t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Alikupiga! inatakiwa iwe free deliveryHapana nililipa gharama ya kutoka mjini Hadi nilipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikupiga! inatakiwa iwe free deliveryHapana nililipa gharama ya kutoka mjini Hadi nilipo
[emoji23][emoji23]Alikupiga! inatakiwa iwe free delivery
Njia rahisi ni kupata mawasiliano ya ofisi. yao ya dar. Halafu unamtuma mtu akakuchukulie mzigo wako pale na akutumie ulipo.Sasa kwa sisi wa mikoani hatuna namna ya kuwafikia ofisi kwao hapo Dsm the only way ni wao waitume tulipo au wana watjmia mawakala wao ? Mfano mm mzigo wangu unaonekana tayar washau transport kuja Shy town
Kama una namba zao pls naomba unisaidieNjia rahisi ni kupata mawasiliano ya ofisi. yao ya dar. Halafu unamtuma mtu akakuchukulie mzigo wako pale na akutumie ulipo.
Items ambazo zilizotumwa kwa bei rahisi h tracking huwa inaishia dar main ofice .
+255754235269Kama una namba zao pls naomba unisaidie
Asante kiongozi+255754235269
0677 060 191
0683 171 070
Hao watakuwa mawakala wao. nilikuwa na direct contact yao naitafuta nikiipata nitaiweka hapaNaona hizi namba ni za watu binafsi wanasema hawapo speedaf
Kwa Arusha jemikoani wana maagent wao , mimi nipo moshi mizigo napokelea kwa agent wao wa moshi.
Arusha yupo agent jiran na idara ya maji.Kwa Arusha je
Mkuu hao wote ni watumishi wa Speedaf. Wako ofisini na wengine wasambaza mizigo. Wapigie waambie ulituma una parcel toka Aliexpress.Naona hizi namba ni za watu binafsi wanasema hawapo speedaf
Nimepolea percel yangu asante mkuu kwa tips mbili tatuMkuu hao wote ni watumishi wa Speedaf. Wako ofisini na wengine wasambaza mizigo. Wapigie waambie ulituma una parcel toka Aliexpress.
sijajua ila kma moshi wapo, no way out Arusha wasiwepo.Kwa Arusha je
Oi we ni mshambaAlikupiga! inatakiwa iwe free delivery
Wewe ni muongo na hujui unachoongeaNjia rahisi ni kupata mawasiliano ya ofisi. yao ya dar. Halafu unamtuma mtu akakuchukulie mzigo wako pale na akutumie ulipo.
Items ambazo zilizotumwa kwa bei rahisi h tracking huwa inaishia dar main ofice .
Dogo umezoea kuongopewa unadhani kila mtu ni wa kaliba yako!! Wewe kama ulilipishwa ni juu yako service zao hao jamaa hata wakikuletea nyumbani ni free delivery.Wewe ni muongo na hujui unachoongea
Mshamba mie au weye unayelipishwa wakati kitu ni bure ?Oi we ni mshamba
Speedaf ni wakala mpya wa kupokelea mizigo kutoka china mainland .Munasemaga apa ndo unapata spedaf.. Tokea 2021 nianze mishe izi, apo kwa shiping method sijawai bumiana na ilo neno, ata na parsel nilizowai ship Aliexpress sjawai pokea yenye nembo au chata spedaf.. Je Muliowai munafanaye au shipping adress izo za tz uko kwenu mumesevi vipiView attachment 2699002View attachment 2699003
Dogo umezoea kuongopewa unadhani kila mtu ni wa kaliba yako!! Wewe kama ulilipishwa ni juu yako service zao hao jamaa hata wakikuletea nyumbani ni free delivery.
Simu ninayotumia ku type hapa nimeletewa na hao hao speedaf au (caniao)