Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

Haitakiwi iwe hivyo sasa. Hawa wote uliowasema ni watoa huduma ambao wanatakiwa kuwalinda wateja, hata wateja wawe mazuzu kiasi gani na siyo kuwaibia.
Upo sahihi mkuu....lakini kuna kitu mwanadamu ameumbiwa tamaa,wachache sana wenye kuweza kuishinda hii hali..

Ndo mana kwenye hzi account zetu za pesa tumewekewa password na ni kosa kushare password....pia kwenye madirisha ya bank/sehemu za kutolea fedha wameandika hesabu pesa zako kabla hujampa kisogo counter...
 
Habar za muda huu!

Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta.

Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa ajili ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula.

Basi ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha.

Basi kuangalia pembeni tukaona kuna NMB wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupitia NNB wakala.

Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayari na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa.

Tukiwa tumefika sehemu tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kucheki anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaani hazikutofautina muda. Yaani kiujumla wake zote zinaonehsha saa 10: 10.

Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kwenye simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili.

Nikamshauri jamaa aanglie salio kwenye simu yake na uzuri jamaa anatumia NMB app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona basi huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kwenye kutoa fedha kwa NMB wakala.

Tukashaurina tumalize kazi iliyotuleta then tupitie hiyo sehemu. Basi kazi ikaisha hao ikabidi tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka hivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngapi? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo.

Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap? Jamaa akamjibu inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimya. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara nitakupigia ili urudishe hiyo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hiyo fedha irudi kwenye account yake. Basi hao mimi na jamaa yangu tukasepa, tukiwa njiani tukawa tunajiuliza maswal kadhaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje?

2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje?

Tuweni makini sana na hawa wakala wa bank wakuu.
Cha kwanza ungemuuliza jamaa yako ameweka password mara ngapi!?kama aliweka mara naweza kubaliana na wewe na hili hutokea kutokana na shida ya network lkn kama aliweka password mara moja hii story ni CHAI.
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Imenifikirisha sana! Yaani wakala aingize details, atoe risiti halafu hapo hapo aingize mualama mwingine? Inawezekanaje hiyo?
 
Cha kwanza ungemuuliza jamaa yako ameweka password mara ngapi!?kama aliweka mara naweza kubaliana na wewe na hili hutokea kutokana na shida ya network lkn kama aliweka password mara moja hii story ni CHAI.
Jamaa aliweka password mara moja tuu.
 
Cha kwanza ungemuuliza jamaa yako ameweka password mara ngapi!?kama aliweka mara naweza kubaliana na wewe na hili hutokea kutokana na shida ya network lkn kama aliweka password mara moja hii story ni CHAI.
Jamaa aliweka password mara moja tuu
 
Lengo la uzi huu sio kushutumu mawakala wa bank, lengo la uzi huu ni kutoa tuu elimu kwa wadau kuwa makin unapoenda kutoa fedha kupitia mawakala wa bank. Mm nimetoa tahadhari tuu kwenu, ukienda kutoa fedha kwa wakala wa bank bas kuwa makin na hakikisha unachek balance yako faster. Lakin pia sio mawakala wote wanafanya hizi tabia nadhan wapo wachache wenye tabia hizi. Kama mlisoma maelezo vizur hii sehem kuna mabasi ya mikoan huwa yanapaki kwa ajlil ya abiriia kupata chakula. Sasa mfano abiria ameshuka hapo akaona ngoja nitoe fedha kidogo hapa na yeye anenda zake mwanza ( mfano) inakuwaje?
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ishanitokea hii, huduma inasoma nmetoa hela ATM na hela haiktoka
 
watanzania wapuuzi sana, unaweza kuta mtu ana risk maokoto yake ya mamilioni kadhaa kwa laki mbili tatu, ushaur wa bure kwa yeyote anayesoma ujumbe huu, sehemu pekee yakutolea pesa ni kwenye ATM. Na kingine kama unajijua unahifadhi pesa nyingi kwenye akaunti moja hakikisha una fungua akaunti nyingine kwa benki hyo hiyo au nyingine ili uwe unatoa pesa zako ndogo ndogo za matumizi.Chagua akaunti mama ambayo utakuwa huamishi mara kwa mara zaidi ya kuingizia tu maokoto. SIKU UKIJA KUPIGWA DEKI NA WATU WAJANJA WAJANJA UTAELEWA NINI MAANA YAKE BAADA YA KUHANGAIKA SANA NA POLISI NA MA MENEJA WA BENKI.
Mkuu unamaanisha Benki siyo salama kuhifadhi Pesa?
 
mkuu umefikia hitimisho haraka sana.

kwa case tu ya muda wa miamala kuwa ni mmoja ni dhahiri hilo ni tatzo la kimfumo.

huduma ambayo sidhauri mtu aifanye kupitia nmb ni kutoa pesa kwa kutumia pesa fast,ile haikawiii kukulaza kwa chai na nyanya ndugu.
 
Huyu itakuwa aliingiza password mara mbili either ya kwanza ilifeli ya pili ikakukubali kwa hivo ikawa double withdraw,mtandao ulipokaa sawa zikatoka kwa pamoja..kama issue ni angekuwa kwenye bus abgefatilia tawini pesa yake ingerudi wakala wamesajiliwa kwa kufuata taratibu sons rahisi kufanya fraud ya namna hiyo
Mimi ni wakala naunga mkono hoja yako ishatokea kwa wateja kibaoo.anaingiza kadi mara ya kwanza inamkatalia anaingiza mara ya pili inakubali ....mtandao ukikaa vzr zote zinatoka ...msiwalaumu mawakala ni mtandao wenyewe wa bank wakala hawezi kupa pesa ambayo haijatoka risiti yake..so hata wakala mwenyewe anakuwa hajuai kama umetoa mara mbili..yeye atakuja kuona usiku wakati akifunga mahesabu yake kwamba mtaji wake ni zaidi ya alicho weka.
 
NMB kwa ujumla ni benki yenye mifumo mibaya na rahisi kuingiliwa na wahuni.

Inasemekana control room ya mifumo yake ipo South Africa.

Kuna lile tawi la Kisarawe ni hovyo sana. Madirisha yapo sita ila moja wapo pekee ndilo linafanya kazi.

Hii benki sijui ilishindaje tuzo ya mwajiri bora wakati wana huduma mbovu.

Historia inaonyesha kwamba NMB ni benki inayoongoza kwa kupigwa fedha nyingi hapa nchini kupitia uporaji.

Kuna uporaji mkubwa umewahi kutokea matawi ya Ubungo, Temeke na Moshi, achilia mbali udukuzi mdogo na mkubwa ukiwemo huu wa mawakala wao.
Matawi mengi tellers ukikuta wengi watatu
 
Hapo haiwezekani au maelezo yako hayajatosheleza. Naongea kama agent mzoefu.

Inawezekana
Kama mtoa fedha aliweka namba za Siri mara mbili kitu ambacho hujaeleza. Au tuseme mtoa huduma aliweza kunakiri namba za mteja kama alimtajia kitu ambacho hukusema.

Haiwezekani
Kwa sababu Kila unapotaka kommand ya kutoa pesa ni lazima uweke namba ya siri ya mteja.

Nini kilitokea?
Huyo mtoa huduma si mzoefu wa matumizi ya hiyo mashine, miamala miwili tofauti haiwezi kuwa na muda unaofanana ya 10:10:23, never ni lazima ipishane muda, kitendo Cha kuurudia muamala kinachukua dakika mzima mpaka kukamilika. Haujatupatia taarifa kama jamaa yako hakutafutwa tena na huyo mdada. Kingine usipende kuharibu biashara za watu kwa kisa kimoja, hata kwa ATM kadi zinamezwa na kuna kipindi mtu hajapata huduma ya kutoa pesa lakini ATM inaonyesha umetoa japo ni rare cases.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
unakili sana ndugu hongera sana
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Sawa
 
Mkuu shukrani sana kwa kutukumbusha kuwa makini, Lakini kuweka neno NMB hapo ni kama unawakosea ,coz hapo Mwizi ni huyo mtoa huduma ,ila hiyo NMB inaweza ikaleta tahatuki na kuwaharibia wao kibiashara,

Instead ya kusema NMb wakala ungesema Wakala bado ungeeleweka vizuri
 
Humu wengi Hili haliwahusu, hua wanakomba Yote ikiingia, account zao mda mwingi ukicheki salio halisi ni Negative.
😂😂😂😂😂😂 mkuu mimi ni moja ya watu ambao account yangu hela ikiingia inahama nzima nzima sasa hao mawakala kwangu watasubiri sana
 
Habar za muda huu!

Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta.

Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa ajili ya kuchimba dawa na kupata huduma ya chakula.

Basi ile jamaa anataka kuingia ATM mlinzi akatumbia machine hazina fedha.

Basi kuangalia pembeni tukaona kuna NMB wakala jamaa akaona bora akatoe fedha kupitia NNB wakala.

Jamaa akaingia akatoa fedha na akapewa risiti kuwa ametoa fedha tayari na tukaingia sheli tukajaza mafuta hao tukasepa.

Tukiwa tumefika sehemu tunayoenda jamaa akawa ametoa simu yake kucheki anaoana kuna sms mbili za nmb kuwa ametoa fedha, sms zote zikawa zinaonyesha muda ni huo huo yaani hazikutofautina muda. Yaani kiujumla wake zote zinaonehsha saa 10: 10.

Jamaa akawa amenishirikisha kuwa mbona anaona sms mbili kwenye simu yake na zote za nmb?? Kiwango cha fedha cha kutoa kilikuwa sawa kwa sms zote mbili.

Nikamshauri jamaa aanglie salio kwenye simu yake na uzuri jamaa anatumia NMB app. Jamaa kuchek anakuta fedha imepungua, hapo tukaona basi huyu jamaa atakuwa amepigwa na hao wadada kwenye kutoa fedha kwa NMB wakala.

Tukashaurina tumalize kazi iliyotuleta then tupitie hiyo sehemu. Basi kazi ikaisha hao ikabidi tupitie hapo tulipotoa fedha. Tumefka dada kumuona jamaa kama akashtuka hivi, jamaa akatoa maelezo hapo, dada akamwambia ulitoa fedha saa ngapi? Jamaa akajibu, " nimetoa fedha saa 10.10" Dada akachukua machine yake akaanza kuangalia miamala ya muda huo.

Akaanza mara oooohhh we namba yako inaishia na ngap? Jamaa akamjibu inaishia 60. Dada akaanza mara hapa ngoja. Niangalie salio mara tena hapa miamala mbona ipo mitatu. Sisi tupo kimya. Mara dada akasema andika namba yako hapo kama nikikuta hasara nitakupigia ili urudishe hiyo fedha. Jamaa akaandika namba yake ya simu na hapo dada akatoa hiyo fedha. Jamaa akamuambia dada aitume hiyo fedha irudi kwenye account yake. Basi hao mimi na jamaa yangu tukasepa, tukiwa njiani tukawa tunajiuliza maswal kadhaa

1. Pale abiria wanashuka kupata chakula mfano ameenda kutoa fedha akapigwa inakuwaje?

2. Kama simu yako hujaunganisha na bank ili wawe wanakutumia sms ukitoa fedha au kuingiziwa fedha inakuwaje?

Tuweni makini sana na hawa wakala wa bank wakuu.
Mimi tangu mwaka 2017 sijawahi kutoa fedha kwa wakala. Kwa wakala naenda kuweka tu
 
Back
Top Bottom