Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Akija atatamani alie kilio cha kusaga meno π€£π€£π€£Leo Ashapitwaa walai sijui anaswampia wapi hata!π
Pole yake imempita hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akija atatamani alie kilio cha kusaga meno π€£π€£π€£Leo Ashapitwaa walai sijui anaswampia wapi hata!π
Hawa sio scorpio [emoji756] so blame them not, hilo swala ni la kinyota kabisa mtuulize scorpio huwa mnatunzaje ndoa zenu kiromantic tuwape maujanjaSio hivyo wapo wenye tabia hizi za kutopenda kugusana na mtu au ile kupuliana,, mara nyingi huwa ni kinyaa cha kujiendekeza na ubinafsi tu,, mbn kumla anamla wanamwagiana mi ute na majasho ijekuwa kushea shuka tuuuu
Natamanigi niulize hlo swali sema bora umenisaidia[emoji848][emoji848][emoji848]wenye ndoa watujibu
Unakuta mdada anakuganda usingz ukianza tu anafurukuta usingz unapotea[emoji848]
Mda mwngn ushamdinya mmeoga ila mnaanza kulala mkikumbatiana [emoji533]inasimama tena[emoji16][emoji16]mnaelekezeaga wapi [emoji533]
UOE mtani wanguSasa mbona mi mwenzio nishadinda..
#YNWA
Wataalami kina crixus na gannicusπNitasikiliza Nasdaq,
Kwanza nacheck Spartacus π
Lazima ajutree!πAkija atatamani alie kilio cha kusaga meno π€£π€£π€£
Pole yake imempita hiyo
Nishaacha ila nasikia ule moshi wake kichwani unaishi kwa miaka 70, sasa toka niache hata miaka 10 haijaisha.Maka bangi nyingi wewe πππ
Nyooo πππWataalami kina crixus na gannicusπ
Ongezea na basic instinct na original sin
π
Km namuona vile πππLazima ajutree!π
Itakuwa πππN
Nishaacha ila nasikia ule moshi wake kichwani unaishi kwa miaka 70, sasa toka niache hata miaka 10 haijaisha.
Usipate tabu mie mwana grupu O mwenzio nipo, lazima tujaliane sisi kwa sisi, kwanza tupo wachache. ππNyooo πππ
Hunitakii mema wewe, mwenzio mume wangu kasafiri
ππ€£π€£Itakuwa πππ
ππππ khaaaaaa!!!Usipate tabu mie mwana grupu O mwenzio nipo, lazima tujaliane sisi kwa sisi, kwanza tupo wachache. ππ
Kwanini uteseke nami nipo π
Alisema akija anataka afanye makeke ule maembe mabichi kwasana usiniangusheeee sasaaππ€ π€Km namuona vile πππ
Namsubiri mpk nachoka!!Alisema akija anataka afanye makeke ule maembe mabichi kwasana usiniangusheeee sasaaππ€ π€