Ngoma, Kanute, che melone, Ayoub, ina maana sio wachezaji bora kwavile hawajaitwa timu ya taifa? Unatumia nini kufikiria?Wewe boya kweli, unpeleka mkono kwenye mavi halafu unauliza nini hiki?
Mchezaji bora lazima aitwe timu ya taifa lake
Form kaipatia alipotoka na ndio maana kachaguliwa kuwa MVP wa Ivory coastTatizo yanga hawaelewi kitu kimoja huyo blich yuko form katka pick kama wachezaji wote wa yanga walivyo form lakin tukizungumzia level ya chama ana brain ya Mpira kuliko mchezaji yeyote NBC pL
Unazungumzia rekodi ama uchezaji??Jamaa yangu unaelezea kama umekunywa supu ya maharage subiri kuvimbiwa tu. Pakome kwa chama bado sana labda apewe misimu mingine mitatu....
KWA HIYO PACOME HANA BRAIN YA MPIRA?!Tatizo yanga hawaelewi kitu kimoja huyo blich yuko form katka pick kama wachezaji wote wa yanga walivyo form lakin tukizungumzia level ya chama ana brain ya Mpira kuliko mchezaji yeyote NBC pL
NAKAZIAUnazungumzia rekodi ama uchezaji??
Kwa rekodi ni kweli Chama ana rekodi nyingi kuliko Pacoume,ila tukipima performance Pacoume yuko juu.
Tusiende mbali chukulia mfano wa Roberto Lewandowski na Pierre Aubameyang.
Hahahaha hatumii akili huyo.Ngoma, Kanute, che melone, Ayoub, ina maana sio wachezaji bora kwavile hawajaitwa timu ya taifa? Unatumia nini kufikiria?
Huko alipotoka kakiwasha.Form kaipatia alipotoka na ndio maana kachaguliwa kuwa MVP wa Ivory coast
Ni kweli siyo wachezaji bora in comparison kwa wachezaji wa mataifa yao. Ungekuwa na akili usingeuliza swali la kindezi kama hiloNgoma, Kanute, che melone, Ayoub, ina maana sio wachezaji bora kwavile hawajaitwa timu ya taifa? Unatumia nini kufikiria?
😂 ngoja nimuache na ulevi wakeKalewa supu ya Utumbo huyo ACHANA nae
UNAUMIA KICHWA BURE[emoji23] ngoja nimuache na ulevi wake
MASHABIKI wote wanaolazimisha kulingana kila kitu, kila mchezaji, kuokoteza kila kitakwimu uchwara ili kuleta ubishi uchwara ni mapunga zozo.Kwamba huko alipokuwa club bingwa Hakuwa nzuri ndio maana sio vizuri tupaongelee? Kwamba kubaya huko tukuache? Kwamba past ya pacome club bingwa si nzuri kwahiyo hicho kipande kisiwepo kwenye movie. Alikuwa hajajipata?
Pacome angekuwa mchezaji mzuri msingekuwa mnamsajili Chama kila mwaka. Anasajiliwa bleach fc anacheza SimbaMiezi miwili iliyopita zilisikika sauti za kusema "hatumtaki Chama na Bora aende maana yeye siyo mkubwa kuliko timu".
Baada ya game ya Simba sc na Jwaneng galaxy Fc Chama kuonesha kiwango chake Kama ilivyokawaida kwenye timu ndogo huwaka kweli kweli na kufanya mashabiki waibuke nakuanza kuimba Chama ni Bora kuliko Pacome.
*Msichokijua kuhusu PACOME, ni kwamba huyu mwamba anacheza namba 8,10,11 na 7, huyu mwamba aka Kasi na anapiga miguu yote, huyu mwamba akili yake na utulivu katika lango ni hatari sana
*Huyu mwamba anakiwasha kimataifa na games za ndani, angalia mediama, Belouzdad na al ahly kote huku alikiwasha nje ndani bila kuchagua uwanja misri Ghana Wala kwa Mkapa.
Hii ni tofauti kabisa na chezaji lenye Kasi ya konokono anayesubiri kwa Mkapa tu ndiyo aonekaneakiwashe lakini hata mechi za Pale chamzi huwa anafichwa Kama titi ndani ya Sidiria kiufupi Chama ana mechi zake lakini siyo big talent Pacoume zizu.
Maoni Yangu: ni ngumu sana kumfananisha mchezaji anayekiwasha kimataifa Hadi local games na mchezaji anayesubiri kwa Mkapa tu.
HUNA HOJA BALI UNAONGELEA USHABIKI.Pacome angekuwa mchezaji mzuri msingekuwa mnamsajili Chama kila mwaka. Anasajiliwa bleach fc anacheza Simba
Hata waliomsimsmisha chama january ni yangaWaliokuwa wanasema Chama kaisha wengi wao ni utopolo, ingawa haohao Kila siku wanasema kasajiliwa yanga Ila haichezei labda yupo Simba kwa mkopo. Okra mliyekuwa mnamponda alivyoachwa mkaenda kumsajili tushagundua janja zenu mnamponda Chama ili mpate utahisi wa kumsajili.
Mtaendelea kusajili Hadi wachezaji wa benchi Simba Kama mlivyomsajili Mkude .
KWA HIYO MASHABIKI WA YANGA NDIYO WALIOSEMA CHAMA KAIHUJUMU SIMBA SC?!Waliokuwa wanasema Chama kaisha wengi wao ni utopolo, ingawa haohao Kila siku wanasema kasajiliwa yanga Ila haichezei labda yupo Simba kwa mkopo. Okra mliyekuwa mnamponda alivyoachwa mkaenda kumsajili tushagundua janja zenu mnamponda Chama ili mpate utahisi wa kumsajili.
Mtaendelea kusajili Hadi wachezaji wa benchi Simba Kama mlivyomsajili Mkude .
WEWE UNAONA SHIDA IPO WAPIshida iko wapi
Unauliza au unajijibu?KWA HIYO MASHABIKI WA YANGA NDIYO WALIOSEMA CHAMA KAIHUJUMU SIMBA SC?!