Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

Mnapopewa ofa muwe mnaanza kujitathimini

🚫🚫🚫WAUNGWANA NA WANA CHITCHAT WENZANGU🚫🚫🚫🚳

Mimi ndugu yenu Glenn leo naona nimeteleza.
NAomba nichukue fursa hii kuwaomba radhi watu wafuatao;

Pellaiah
Inna
Hawa dada zangu mara nyingi tunataniana sana tu lakini leo nahisi kuna kitu hakijaenda sawa.

DAda zangu naomba mniwie radhi najua kuna mahali sijawatendea haki kwa lugha niyotumia kuwa wajibu.

Sio uungwana kwa mwanaume kumkemea au kumuudhi mwanamke kwa namno yoyote ile hasa hasa hadharani.
Naomba radhi wanawake wote ambao kwa namna moja au nyingine wamekwazwa na kauli zangu za ukali kwa hao niliowataja;

Nakadori Joan S
Tinsley na wengine mliosoma hizo post 2.

Ninawaahidi kuwaheshimu siku zote na hili halitatokea teana.
Asanteni wote kwa uelewa
U r a gentleman
I will respect u forever
 
Na wanaume kama makondoo mpo tu maana hayo ndo mambo mnapenda.
Thanks mkuu wa mkoa kwa kukemea naona sku hizi wanapiga vijora

Na wewe unapinga?

Mi napenda kweli haya mambo japo naeza kwenda club na baibui ila nikifika huko nikutane na wadada wale sexxxy
 
maana picha linaanza tuna sura za baba zetu halafu hatuna pigo za kisister du na pia tunajiweza kiaina, hivyo kutongozwa na kuhongwa kwetu siyo dili wala nini
Hahahahaa dah! Nisamehe bure maana huwa ni mtu wa furaha all time, but to be honestly Glenn you have to give her a huge hug and the wonderful compan sometimes 🤣🤣🤣
 
My brother Glenn kama ni kweli uko kama ulivyojielezea basi Mungu akubariki, hongera sana sana mkuu, napenda kuwa na marafiki kama nyie

Si kwa sababu ya hizo ofa sijui out bali ni kwa sababu ya hiyo kauli uliyosema, kwamba siyo kila mwanamke wewe lazima umle, na hii siyo mara ya kwanza nakuona uko against huu ulimbukeni

Kama sijakuelewa vibaya, basi umemaanisha kwamba wewe unaweza kuwa na urafiki na mwanamke bila kumla, so bila shaka una marafiki wa kike kibao ambao hujawala si ndio

Yani wanaume design yako mmebaki wachache, binafsi napenda sana kuwa na marafiki wa kiume ila wengi huwa tunashindwana hapo tu, lazima tu atataka akuletee mambo ya kiwaki

Wana msemo wao eti hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke lazima tu mtakulana, sasa siyo kila mtu anafagilia hizo mambo, wengine tunapenda kuwa na washikaji tu na si vinginevyo

Mimi binafsi mwanaume ambaye ni rafiki yangu, na hajawahi nitongoza wala kuniomba ngono huwa namheshimu saaana yani saaana, kuliko wanaojifanya wanataka waonekane vidume

Kwanza wengine tukikutana na watu hatunaga mambo ya kichawa wala vizinga hata uwe na hela vipi, sisi wengine tunachohitajigi ni urafiki tu maana picha linaanza tuna sura za baba zetu halafu hatuna pigo za kisister du na pia tunajiweza kiaina, hivyo kutongozwa na kuhongwa kwetu siyo dili wala nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unamwonea binti huyu bure.
Kaongea tu kawaida mkuu.
Maisha ni haya haya mkuu
Yah! She spoke out her mind! And I think she needs some therapy treatments OR otherwise problems start from there tomboys and rude girls are going to rise up!
 
Sina cha kuongeza Zodwa
Mimi sio mkamilifu but nina kanuni zangu.
Katika utani woote ninaufanya hapa nina mipaka ya utani.

KUna watu wachache hapa jf wananifahamu fika nilivyo nje ya jf...ni marafiki zangu sana sana.

Kwanza mimi nikitoka mwanamke sipendi nijulikane labda wagundue wao kwa vyanzo vyao wenyewe.
Naona ni utoto kujisifia natoka na flani...ili iweje?


Pili siwezi kutamani kila mwanamke kwani nina vigezo vyangu vya kuingia kwenye uhusiano.

Tatu kama unavyoona kuna watu wamenizoea na tunataniana..ndivyo nilivyo nje ya jf.

Watu wasioujua ndani wangu huwa wanahisi mimi sijatulia lkn hapana hapana....nina marafiki wengi wanapenda kampani yangu lkn pia nina mipaka ya urafiki pamoja na maeneo ya kuchangamana.

Laiti ningejiachia nakiri ningekufa kitambo sana kwa maradhi lkn ashukuriwe Mungu amenipa self contral...nina mipaka katika mahusiano na urafiki.

Unafikiri ni rahisi?
Hapana ni jambo gumu sana.

Siku nikipata kibali nitaweka visa na mikasa ambayo nimepitia na ninapitia kwani wasichana nao wa (moyo)

Hapo kwenye mabano kuna somo refu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uko vizuri brother, bug up sana
 
Back
Top Bottom