Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu me nakua Raha P au siyo? 😂😂😂Hao sio wanangu kabisaa
Hebu njoo ghetto tusikilize ngoma ya ngwair huku tukipractise vitu vyote vi3.
Mitungi, cha jamaica na mikasi.
🤣😂
Udugu ake 😘😘Shuka tofauti duhh!
Umetishaaa
Nipoo shougaare Miss you more mamaa la mamaa!😘😘Udugu ake 😘😘
Mekumiss
Hivi chino yupo wapi? Nimemmiss mchuchu wangu 😂😂😂Nipoo shougaare Miss you more mamaa la mamaa!😘😘
Ewaa.. Hapo wamatumbi waliuwa saana, ngoma hiyo ni bomba huku nyasi zinachomwa huku mikasi inaendelea.Afu me nakua Raha P au siyo? 😂😂😂
Achana na wamatumbi njoo huku tuwasikilize wanyamwezi Jigga na baby mama wake Bey drunk in love 🥰
😂😂😂😂 KitaumanaEwaa.. Hapo wamatumbi waliuwa saana, ngoma hiyo ni bomba huku nyasi zinachomwa huku mikasi inaendelea.
Poa njoo na ngoma zako nami nakuja na zangu
Me n my girlfriend ya pac
How do you want it
F*ck ya tonight ya big poppa.
Nishamjua ananido poa sana nazikubaliLabda mwanamke wako mchafu au huna mzuka nae ulimuoa ili mradi tu usikose mke, ila pisi kali mzee hasa kipindi hiki cha mvua na kiubaridi unaanzaje kujifunika shuka lako mwenyewe.
Miguu yangu katikati ya mapaja yake na nido zake zinanichoma choma
Alisema alikutafutaaa aliishia kuona manyoya tu ! 😁Aisee ananichekeshaga na mashairi yake 🤣🤣🤣
Mara ya mwisho alisema alinitafuta Mwenge mpk alichoka hajaniona 😂😂😂
Kitawaka.. 😂😂😂😂😂 Kitaumana
Sa yeye ananitafutaje km mwizi?Alisema alikutafutaaa aliishia kuona manyoya tu ! 😁
Eeeeh unapenda bila night dress embu tuoneraraa reree hizo likes geuza pesa nimechoka 😂😂
Sema kweli? 😂😂😂Kitawaka.. 😂
Uone nini? 😂😂😂Eeeeh unapenda bila night dress embu tuone
Ni vizuri kuwa hivyo mkuu😀Hahaa.. Halafu hapo ndio Nipo serious 😂