Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

kama huna fedha wewe songa mbele wenzako watanunua.
Watanzania tuna tatizo la exposure. Watu wengi wanadhani maisha wanayoishi Tanzania ndiyo yalivyo dunia nzima. Ulaya simu kama Iphone ni kitu affordable kwa kila mtu na wala ukiwa nayo hakuna anayekuangalia mara mbili eti una simu nzuri au ya bei. Sasa unakuta wenzako huku kwa kina kamchape ambako watu wanaishi kwa show off na kununua iphone ni mpaka mtu utambike, wanadhani dunia yote iko hivyo.
 
Upeo wa macho yako umefika hapo. Maskini anawaza kutokana na umaskini wake na tajiri the same.
Mimi nakunywa Cappucino kila siku hapa Masaki Koffe Kafe, kikombe Kimoja ni Tshs 12,000 bila hata kipande cha cake.
Mwenye mawazo ya kimaskini anakwambia hiyo hela unakunywa kawaha mwezi mzima sehemu za uswahilini, kupanga ni kuchagua. Kwa siku nikikaa kikao cha kawaida posho ni Tsh 400,000/- , kunywa elfu 50,000 kwa siku ni ndogo sana.
Jf bhana
 
Upeo wa macho yako umefika hapo. Maskini anawaza kutokana na umaskini wake na tajiri the same.
Mimi nakunywa Cappucino kila siku hapa Masaki Koffe Kafe, kikombe Kimoja ni Tshs 12,000 bila hata kipande cha cake.
Mwenye mawazo ya kimaskini anakwambia hiyo hela unakunywa kawaha mwezi mzima sehemu za uswahilini, kupanga ni kuchagua. Kwa siku nikikaa kikao cha kawaida posho ni Tsh 400,000/- , kunywa elfu 50,000 kwa siku ni ndogo sana.
JAMIIFORUMS HAKUNAGA MASIKINI, KILA MTU NI TAJIRI BAC KWA TAARIFA YAKO.
 
Watumia iPhone acheni kujibeza na kudanganya.

Kwanza panaitwa Kaffé Koffee sio "Koffe Kafe" ulichoandika wewe.

Pili, Cappuccino kikombe kimoja sio elfu 12, ni elfu 6 tu. Menu hii hapa na attach:
View attachment 3002063

Turudi kwenye mada kuu ya Apple.
Broo you cooked him 😂 😂 😂

JamiiForums kila mtu ni tajiri hakunaga masikini, kwan we hujui??
 
cha ajabu wanaolalamika bei sio watumiaji wa bidhaa husika.

Ukiona bidhaa huielewi elewi bei zake basi jua wewe sio target market yao.

Hata rolls royce ya billion 2 kadhaa kama hauna pesa utaona ni gharama wakati kuna benz ya bei chee inaku offer the same au inakimbia zaidi ya RR

We kama huwezi kutoa milion 5 kununua laptop, kuna wenzio hio pesa ya nyanya tu hawaoni shida ku spend hapo
 
Kuna ile hadithi 'sungura alipozikosa zabibu alisema sizitaki mbichi hizi'. Ndiyo hao wanaopiga kelele na iphone.
😂 😂 😂
Sister unachekesha sana, mimi hadi sasa nimewanunulia watu wawili iPhone, moja ilikuwa iphone11 Pro max, the other one ilikuwa iphone 12 plain, ningekuwa natamani iphone ningekuwa nayo.

Tatizo ideology yenu ni kwamba, kila mnapomwona android user mnadhani anatamani kuwa na iphone sema kashindwa kununua, which is very wrong😂

Mfano mi namiliki Note 20 Ultra, niliichukua ilipokuwa imetoka yaan ndo kwanza ya moto, bei yake nisingepata iphone nzuri??
 
Broo usinafananaishe magari na simu, hapa tunaongelea simu.

Apple walichofanikiwa ni kuwateka wateja wao kifikra, we chunguza tuu jinsi wanavoitetea iPhone, almost 90% watarudia point zilezile, maana yake nn?? Wamekaririshwa

Product za iPhone zina ubora ila haimaanishi kwamba zinapita ubora wa android, mbona vitu viko wazi sema tuu hufatilii, asaiv innovation anazofanya apple asaiv Samsung alizifanya miaka ya nyuma sema tuu hatufatilii mambo.

Kuhusiana na ubora, nitakupa mfano, rafiki yangu kanunua iPhone 13 muda sawa na mm nilivonunua simu yangu mpya android, hadi sasa yeye kabadilisha betri mm bado betri langu linadunda na matumizi ni yaleyale.

Tukija kweny processor, hadi sasa kwa matoleo latest chip ya android ndo bora kuliko iPhone.

Tukije kweny camera, still Samsung S24 na Sony zina ubora wa camera kuliko iPhone.

Point zenu mnazotumia ni the fact kwamba iPhone ina OS system ya kipekee ambayo haishei na simu zingine point ambayo haina nguvu kwa sababu android operating system yake kutumika na simu nyingi haiifanyi iwe dhaifa, na iPhone kutumia OS yake haiifanyi iwe bora kwasababu inatumika na iPhone tuu, kwanza hadi sasa QuickShare ya Samsung ishakuwa proven ina speed kuliko AirDrop, sasa mi sijui mnachoringia ni nn??
Rafiki yako alinunua simu mbovu sio kwa iPhone store maana hakuna wakala wa hiyo simu Tanzania...mtu ananunua simu ya Dubai au Hong Kong harafu unakuja na majibu ya jumla mimi natumia Sumsung na iPhone ambayo nimenunua iPhone store zinakuwa na warranty ya muda mrefu na ukitaka ku upragrade toleo unalotaka unafanya kwenye hayo maduka ya iPhone kitu ambacho mnakonunua huko za mtumba ila maboxi mapya ndio mnakuja hapa kusema iPhone inachemsha betri...
Sumsung sio wa kuwafananisha na hao jamaa ingawaje mimi ni fan wa Sumsung kwenye simu na TV,Microwave,fridge ni LG ...
 
Siwez kununua hata kimoja hapo kwa oesa yangu japo ninavyo vya brand nyingine na napata kile kile wanachopata wao .
 
Sumsung sio wa kuwafananisha na hao jamaa
Ni kweli huwez kuwafananisha, wote wana product nzuri, ila iphone products are overhyped, nikuulize swali iphone imeizidi nn Samsung?? Au tulieke swali hivi wewe unaweza kufanya nn kweny iphone yako mm siwez kweny Samsung yangu??(hapa tunazungumzia matoleo yote)
 
Ni kweli huwez kuwafananisha, wote wana product nzuri, ila iphone products are overhyped, nikuulize swali iphone imeizidi nn Samsung?? Au tulieke swali hivi wewe unaweza kufanya nn kweny iphone yako mm siwez kweny Samsung yangu??(hapa tunazungumzia matoleo yote)
Yeye hawezi share music na watu wa simu nyengine na hata mwenye iphone kama hana itune.
Upuuzi mtupu.
 
Seems hata husomagi articles wala hutazami videos za products review. Always titles and content zinaweza kuwa harsh na za kukera kwa die hard fans wa bidhaa kama wewe ulivoumia apple kukandwa hapa. Get used to it bro.
Nimeumia? Unadhani unanijua kiasi hicho hadi ujue nimeumizwa na jambo? Ni kazi ngumu sana kwa mimi kuumia kwa mijadala.

Na humu JF kuna mtu mmoja tu ndiye anayejua nakuwaje nikiwa nimeumia, ni huyo tu, hakuna mwingine. Ni yeye ndiye aliyepata fursa ya kunijua.

Ova
 
Ni kweli huwez kuwafananisha, wote wana product nzuri, ila iphone products are overhyped, nikuulize swali iphone imeizidi nn Samsung?? Au tulieke swali hivi wewe unaweza kufanya nn kweny iphone yako mm siwez kweny Samsung yangu??(hapa tunazungumzia matoleo yote)
Maswali ya kijinga haya nadhani...na pia hauna kitu unajua wacha nikusukume...
 
Kuna ile hadithi 'sungura alipozikosa zabibu alisema sizitaki mbichi hizi'. Ndiyo hao wanaopiga kelele na iphone.
Itetee simu yako,kama unaona haina maana unakausha tu,kudhani kila mtu anaponda sababu hawezi kununua ni uzembe wa kufikiri.

NI sawa na mtu anunue tecno ya laki 5,useme hana hela ya samsung,lazima ana sababu zake tu nyingine sio hela tena.

Iphone ni simu nzuri sana,sio simu ghali zaidi,wanaomiliki sio kwamba wana hela sana,tukae humu.
 
Back
Top Bottom