Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Yani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini.

Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote.

Yani ni metoa jamaa tendwe tukapate supu anaona mimi naagiza makongoro ya ng'ombe yeye anaagiza mchemsho wa kuku tena kidali. Kwa nini usisubiri kusikia muhusika kwanza.

Kuna wengine umeagiza chakula cha kawaida yeye anaagiza kushinda wewe.

Tuheshimiane tutakwepana: Jana nampa mtu ofa chukua bia anaona nakunywa balimi yeye anataka windock tena anabugia kwa sifa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu kama huna pesa yakutosha kwann unaalika raia? Binafsi nikikualika kula na kunywa unacho jisikia!!!! Inawezekana wewe unachotumia mwenzio hatumii usilazimishe mtu apige balimi kisa wewe ndo mlipa bill[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Angepelekwa kwa manager akadeki vyoo 🤣🤣🤣🤣 me nkitembea na muamala mnaniona nna kibri...aibu hizi nani anataka.
Wafundisheni watoto tabia ya kuwajibika na kutopenda kupewa pewa . Wafundisheni kutoa..kamwe haya mambo ya mtu kula laki3 na kulia shida kibao kwenye mtoko wa kwanza hamtayaona
Ustaarabu hajuna.
Jitu likitoka malinyi likaja mjini kila kitu kuiga tu na waalimu wao ni wale wa saloon kuwa ukitoka na mtu mkomoe...kuna siku utaosha vyombo🤣🤣🤣

Mimi ukinialika mahali kama mfuko hauko sawa nakunywa maji yangu...chakula nakuambia no thank you.
Unapokula mwanaume hata kama umeitwa changia bill labda muungwana akatae kuwa anaimudu kulipa.
 
Angepelekwa kwa manager akadeki vyoo 🤣🤣🤣🤣 me nkitembea na muamala mnaniona nna kibri...aibu hizi nani anataka.
Wafundisheni watoto tabia ya kuwajibika na kutopenda kupewa pewa . Wafundisheni kutoa..kamwe haya mambo ya mtu kula laki3 na kulia shida kibao kwenye mtoko wa kwanza hamtayaona
🤣 You seem to be properly raised. Dada zangu wa kipare huwa smart sana wakipiga shule vizuri na kuwa na exposure.

Hapo Meneja wangemalizana nae tu sihitaji jambazi kwenye maisha yangu mimi 🤣
 
Ustaarabu hajuna.
Jitu likitoka malinyi likaja mjini kila kitu kuiga tu.

Mimi ukinialika mahali kama mfuko hauko sawa nakunywa maji yangu...chakula nakuambia no thank you.
Unapokula mwanaume hata kama umeitwa changia bill landa muungwana akatae kuwa anamudu kulipa.
Mimi nachoagiza huwa nina hela ya kukilipia mfukoni. In case hata ikitokea ndivyo sivyo naweza ku clear.
 
Nakuambia mapema sana kabla ya kuagiza chochote kwamba agiza chakula / kinywaji kwa gharama isiyozidi kiasi kadhaa, tena nakuambia nikiwa nakutazama usoni macho kwa macho na kwa msisitizo. Ikizidi ni juu yako kulipa.....hela ni rahisi sana kuitumia lakini ni kazi kweli kweli kuitafuta
 
Kila mara jf huwa nasisitiza wanaume tuchague wanawake wenye akili unafikiri huwa natania?.

Kuna pisi mkikutana tu na kujumuika chakula anaanza kukuita mume na kuanza kukudhibiti..imejini ni day 1.


Hiyo hiyo day one anakueleza shida zake zoote.
1. Mama mgonjwa
2. Kodi ya nyumba
3. Gas imeisha
4. Kesho kutwa birthday yangu nataka 1m.
Yaani nilichoka na huu ni uhalisia.
Lisaa limoja na nusu nilipewa bajeti ya 1.6m.

Sijamtingoza na sikuwa na mpango.
Dejane hebu niambie nilikutana na pepo au nini?

Note: kuomba sio dhambi bali timing ni muhimu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] balaaaa ulikutaja na shetan
 
Naonaga waturuki kwenye tamthilia kila mahali wanapoenda wanaagiza chai au kahawa na ikiwa chakula ni kidogo sana bite tu
Sisi tunataka kuku ,bia,chips ndio maana tunanenepeana hovyo
Kila watu na tamaduni zao mkuu, ila kila kitu kifanyike kwa kiasi, hakutakuwa na malalamiko. Sasa mmekutana just for dinner mwenzako anaagiza hennesy ya 90k si kuumizana huko jamani.
 
Kila watu na tamaduni zao mkuu, ila kila kitu kifanyike kwa kiasi, hakutakuwa na malalamiko. Sasa mmekutana just for dinner mwenzako anaagiza hennesy ya 90k si kuumizana huko jamani.
Boya wangu aliagiza 3 baba🤣🤣🤣
Na ni day one.
Unajua kuna falla anakujua kiundani yuko huru kwako kwa day one huko ni kuchemsha hata kama uko na mzungu
 
Nakuambia mapema sana kabla ya kuagiza chochote kwamba agiza chakula / kinywaji kwa gharama isiyozidi kiasi kadhaa, tena nakuambia nikiwa nakutazama usoni macho kwa macho na kwa msisitizo. Ikizidi ni juu yako kulipa.....hela ni rahisi sana kuitumia lakini ni kazi kweli kweli kuitafuta

Kaka kwaio nikiagiza mfano kikazidi 3000 utagoma kulipa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣 You seem to be properly raised. Dada zangu wa kipare huwa smart sana wakipiga shule vizuri na kuwa na exposure.

Hapo Meneja wangemalizana nae tu sihitaji jambazi kwenye maisha yangu mimi 🤣
Me sio mpare
Mbona hamtakiii
Mpare bi mkubwa
Me kabila la mkapa
 
Back
Top Bottom