Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Hii baridi ya hapa lazima ugandane, kama ni kapotabo unaweza jibanza nako mpk kaka shindwa kupumua kwa kabali ya kumbatio😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hivyo wapo wenye tabia hizi za kutopenda kugusana na mtu au ile kupuliana,, mara nyingi huwa ni kinyaa cha kujiendekeza na ubinafsi tu,, mbn kumla anamla wanamwagiana mi ute na majasho ijekuwa kushea shuka tuuuuLabda mwanamke wako mchafu
Mchana Kazi, mda washow mmepiga, nakwenye kulala >baada ya mwili urelax mwenza anataka mgandane ..Acha uchoyo, sio tabia nzuri hiyo kwa mwenza wako ni kama ananuka vile kah
Acha buana!😃Utasikia, geukia huku basi😂
Mimi nikilala mashariki asubuhi najikuta naamkia kusini asa sijui ataweza🤔🤣🤣🤣😓Kwan mtalalia vitanda vya futi 4 kwa 6 au?
Siku hiz tunatengeneza vitanda kwa kupima ukubwa chumba chako so mtalala furesh kabisaaaaa
Mlipo kuna joto sana nini? Washeni feni tena mi napenda ile nimelala nikishtuka nikute mkono kiunoni au kifuani ama namgusisha kota kwenye dick yake basi ndo maana halisi ya wapenziMchana Kazi, mda washow mmepiga, nakwenye kulala >baada ya mwili ulax mwenza anataka mgandane ..
Hongeren kwamnaoweza
Mkishafikishana kibo na mawenzi hapo kula mmoja anajiwa na usingizi mnono, kugandiana mtaikumbuka saa ngapi, hata kama mkisema mgandiane wakati hajampitiwa na njozi lazima mtaachiana tu.Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa tunagandiana kabla hatujapata usingizi tu, the rest is history.
Dih!😂🙌Wengine hata dudu inalalia kule kule ndani...
Nakuonea wivu, nataman na mimi nilivyokua na uwezo wa kulala usingiz wa namna hiyo.Mimi nikilala mashariki asubuhi najikuta naamkia kusini asa sijui ataweza🤔🤣🤣🤣😓
Labda kipindi cha joto kali, kama unamuonea kinyaa mke wako hata kumkumbatia utoe baridi basi atakua mchafu, ulikosea kuoa....Sio hivyo wapo wenye tabia hizi za kutopenda kugusana na mtu au ile kupuliana,, mara nyingi huwa ni kinyaa cha kujiendekeza na ubinafsi tu,, mbn kumla anamla wanamwagiana mi ute na majasho ijekuwa kushea shuka tuuuu
Mi ni mwanamkeLabda kipindi cha joto kali, kama unamuonea kinyaa mke wako hata kumkumbatia utoe baridi basi atakua mchafu, ulikosea kuoa....
Kumbe ndo maana mnapenda matako matakoKukumbatiana n mkiwa mnaanza tu ila ukiona unakaribia kukolea unalala vizuri unamuachia mwenzako.
ila nilale nilalavyo siwezi acha weka mkono juu ya Matako yake,yani siwezi nisiyashike NEVER