Mnashangaa nini leo kuona CCM kumevurugika? Mimi si niliandika uzi hapa JF kuelezea mpasuko CCM mkanipuuza?

Mnashangaa nini leo kuona CCM kumevurugika? Mimi si niliandika uzi hapa JF kuelezea mpasuko CCM mkanipuuza?

Mvua zote kubwa za kufulikisha lakini nchi bado iko gizani ?![emoji848][emoji848]

Mvua za elnino volumes kubwa lakini giza kila mahala?! [emoji24]

Inasikitisha mpaka basi!

Walotufikisha hapa ni kina nani?

Wa chama gani?
 
Acha uongo wewe CCM imepasuka wapi [emoji848] uko wapi Uzi leta huo Uzi by evidence siyo unaandika porojo porojo hapa. Hivi ujui CCM ni jitu kubwa lisilotabirika.
Unajitutumua Bure, mioyo ya wanaccm wenzako ni vichaka, hujui wanayoyawaza.
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
Tunaelekea Januari ya 2024, hayo makundi bado unayaona?
 
Back
Top Bottom