Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Siko kwenye mood ya kukujibu, just wait and see. Nitarudi kwako at the right timeAcha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Ingieni barabarani nyie si mnajidai vinyozi banaSiko kwenye mood ya kukujibu, just wait and see. Nitarudi kwako at the right time
Tuliza kalio!Ingieni barabarani nyie si mnajidai vinyozi bana
Hatuna Polisi Bali genge la CCMMapolisi badala ya ku deal na uhalifu unaoongezeka nchini..yenyewe yanaenda kuwakamata wanasiasa..very sad
Tuliza nanihiii, tutashangilia chochote kile hamuwezi kutupangiaAkili za kihayawani hizi kusubiri kushangilia misiba.
Mungu atawakomboa watu wake siku moja.. kwenye hili naaminiMnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
sorry case ya south africa ni different case.Hizi haki za kukusanyika na kuandamana zimeigeuza africa ya kusini jalala, wacha tu mtulinga utumike kwanza hadi korona itakapotuachia
Mama kichwani ni empty head,anachoweza ni kula urojo,kupanda ndege na kuzurura,kushona suti,kurembua ila akili ya kufanya kazi hana kabisaMnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kuna kitu kigumu umekalia,paka mafutaAcha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Usishabikie barabarani,hata wewe utaathirika bila kujali upo chama gani.Ingieni barabarani nyie si mnajidai vinyozi bana