Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.

Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi wanawaibia "loyal customers" wake, sema ndio ivyo hawaoni au wanajizima data.

Tuachane na iPhone zao kua Million 3 kwenda juu, au Laptop zao za kishua. Ebu Kwa mfano checki izi products:

Mac Pro wheels $700 (Tsh Mil 1.8)

Hii sio computer, ni magurudumu manne ya kuweka kwenye CPU sijui tuiite ya Mac Pro. Hujakosea kusoma.

View attachment 3000624Haya matairi ilibidi wayagawe bure unavyonunua iyo bidhaa yao.

Mac Pro stand $1000 (Tsh Mil 2.6)

Naam. Mil 2.6 tunanunua stendi ya kuiwekea Monitor yetu ya Mac.
View attachment 3000625Hii pia ilitakiwa upewe bure. Kwann walitengeneza computer isio na stendi?

Mikanda ya saa $100 (Tsh Laki 2.6)

Achana na bei ya saa, mkanda tu huu unauzwa laki 2 na nusu na zaidi.
View attachment 3000608

Airpods Max $550 (Tsh Mil 1.4)
Utakua ushakutana na mabishoo wamevaa copy ya aya madude.
View attachment 3000627
Aisee original yake ndio ivo, Mil 1.4 cash.

Apple Pencil $130 (Tsh 340,000/=)
Hii wenzio Samsung ukinunua Tab wanakupa bure sijui kwann wao wanauza.
View attachment 3000606

Mac Pro $7000 (Tsh Mil 18)
Ukiliona kwenye picha kama kidude cha kusugulia nyanya au karoti. Ila ndio ivyo tena, bei ya gari.
View attachment 3000631


Waya type C $30 (Tsh 77,000/=)
Waya tu, wa mita 2 unauzwa hivi. Bila kichwa. Bila protector. Bila kava. Waya.
View attachment 3000614

Cover la Simu la Silicon $50 (Tsh 130,000/=)
Haya makava tunayaona kwa elfu 5 yanauzwa Kariakoo. Wao wanauza bei ya simu.

View attachment 3000609

Mac Pro Display $1500 na Stendi yake inafika hadi $2000 (Tsh Mil 3.9 hadi Mil 5.1)

Hii ni display ya kile kidude cha kusugulia nyanya. Display tu.
View attachment 3000612


Airpods Pro $250 (Tsh 650,000)
Sijawahi tumia kwahiyo sijui mziki wake ila kutoa Laki 6 kisa utu tudude hapana.
View attachment 3000621

Polishing Cloth $20 (Tsh 52,000)
Kitambaa cha kusafishia kioo cha simu au laptop au ipad kinauzwa bei ivo.
View attachment 3000638

Apple Mouse $100 (Tsh 250,000)
Hii ni mouse kama unayoijua sema ya kuchaji.View attachment 3000648Hafu port ya kuchajia ipo chini kwahiyo ikiisha chaji hauwezi kutumia. Kha.View attachment 3000650

Mi labda sina hela, ila kununua bidhaa ya Apple naona kabisa napigwa. Ata iPhone najua ina nguvu ina balaa ila kama wanakuibia kwenye bidhaa zingine kwann wasikuibie kwenye iPhone.

Nimejiandaa kuambiwa nitafute hela.
Nimetetemeka mikono.
 
Vitu vyao ni bora sana hata hivyo hela yetu ukiibadili kwenye hela yao ndio unakutana na hayo Mamilioni ila wao wanauza bei za kawaida kwa Wateja wao...hao jamaa bidhaa zao zipo sawa sana ni vile hela hatuna tupo busy kuwaponda...istore ya East Gate Mall..
ukimani watu hela hawana. na thamani ya chilingi inadoro deile dhidi ya dola
 
Soma kwanza kichwa cha habari cha hii thread, halafu uje usome maoni yangu kisha unijibu upya.

Ova

Seems hata husomagi articles wala hutazami videos za products review. Always titles and content zinaweza kuwa harsh na za kukera kwa die hard fans wa bidhaa kama wewe ulivoumia apple kukandwa hapa. Get used to it bro.
 
Kampuni la Kimarekani Apple, maarufu kwa kuuza bidhaa za electronics na accessories zake, wanauza ivyo vitu bei ghali sana.

Inawezekana ikawa ni value for money, ila kuna baadhi ya vitu ni wazi wanawaibia "loyal customers" wake, sema ndio ivyo hawaoni au wanajizima data.

Tuachane na iPhone zao kua Million 3 kwenda juu, au Laptop zao za kishua. Ebu Kwa mfano checki izi products:

Mac Pro wheels $700 (Tsh Mil 1.8)

Hii sio computer, ni magurudumu manne ya kuweka kwenye CPU sijui tuiite ya Mac Pro. Hujakosea kusoma.

View attachment 3000624Haya matairi ilibidi wayagawe bure unavyonunua iyo bidhaa yao.

Mac Pro stand $1000 (Tsh Mil 2.6)

Naam. Mil 2.6 tunanunua stendi ya kuiwekea Monitor yetu ya Mac.
View attachment 3000625Hii pia ilitakiwa upewe bure. Kwann walitengeneza computer isio na stendi?

Mikanda ya saa $100 (Tsh Laki 2.6)

Achana na bei ya saa, mkanda tu huu unauzwa laki 2 na nusu na zaidi.
View attachment 3000608

Airpods Max $550 (Tsh Mil 1.4)
Utakua ushakutana na mabishoo wamevaa copy ya aya madude.
View attachment 3000627
Aisee original yake ndio ivo, Mil 1.4 cash.

Apple Pencil $130 (Tsh 340,000/=)
Hii wenzio Samsung ukinunua Tab wanakupa bure sijui kwann wao wanauza.
View attachment 3000606

Mac Pro $7000 (Tsh Mil 18)
Ukiliona kwenye picha kama kidude cha kusugulia nyanya au karoti. Ila ndio ivyo tena, bei ya gari.
View attachment 3000631


Waya type C $30 (Tsh 77,000/=)
Waya tu, wa mita 2 unauzwa hivi. Bila kichwa. Bila protector. Bila kava. Waya.
View attachment 3000614

Cover la Simu la Silicon $50 (Tsh 130,000/=)
Haya makava tunayaona kwa elfu 5 yanauzwa Kariakoo. Wao wanauza bei ya simu.

View attachment 3000609

Mac Pro Display $1500 na Stendi yake inafika hadi $2000 (Tsh Mil 3.9 hadi Mil 5.1)

Hii ni display ya kile kidude cha kusugulia nyanya. Display tu.
View attachment 3000612


Airpods Pro $250 (Tsh 650,000)
Sijawahi tumia kwahiyo sijui mziki wake ila kutoa Laki 6 kisa utu tudude hapana.
View attachment 3000621

Polishing Cloth $20 (Tsh 52,000)
Kitambaa cha kusafishia kioo cha simu au laptop au ipad kinauzwa bei ivo.
View attachment 3000638

Apple Mouse $100 (Tsh 250,000)
Hii ni mouse kama unayoijua sema ya kuchaji.View attachment 3000648Hafu port ya kuchajia ipo chini kwahiyo ikiisha chaji hauwezi kutumia. Kha.View attachment 3000650

Mi labda sina hela, ila kununua bidhaa ya Apple naona kabisa napigwa. Ata iPhone najua ina nguvu ina balaa ila kama wanakuibia kwenye bidhaa zingine kwann wasikuibie kwenye iPhone.

Nimejiandaa kuambiwa nitafute hela.
Upeo wa macho yako umefika hapo. Maskini anawaza kutokana na umaskini wake na tajiri the same.
Mimi nakunywa Cappucino kila siku hapa Masaki Koffe Kafe, kikombe Kimoja ni Tshs 12,000 bila hata kipande cha cake.
Mwenye mawazo ya kimaskini anakwambia hiyo hela unakunywa kawaha mwezi mzima sehemu za uswahilini, kupanga ni kuchagua. Kwa siku nikikaa kikao cha kawaida posho ni Tsh 400,000/- , kunywa elfu 50,000 kwa siku ni ndogo sana.
 
Upeo wa macho yako umefika hapo. Maskini anawaza kutokana na umaskini wake na tajiri the same.
Mimi nakunywa Cappucino kila siku hapa Masaki Koffe Kafe, kikombe Kimoja ni Tshs 12,000 bila hata kipande cha cake.
Mwenye mawazo ya kimaskini anakwambia hiyo hela unakunywa kawaha mwezi mzima sehemu za uswahilini, kupanga ni kuchagua. Kwa siku nikikaa kikao cha kawaida posho ni Tsh 400,000/- , kunywa elfu 50,000 kwa siku ni ndogo sana.
Watumia iPhone acheni kujibeza na kudanganya.

Kwanza panaitwa Kaffé Koffee sio "Koffe Kafe" ulichoandika wewe.

Pili, Cappuccino kikombe kimoja sio elfu 12, ni elfu 6 tu. Menu hii hapa na attach:
Screenshot_20240528-175041.png


Turudi kwenye mada kuu ya Apple.
 
Watumia iPhone acheni kujibeza na kudanganya.

Kwanza panaitwa Kaffé Koffee sio "Koffe Kafe" ulichoandika wewe.

Pili, Cappuccino kikombe kimoja sio elfu 12, ni elfu 6 tu. Menu hii hapa na attach:
View attachment 3002063

Turudi kwenye mada kuu ya Apple.

Kisa ana iphone anadhani anajua mambo kuliko wote. Typical Mikumbo ya ki iphone
 
Upeo wa macho yako umefika hapo. Maskini anawaza kutokana na umaskini wake na tajiri the same.
Mimi nakunywa Cappucino kila siku hapa Masaki Koffe Kafe, kikombe Kimoja ni Tshs 12,000 bila hata kipande cha cake.
Mwenye mawazo ya kimaskini anakwambia hiyo hela unakunywa kawaha mwezi mzima sehemu za uswahilini, kupanga ni kuchagua. Kwa siku nikikaa kikao cha kawaida posho ni Tsh 400,000/- , kunywa elfu 50,000 kwa siku ni ndogo sana.
Mkuu kulipwa 400k kwa siku haina maana usiulize bei unaibiwa bana.😁😁😁
 
Tukiongelea kupigwa, ni kupigwa aswaa. Mfano mwingine, iPhone 15 Pro Max inatengenezwa kwa $550 tu.

Ila inakuja uzwa $1,199 kabla ya ushuru.

Screenshot_20240528-191407.png
 
Tukiongelea kupigwa, ni kupigwa aswaa. Mfano mwingine, iPhone 15 Pro Max inatengenezwa kwa $550 tu.

Ila inakuja uzwa $1,199 kabla ya ushuru.

View attachment 3002126
Mkuu what is a true Price of a product ? Ingekuwa unauziwa product kutokana na production cost nanasi lisingeuzwa 500..., Unauziwa bei kulingana na unaweza kutoa kiasi gani (wengine wanapenda na wananunua sababu tu ni gharama) pia kuna vitu (especially food products) unaweza ukakuta packages zina bei kuliko kilichomo...

Hio ndio dunia ya sasa vitu vinauzwa sio sababu ni bora zaidi bali sababu ni nani muuzaji (promotion and marketing skills) zaidi....; Ingawa kwa Iphone ina flagship ya Security ndio maana watu wazito wajali privacy utawakuta na hii kitu (used to be Blackberry)
 
Back
Top Bottom