Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #81
Wewe ni kengekamata wahuni hao,wanatuharibia usalama wa nchi yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kengekamata wahuni hao,wanatuharibia usalama wa nchi yetu.
Si mnao wembe... wanyoeni 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Wanazima huu unaotaka kuanzaYeah naona hadi moto Kariakoo waliuzima kwa wakati
Mkwe wa huyu au mwendazakeMama hawezi kutawala amepata hiyo nafasi kwa mungu kumchukua shetani mwenzake,kajaza watu wake ikulu mpka head wa usalama ni mkwe wake...anachoweza ni kula urojo tu
Vinyozi wasiokuwa na nidhamu lazima wantooshweMapolisi badala ya ku deal na uhalifu unaoongezeka nchini..yenyewe yanaenda kuwakamata wanasiasa..very sad
Uzi kinyesi huuMnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Imeisha hiyo...kongamano labda UfipaViongozi wetu waachiwe mara moja ili waendelee na Kongamano la Katiba mpya.
Sawa! Leo sijibishani na wapuuziUzi kinyesi huu
Wapuuzi sana hao!Wanazima huu unaotaka kuanza
Tuliza naniliuSi mnao wembe... wanyoeni 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Kesho ukipata muda uje ubishaneSawa! Leo sijibishani na wapuuzi
Kama Kanda ya ziwa mko vizuri mbona kamkutano kadooogo tu mnaleta mpaka magari ya deraya?Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Hawa wote akili zao ni za akina Mdude, SACCOS hii inabidi ianze kuuza mboga badala ya kufanya siasa.Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Vinyozi wasiokuwa na nidhamu lazima wantooshwe
Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kwa lile pigo la March, hata CHADEMA yote tukipelekwa jela, tutaendelea kushangilia ushindi! Na usemalo lipo na linakuja, tutashangilia sana!Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.