Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Namsubiri mpk nachoka!!
Sasa huo msimu wa embe si utaisha? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We muache achelewe km hajakuta kadi ya mualiko
Akichelewa atakuta mdogo ake mjr3 ashazaliwa kabisa mbona yee azubae tu huko asiseme hujamwambia!😁
 
Nini sasa mwana grupu mwenzangu, yaani we upate tabu shemeji hayupo nami mwana grupu O mwenzio nipo, si utaniona nina roho mbaya mnoo, mie sina roho hiyo. πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nyie ndo wale β€œ babe naingiza kichwa tu!”
Una mistari Makaveli aiseee!! Hapa nakuimagine unafananaje we baharia 🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Penzi jipya lina mambo, hata mwenzio akiachia bomu unavunga km hakuna hewa muingiliano
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣! Uduguuu wee ni mwehuuu ujue πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…