Mnashangilia kukamatwa kwa Mbowe, tutashangilia muda ukifika

Mnashangilia kukamatwa kwa Mbowe, tutashangilia muda ukifika

Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Mbowe & co will definetely have the last laugh!
 
Watawakanata ili tu kuwatuliza, lakini nsheria haitawafunga!
Lait kama polis wangefanya timing kwenye ule moto wa kariakoo kama wanavyofanya kwenye mikutano ya CHADEMA, hakika hata mchomaji tu wangemkamata na ule moto wala usingefika popote!
Lakin ajabu wanatumia nguvu nyingi kwa vitu visivyo na msingi!
Unadhani tuna Polisi ndugu!
 
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Mbona mlishangilia sana wakati wa kifo cha Magufuli ukipande mawe utavuna mawe.
 
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.

Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kufa anakufa MTU yeyote.Anaweza kufa Mbowe.Kufariki Magufuri.Sasa viongozi wa serikali na ccm ndio pekee wanakufa.Huo ni ujinga mkubwa ,kusema CDM hawafi.
 
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kweli kabisa
Hakuna viumbe wasahaulifu duniani kama ccm.
Kuku Cha mtoto.
 
Mtashangilia nyie wakati na sisi tunasubiria zamu yetu ifike.
Ila sisi shangilio letu huwa linawauma Sana kwani watu huwa hawaruhusiwi hata kunywa vinywaji na kula nyama.
Watu walichinja na kula nyama utadhani siku ya kuchinja imefika,wakati Siku ya kuchinja Ni Leo.
 
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Bora atwaliwe huyu dikteta
 
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.

Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.

Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Bavicha bana kwani viongozi wa Chadema wao wana mkataba na Mungu wataishi milele.
 
Back
Top Bottom