Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Nimesema tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha basi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha basi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Uko poa lkn kipenzi cha kwetu?Nimesema tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema hiviiii: SIDANGANYIKI tenaaBasi twende wa Changanyikeni
Nasie tunaopak mashine kabisa ndan ya mashine yake usiku kucha huku tumelalaHili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Haya basi ngoja yakukuteNg'ombe hazeeki maini... Eboo
Babu mimi na uzinzi wapi na wapi....haya nimeyasomea humuhumuAfu ukanidanganya eti we bado bikira...
Sasa haya ya wakubwa uliyajulia wapi?
Ushakuwa mzinzi?
[emoji38] huyu mzee ana tamaa sana, sasa akiweka mkono atafaidi nini heri awaachie vijanaBabu hata akizeeka atakua anaweka mkono tu ila hawezi kuachia vijana wafaidi peke yao
Nakuona kwenye avatar yako. we ni bikira unayesomea uzinzi JF.Babu mimi na uzinzi wapi na wapi....haya nimeyasomea humuhumu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nyie mpewe maua yenuNasie tunaopak mashine kabisa ndan ya mashine yake usiku kucha huku tumelala
Vijana wamekuwa wachovu sana. Chips yai vimewamaliza. Acha wazee tuendelee kudekeza warembo[emoji38] huyu mzee ana tamaa sana, sasa akiweka mkono atafaidi nini heri awaachie vijana
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Unaunga mkono uasherati kwa maua kabisa?
[emoji1787]hivi we babu... au basi ngoja nikuache uendelee na mikaguoNakuona kwenye avatar yako. we ni bikira unayesomea uzinzi JF.
Hahaaaaa, umeshamaliza zamu ya kuogesha wazee hapo kwa dada yako USA?You are a troll.
Straight to ignore list.
Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Nimeshakwepa mishale mingi. Mimi ni mzoefu niliyebobea
Asante studio, hili bandiko wazee na nyie mpewe maua yenuVijana wamekuwa wachovu sana. Chips yai vimewamaliza. Acha wazee tuendelee kudekeza warembo
Lakini babu ukifanyika kwenye ndoa sio uasheratiUnaunga mkono uasherati kwa maua kabisa?
Mbuzi mbuzi mbuziHuo huo
Sijawahi kuona bikira aliyeolewa....