GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Asante Mkuu na kamwe usiache Kuniamini kwani nina Utajiri mkubwa wa Kimaono na Fikra na ukiona nasema Jambo basi kuwa nalo makini mno kwani kwa 95% huwa nakuwa sahihi na Critical Observations zangu zitokanazo na Fikra pana nilizojaaliwa nazo na Mwenyezi Mungu.Nakuamini sana mkuu.
ww si entertainer na charismatic fella? Leo imekuwaje uwe mtabibiri wa vifo vya watu?Asante Mkuu na kamwe usiache Kuniamini kwani nina Utajiri mkubwa wa Kimaono na Fikra na ukiona nasema Jambo basi kuwa nalo makini mno kwani kwa 95% huwa nakuwa sahihi na Critical Observations zangu zitokanazo na Fikra pana nilizojaaliwa nazo na Mwenyezi Mungu.
Yetu macho!Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.
Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.
Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.
Na bado!
Mwenyekiti wao alisema Chadema hakukaliki, kumbe ilikuwa kinyume chake.Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.
Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.
Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.
Na bado!
CCM ni chama mfu, chama ambacho utashi wa mwenyekiti ni sahihi na haupingwi na yoyote, hicho sio chama Bali genge la majizi. Kitendo Cha ccm kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti kimefubaza hamasa za siasa hapa nchini.Chama bila misukosuko ni chama mfu.
Hahaaaa, Genta kama Genta katika ubora wake.Asante Mkuu na kamwe usiache Kuniamini kwani nina Utajiri mkubwa wa Kimaono na Fikra na ukiona nasema Jambo basi kuwa nalo makini mno kwani kwa 95% huwa nakuwa sahihi na Critical Observations zangu zitokanazo na Fikra pana nilizojaaliwa nazo na Mwenyezi Mungu.
Umewashindwa HAMAS sasa unataka kuhamia CCM sio. Hawa hata sisi Wapalestina wa kwa Matias tunakuunga Mkono Waziri Mkuu wa Israeli uwashughulikie. Huwa majuha ni wakoloni weusi. Wafyeke wote.Wacha wauane hakuna namna hawana maana yoyote