Mnaowalea watoto wa kike bila kuwafundisha kazi za nyumbani mnawaandalia mazingira gani wakiwa wakubwa?

Wa
Wanawake by nature are not suposed to lead....ni ubunifu tu na "maendeleo" .
 
Halafu hao watoto wasiojua kupika wazazi wao wana mahari makubwa ile mbaya.
 
Mkuu uzi ushavamiwa n wana harakati tayari wanatetea mwanamke kutokujua kupika na kufua tuna safari ndefu.
 
"Mkuu unataka Mke au mfanyakazi wa ndani", alisikika Feminist mmoja akiongea maneno hayo kwa ukali.


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Ikiwa mimi ndiye niliyeanzisha JF, nikaweka sheria ya kusema wewe unaweza kuchangia uzi huu tu. Utaona uamuzi huo ni wa haki na sawa kwa sababu umeukuta tu?

Let me point ou the logical fallacies here. You can Google them to expand horinzs.

Umeandika "Kwa asilimia kubwa" = argument from populism. Asilimia kubwa haimaanishi kuwa kitu ni kizuri au cha kweli. Asilimia kubwa ya watu wanaweza kukubali kiti ambacho ni potofu na kibaya. Ukisoma historia ya sayansi utaona hili.

Habari nzima kwamba mwanamme anahudumia famulia kigedha ni construct, hakuna sababu yoyoye ya msingi ambayo iyaondoa nafasi sawa za wanawake na wanume kuhudumia familia.

Unakubali?
 
Tafuta mtu amfundishe pia huyo sio mfanyakazi wako ujue achen mfumo dume
 
Unarudi kulekule kwenye dunia ya kijima ya gender roles kwamba kazi ya kupika ni ya mwanamke.

Wakati tunaishi kwenye dunia ambayo ina wanawake wameolewa na professional chefs.
Kwani we jamaa unatafuta Nini kwenye huu uzi!
Sisi wanaume halisi tumemuelewa!

Wewe uliyelelewa na kwa misingi ya jikoni tangu ukiwa mdogo, pita pembeni!

Mfumo dume ulianzishwa na Muumbaji wa dunia hii

Mwanaume Ni mtafutaji,
Mke Ni mtunza nyumba

Wewe na wenzio munaotaka usawa wa kijinsia, tengenezeni dunia yenu, naona munapigania kutuharibia dunia yetu!

Mungu akiona ipo haja ya kuweka usawa wa kijinsia kwa wanadamu hatashindwa, utashuhudia watu wanazaliwa na jinsia zote mbili!

Ushauri wa bure kwako,
Mpe skills za majukumu ya ndani ya nyumba mwanao wa kike,
Na umwaambie kwa hakika akatumie skills hizo ipasavyo kwenye nyumba yake kwa faida ya ndoa yake
Kamwe usimfundishe mwanao wa kike kuwa hizo shughuli zinapaswa kushare na mumewe kwa ajili ya usawa wa kijinsia!
Mustakabali wa maisha ya binti yako hauyajui!

Shame on you female Man!
 
Hii ni ooen forum, huelewi hilo?

Hiyo unayemuita muumbaji huwezi kuthibitisha yupo, unatumia uongo kwamba yupo ili kutimiza haja zakonza kunyanyasa wanawake tu.

Kama unabisha, thibitisha huyo muumbaji yupo.

Umesha assume sana hapo juu, kijinga tu.
 
Na hii ndo inatakiwa. Watoto wote wafundishwe kazi zote bila kujali jinsia. Japo mimi kama mama kuna wakati najisahau namfundisha sana huyu wa kike mvulana namsahau. Kwa mbaaali bado naona mfumo dume umeniathiri.
 
Na hii ndo inatakiwa. Watoto wote wafundishwe kazi zote bila kujali jinsia. Japo mimi kama mama kuna wakati najisahau namfundisha sana huyu wa kike mvulana namsahau. Kwa mbaaali bado naona mfumo dume umeniathiri.
Huu mfumodume hatuwezi kuumaliza mara moja.

Kitu ambacho wanaume wengi hawajui ni ukweli kwamba mfumodume unawaathiri wao wenyewe pia.

Unakuwa na mtoto wa kiume, hafundishwi kupika. Siku akianza kujitegemea hawezi kujipikia mwenyewe. Anakuwa tegemezi. Kula mpaka apikiwe.

Mtu inafikia mpaka anakuwa na mwanamke kwa lazima si kwa sababu anampenda, bali kwa sababu anataka mtu wa kumpikia tu. Anataka "jiko".

Mfumodume unaathiri sana wanaume, ila ni vigumu kujua kwa sababu wengi sana wameuzoea.
 
Kumuandaa mtoto wako wa kike kujua kuishi kwenye ndoa za kiafrika ni jukumu ambalo wazazi hasa mama hapaswi kulilazia damu,
Ni utaahira kumuandaa mtoto kuwa mke ktk maisha ya leo. Yaani unamuandaa mtoto wako aje kuwa mtwana na mtumwa wa mtu (mume)? Kwamba huyo mwanaume atakuwa hana mikono na miguu?? Why mtoto wa kike??
 
Ni utaahira kumuandaa mtoto kuwa mke ktk maisha ya leo. Yaani unamuandaa mtoto wako aje kuwa mtwana na mtumwa wa mtu (mume)? Kwamba huyo mwanaume atakuwa hana mikono na miguu?? Why mtoto wa kike??
Acha ujinga
Mungu ndiye aliyemuandaa mtoto wa kike kuwa mke?
Hivi inakuwaje munastruggle kupambana na Nature?
 
Huoni kuwa ni vema watu kuoana?
Inakurahisha Nini mwanaume asioe kisa anajua kujiandalia chakula kitamu

Kama kwa waume kutojua kupika ni sababu ya wao kuchukua binti na kuoa haraka, basi ni Jambo jema saaanaaaa!
 
Huoni kuwa ni vema watu kuoana?
Inakurahisha Nini mwanaume asioe kisa anajua kujiandalia chakula kitamu

Kama kwa waume kutojua kupika ni sababu ya wao kuchukua binti na kuoa haraka, basi ni Jambo jema saaanaaaa!
Kwani wapi nimesema si vema watu kuoa au kuolewa?

Kuoa mtu anatakiwa kuoa kwa mapenzi, si kuoa kwa sababu ya kutafuta mtu wa kumpikia. Umeelewa hilo somo?
 
Yaani kwa maelezo yako bado unakubaliana na mleta mada kuwa mwanamke yeye ndio mwenye majukumu ya jikoni. Mwanaume kiubinadamu na kwa uhitaji unapaswa kujua kupika ili kutoa usaidizi tu.
 
Yaani kwa maelezo yako bado unakubaliana na mleta mada kuwa mwanamke yeye ndio mwenye majukumu ya jikoni. Mwanaume kiubinadamu na kwa uhitaji unapaswa kujua kupika ili kutoa usaidizi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…