Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo ndugu yangu za masikuUpo Dada yangu..
Acha kabisaa...Kukosa usingizi ni mateso makali sana, pole
Akikujibu nitagUnajua maswali mengine ni ya kipumbavu, wewe umewahi kuoma wapi watu wagandiana wakitaka kulala usingizi?
Wana Nongwa Hawamnakuza sana mambo
😃😃😃😃😃 dahNatamanigi niulize hlo swali sema bora umenisaidia🤔🤔🤔wenye ndoa watujibu
Unakuta mdada anakuganda usingz ukianza tu anafurukuta usingz unapotea🤔
Mda mwngn ushamdinya mmeoga ila mnaanza kulala mkikumbatiana 🍆inasimama tena😁😁mnaelekezeaga wapi 🍆
Hivi ndivyo wengi huwa tunafanya. Hili la kulala ubavu kwa ubavu huku mmegandiana kama alivyosema mwanzisha thread ni gumu. Mikono si itachoka? Ukute tena na mmoja ni mnene akilalia mkono wa mwenza ataomba poo. Bado ukute ni sehemu yenye joto kama Dar halafu ni uswahilini hakuna AC...Hata mimi siwezi kulala kama nitagusana na mtu, ila hua tunakumbatiana mwanzoni akilala yeye, nageukia upande ambao nipo comfortable.
Tanzania Wajinga Ni Wengi SanaUnajua maswali mengine ni ya kipumbavu, wewe umewahi kuoma wapi watu wagandiana wakitaka kulala usingizi?
Noted😂 Yaani ni full kugeukiana.
Mimi napenda 😋
sasa kama Mwenza ni kimbaumbau siutamuua kwa PumuNgoja kwanza nicomment chochote kisha nirudi kusoma uzi.
Haki ya Mama nimecheka sana na hiyo title.. kwamba wanalala kwa kugandiana??
Broo ni raha sanaa
Kulala umejilaza kifuani mwa mtu 😍
Niongeze kwenye list mkuu, hua naona jau asee 😠hauko mwenyewe kiongozi, sema tunashindwa kuwaambia tu
mkuyenge utamkera kila muda uko wima😃😃Sio siku zote mtagandiana.
Na kuna siku yeye hata kachoka/hataki mechi huwezi lala umemganda maana mkuyenge utamkera kila muda uko wima na wewe utaharibu mishipa ya mkuyenge.
Bembelezaneni, peaneni space kidogo mkilala ila viungo vipumue.
Pumu? Inatokana na kulaliwa kifuani?sasa kama Mwenza ni kimbaumbau siutamuua kwa Pumu