Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Kwa sababu mleta hoja ndio alileta hiyo hoja.Okay huo nimeupata naomba nipe link nyingine.
Ila pia nimegundua umefeli kwakuwa umeshindwa ku attack hoja ukaona bora kumu attack mleta hoja. Logical fallacy, ad hominem.
Samahani kiongozi. Nimekosea nisamehe.Kwa sababu mleta hoja ndio alileta hiyo hoja.
Wewe ndio ulianza kuniattack na kuniambia ninauliza maswali kama mtoto mdogo, mara uniambie ni suala la common sense badala ya kwenda straight kwenye hoja.
Ndio nikaaza kuona kumbe huwa unajionaga keki, ikabidi nikuambie ukweli kuhusu tabia yako.
Kwani ulishindwa kutoa hoja yako bila kuniattack
Mmmh! Pole mkuuIla kuna mzigo wangu mwingine umekwama hapo tangu tarehe moja inasoma last mile exception
Nilienda ofisini kwao wakasema mzigo umepotea
Kwenye app ya Aliexpress inasema mzigo upo customs ya Tanzania
Nipeni muongozo kwa yoyote aliyewahi kupitia kitu kama hichiView attachment 2557154
Umepokelea mzigo wapi? Ni Dar au mkoani?Wakuu nimepata Jana siku ya kumi na sitaView attachment 2557429
MkoaniUmepokelea mzigo wapi? Ni Dar au mkoani?
Agent hajaomba hela ya ziada...!?Mkoani
Nimetoa elfu mbili ya usafiri Hadi nilipoAgent hajaomba hela ya ziada...!?
Mi nilishaa kununua vutu Tz kuanzia Tv , saa , laptop , viatu ,losheni , cherehani , OBD II MACHINE naagiza kwa ali express na nina vipata kwa wakati na kuokoa pesa nyingi bongo michosho watu sio waaminifu kabisaUsipanic bro. Nilichomaanisha ni kuwa. Haina haja ya kuagiza mzigo nje kama hapa unaweza kuupata kwa gharama nafuu au sawa na ya nje.
Kuagiza mzigo nje husababishwa either na kutokupatikana kwake hapa nchini au gharama zake huko nje kuwa nafuu (unafuu ukiwa ni pamoja na gharama za kuufikisha hapa nchini).
Hiyo ndio logic na common sense. Sasa sijui kwanini ume panic kiasi hicho bro.
NB: Naomba nipe link ya uzi nilioanzisha nikijisifia kuwa mimi ni genius. Nitafurahi kurudia kuusoma.
Walikutumia mpaka Geita mzee? Au ulichukulia dar?Nilifanikwa, na ile product nimesha receive View attachment 2555741
Siku ya 12 Leo imepokea Parcel yangu Arusha. Nilichokipenda SpeedAf wako faster, na kama wakiendelea hivi tutakuwa tumepata mkombozi, Pia kwa arusha agent nimependa hawakupi mzigo bila ya kitambulisho na unaweza kufanyiwa delivery ulipo kama ukitaga. Ukikabidhiwa parcel unalipia 1000 Tuu hapo oficn kwao.Kama Ni SpeedAf wanao ship wakiupata tuu wanakutaarifu kwa Email.
Mwanzo wa week niliagiza SSD naona ishaondoka kuja TZ. Naona wako Speed kama wanavyojiita.
Huo ni mzigo ganiSiku ya 12 Leo imepokea Parcel yangu Arusha. Nilichokipenda SpeedAf wako faster, na kama wakiendelea hivi tutakuwa tumepata mkombozi, Pia kwa arusha agent nimependa hawakupi mzigo bila ya kitambulisho na unaweza kufanyiwa delivery ulipo kama ukitaga. Ukikabidhiwa parcel unalipia 1000 Tuu hapo oficn kwao.
SSDHuo ni mzigo gani
=
Ndugu privacy, Muda tayari umetoa majibu, Rejea Comment #46 (hapo juu) imethibitisha nilichosema kwamba tracking number ukianza na TZ000, bila kujali ni chaguo gani la usafirishaji ulichagua, mzigo wako utaletwa na SPEEDAF.
Hivyo, jipe nafasi ya kujifunza kutoka kwa wengine, hata kama hoja zao zinakinzana na kile unachofikiria au unachokijua kinadharia.
Kumbuka kwamba majibu mengi ninayotoa hapa jukwaani hutokana na uzoefu wa hali halisi na sio nadharia za kufikirika.
Replied.Mkuu samahani nimeku PM