Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Mnaotumia bidhaa za Apple® Mnapigwa sana. Sijui hata mnavyotoa hela mnafikiriaga nini?

Kwa mbongo kila products za apple huwezi afford aiseh utaona wanakuonea ...ila kwa apa marekani iphone ni simu ambayo kila mtu anayo na pia watu wanazidi kununua
 
Mchina aliniangusha aisee mimi mwenyewe nilikuwa na Redmi note 11 pro nilikuwa navimba mega pixel 108 AI Camera kumbe hamna kitu ila kuna vitu Redmi ipo poa sana
Camera & Video iPhone naaambiwa ni mwisho wa matatizo.

Ila kuweka Mil 3 kisa picha za kupost Instagram, au WhatsApp au FB ambao wana zicompress hafu anakuja kuziona mtu mwenye simu yenye kioo 720p haimake sense.
 
Mbona mnazisema sana product za Apple wakati hata Samsung na Xiaomi hivyo hivyo tu, sema tofauti yao Samsung anatoa product kama hizo za Apple pamoja product zingine kwa ajili ya wenye uchumi chechemevu huku apple wao wamekomaa na product za mabwanyenye vinginivyo subiri ununue matoleo ya nyuma
 
Kila bidhaa duniani ina mlengwa wake, ambaye akiiona tu wala hajiulizi mara mbili au kuanzisha thread ya kulalamika.

Wasio walengwa ndiyo hivi ukiona hizo bei unaziwaza tofali na mifuko ya sementi, lakini walengwa wanaona tu hiyo Apple.

So waachie walengwa waishi maisha yao.

Ova

Kuna kitu kinaitwa product review, kwa mentality yako basi watu wasingekua wanachambua kwa sababu tu ati kila product hua na targeted market. Hata magari yanachambuliwa kila kukicha na people make a fortune out of reviewing products.
 
Mara furtuner ni hilux dable cabin iliyofunikwa,, anayasema hayo huku akiwa ndani ya vits clavia namba BAA
Ni kama mimi nianze kuwaponda wanaotumia Range Rover eti wanapigwa kweli huku nikiwa nipo chini ya uvungu wa passo yangu nikiangalia kama haivujishi..
 
Kesho watakuja na nyuzi ya kuponda Ford Ranger na kusifia Suzuki vitara...
Broo usinafananaishe magari na simu, hapa tunaongelea simu.

Apple walichofanikiwa ni kuwateka wateja wao kifikra, we chunguza tuu jinsi wanavoitetea iPhone, almost 90% watarudia point zilezile, maana yake nn?? Wamekaririshwa

Product za iPhone zina ubora ila haimaanishi kwamba zinapita ubora wa android, mbona vitu viko wazi sema tuu hufatilii, asaiv innovation anazofanya apple asaiv Samsung alizifanya miaka ya nyuma sema tuu hatufatilii mambo.

Kuhusiana na ubora, nitakupa mfano, rafiki yangu kanunua iPhone 13 muda sawa na mm nilivonunua simu yangu mpya android, hadi sasa yeye kabadilisha betri mm bado betri langu linadunda na matumizi ni yaleyale.

Tukija kweny processor, hadi sasa kwa matoleo latest chip ya android ndo bora kuliko iPhone.

Tukije kweny camera, still Samsung S24 na Sony zina ubora wa camera kuliko iPhone.

Point zenu mnazotumia ni the fact kwamba iPhone ina OS system ya kipekee ambayo haishei na simu zingine point ambayo haina nguvu kwa sababu android operating system yake kutumika na simu nyingi haiifanyi iwe dhaifa, na iPhone kutumia OS yake haiifanyi iwe bora kwasababu inatumika na iPhone tuu, kwanza hadi sasa QuickShare ya Samsung ishakuwa proven ina speed kuliko AirDrop, sasa mi sijui mnachoringia ni nn??
 
Ya nani ililipuka? Yule msaniii anachaji iphone six na chaji ya kaunzia kuchaji iphone 11 alikitafuta mwenyewe
Yanalipuka bwanaaa🤣🤣🤣🤣
Infinix hailipuki ng'oooo. Ila tu inapata joto kidoooogo.
 
Broo usinafananaishe magari na simu, hapa tunaongelea simu.

Apple walichofanikiwa ni kuwateka wateja wao kifikra, we chunguza tuu jinsi wanavoitetea iPhone, almost 90% watarudia point zilezile, maana yake nn?? Wamekaririshwa

Product za iPhone zina ubora ila haimaanishi kwamba zinapita ubora wa android, mbona vitu viko wazi sema tuu hufatilii, asaiv innovation anazofanya apple asaiv Samsung alizifanya miaka ya nyuma sema tuu hatufatilii mambo.

Kuhusiana na ubora, nitakupa mfano, rafiki yangu kanunua iPhone 13 muda sawa na mm nilivonunua simu yangu mpya android, hadi sasa yeye kabadilisha betri mm bado betri langu linadunda na matumizi ni yaleyale.

Tukija kweny processor, hadi sasa kwa matoleo latest chip ya android ndo bora kuliko iPhone.

Tukije kweny camera, still Samsung S24 na Sony zina ubora wa camera kuliko iPhone.

Point zenu mnazotumia ni the fact kwamba iPhone ina OS system ya kipekee ambayo haishei na simu zingine point ambayo haina nguvu kwa sababu android operating system yake kutumika na simu nyingi haiifanyi iwe dhaifa, na iPhone kutumia OS yake haiifanyi iwe bora kwasababu inatumika na iPhone tuu, kwanza hadi sasa QuickShare ya Samsung ishakuwa proven ina speed kuliko AirDrop, sasa mi sijui mnachoringia ni nn??
Mchele una mapishi mengi
Kila mtu ale anachopenda
Mnapenda kuhangaika watu wa android.
 
Back
Top Bottom