
hapa umeongea la maana. sasa niambie USALAMA wa hii app ya NMB kwenye play store, maana wajanja wasije weka ya kwao tukajisajili humo (maana huwa tunatakiwa kuweka namba ya ac na namba ya Siri). tujuze hapa mkuu
 
Nimesoma nimeelewa,lakin najaribu kutafakari ujanja uliotumika kutoa miamala 2 ndiyo nashindwa kuelewa. Why?
Wakala anakuomba Kadi,Kisha ana swap na ku insert,wewe ndiye unayeweka namba ya Siri ya Kadi na kutaja kiwango unachotaka kutoa. Machine ipo programmed, mfumo wa benki upo programmed. Nini kinafanyika kufanya double withdrawal ? Japokuwa kupata double alert messages huwa inatokea pia. Tusaidiane hapo
Nami napata shida hapa!! How!?
 
Kwa mtu anayefanya biashara zisizokuwa na muda maalumu ukimwambia habari za ATM hawezi kukuelewa maana ATM haiwezi kukupa zaidi ya 1mill.(nazungumzia NMB though sijauliza karibuni kama utaratibu huo ulibadilishwa ama lah)
Mi natoaga pesa ya bia tu kaka.
 
hapa umeongea la maana. sasa niambie USALAMA wa hii app ya NMB kwenye play store, maana wajanja wasije weka ya kwao tukajisajili humo (maana huwa tunatakiwa kuweka namba ya ac na namba ya Siri). tujuze hapa mkuu
Hakuna njia za ku-counter check baada ya kuweka account namba na neno la siri?
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile

Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mtoa fedha ameweka password mara moja tuu kiongoz ! Nafikir huenda hizi machine za nmb wakala kuna wajanja wanazichezea.
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mawakala mnaiba bhana
 
NMB kwa ujumla ni benki yenye mifumo mibaya na rahisi kuingiliwa na wahuni.

Inasemekana control room ya mifumo yake ipo South Africa.

Kuna lile tawi la Kisarawe ni hovyo sana. Madirisha yapo sita ila moja wapo pekee ndilo linafanya kazi.

Hii benki sijui ilishindaje tuzo ya mwajiri bora wakati wana huduma mbovu.

Historia inaonyesha kwamba NMB ni benki inayoongoza kwa kupigwa fedha nyingi hapa nchini kupitia uporaji.

Kuna uporaji mkubwa umewahi kutokea matawi ya Ubungo, Temeke na Moshi, achilia mbali udukuzi mdogo na mkubwa ukiwemo huu wa mawakala wao.
Duh !
Basi benki nyingi za Bongo zimeoza Kwa kukosa weledi ,wanajazana sifa za kijinga tu
Hasa hizi local banks
Pua pua pua kabisa
Maana hata crdb nao ni wapuuzi wakubwa ,kuna malalamiko mengi ya watu pesa zao kukwapuliwa humo kwenye accounts za crdb ,tena na wafanyakazi wa benki wenyewe
Unprofessionalism Kwa mtanzania ni chanda na pete
Hawa mbwa kwanini hawawezi kujifunza proffesionalism kwa benki za majirani zetu wakenya hawa mfano KCB na Equity ?
 
Back
Top Bottom