mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
ndio.Kwa hiyo Raisi wetu umembatiza kuwa Bi arafa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio.Kwa hiyo Raisi wetu umembatiza kuwa Bi arafa?
Mbowe & co will definetely have the last laugh!Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Unadhani tuna Polisi ndugu!Watawakanata ili tu kuwatuliza, lakini nsheria haitawafunga!
Lait kama polis wangefanya timing kwenye ule moto wa kariakoo kama wanavyofanya kwenye mikutano ya CHADEMA, hakika hata mchomaji tu wangemkamata na ule moto wala usingefika popote!
Lakin ajabu wanatumia nguvu nyingi kwa vitu visivyo na msingi!
Mbona mlishangilia sana wakati wa kifo cha Magufuli ukipande mawe utavuna mawe.Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kufa anakufa MTU yeyote.Anaweza kufa Mbowe.Kufariki Magufuri.Sasa viongozi wa serikali na ccm ndio pekee wanakufa.Huo ni ujinga mkubwa ,kusema CDM hawafi.Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Kweli kabisaMnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Akili za kihayawani hizi kusubiri kushangilia misiba.
[/
Kama vile akili za kushangilia Mbowe akiwekwa ndani.poyoyo kabisa wewe.
Kijana tumia lugha yenye stara pindi unapoongelea Viongozi wa Kitaifa Mwenyekiti wako ni 'Mama'mlishangilia kifo tukawaacha leo basha wenu kukamatwa tu, tunafurahi mnapata kifafa!!!
Ila sisi shangilio letu huwa linawauma Sana kwani watu huwa hawaruhusiwi hata kunywa vinywaji na kula nyama.Mtashangilia nyie wakati na sisi tunasubiria zamu yetu ifike.
Ndio maaana nikawakunbushaMataga pori ni wasahaulifu sana.
Hivi bado tu wanaamini kuwa viongozi wa chadema wanaziogopa kuta za mahabusu?
Bora atwaliwe huyu diktetaMnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Bavicha bana kwani viongozi wa Chadema wao wana mkataba na Mungu wataishi milele.Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Na kila wanapokutana ni kuitukana serikali tu.Ni mijinga sana hii mibavicha!
Eti tunapumua, dhalimu kafa,
Ngoja sasa iipate vizuri
Ndio maaana nikawakunbushaMataga pori ni wasahaulifu sana.
Hivi bado tu wanaamini kuwa viongozi wa chadema wanaziogopa kuta za mahabusu?
Mtashangilia tu na sisi tutashangilia pia wala hakuna shidaBavicha bana kwani viongozi wa Chadema wao wana mkataba na Mungu wataishi milele.
Na kila wanapokutana ni kuitukana serikali tu.
Sent using JF app
Yeah naona hadi moto Kariakoo waliuzima kwa wakatiVyombo vya dola vipo kazini