tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mama hawezi kutawala amepata hiyo nafasi kwa mungu kumchukua shetani mwenzake,kajaza watu wake ikulu mpka head wa usalama ni mkwe wake...anachoweza ni kula urojo tuMapolisi badala ya ku deal na uhalifu unaoongezeka nchini..yenyewe yanaenda kuwakamata wanasiasa..very sad