Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I told him that’s kind of good relation indeedNimefurahi mkuu, Zodwa anapenda urafiki usiohusisha ngono, which is [emoji106]
Ngwe gani tena mzee, hii convo naifatilia tu, nimependa mnavyohitimisha..kuna ubaya mzee?Tumeanza ungwe hii lini bro
I thought of that but nothing serious, Big time broh!Mmmh bro...????
Ndo maana yake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli kabisa endapo mtu Amekuambia kuwa agiza chochote unachotaka au nakosea wakuuu?
Unakichaa mwenyeweTunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.
Ndugu chizcom , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.
Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2476220
Huwezi toka na kila mtu, sio sawa kila unayemuona uwe unamtaka tu. Lazima tuwe na kiasi, tuwe na limits lakini ni vizuri kutengeneza marafiki wasiohusisha ngono ndani yake. Madhaifu yapo lakini ni ya kibinadamu.Ninachoshukuru nawe ndivyo ulivyo bro.
Je utatoka na kila mtu?
Hata dogs huwa hawafanyi hivyo
Niende kwake tena mkuu? How?Ufanye hima uende kwake ujue kulikoni
Au uko naye tayari?Niende kwake tena mkuu? How?
Indeed mkuu!JF where we dare to speak openly
Mmh huwa nasita sana.Touché
Youre a man of class
Ukiweka hivo visa usisahau kunitag
PLEASE DO NOT!!Mmh huwa nasita sana.
Huenda kuna siku nitafunguka
NotedPLEASE DO NOT!!
Kunidiss sio ujasiri ni suicideUnakichaa mwenyewe
Hata wewe kunidis kuniita kichaa ni suicide sio sifaKunidiss sio ujasiri ni suicide
Uliza wanaonijua kwa kina, nikiamua kumdiss mtu huwa nahakikisha namvunjia heshimaHata wewe kunidis kuniita kichaa ni suicide sio sifa
Well I think this ain’t kind of music you’ll love because it’s jazz and I feel so blessed when I hear the sound!Here we go
DJ walete mapsychologist
Anyway sitaongea sana mimi ujumbe wangu ulikuwa ni huo tu kwa Glenn hayo Mengine nimewaachia nyie mkuu