tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mama hawezi kutawala amepata hiyo nafasi kwa mungu kumchukua shetani mwenzake,kajaza watu wake ikulu mpka head wa usalama ni mkwe wake...anachoweza ni kula urojo tuMapolisi badala ya ku deal na uhalifu unaoongezeka nchini..yenyewe yanaenda kuwakamata wanasiasa..very sad
PAKA akiondoka panya ubaki na furahaAcha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Sasa kilichokuwasha kuandika uzi ni nini..unawashwawashwa (kwa sauti ya Magu)Tuliza nanihiii, tutashangilia chochote kile hamuwezi kutupangia
mlishangilia kifo tukawaacha leo basha wenu kukamatwa tu, tunafurahi mnapata kifafa!!!Siko kwenye mood ya kukujibu, just wait and see. Nitarudi kwako at the right time
hao nao ni wahalifu, labda kama hujui kuna aina ngapi za uhalifu.Mapolisi badala ya ku deal na uhalifu unaoongezeka nchini..yenyewe yanaenda kuwakamata wanasiasa..very sad
wewe tumekuruhusu la kwako tikisa.Tuliza kalio!
Utakijua, wewe tulia tu!Sasa kilichokuwasha kuandika uzi ni nini..unawashwawashwa (kwa sauti ya Magu)
Kwani hao UVCCM walikuwa wanaongelea maendeleo au walikuwa wanataka kukiuka amri halali zilizowekwa na viongozi?Mnashangilia na kutukana kukamatwa kwa Viongozi wa CHADEMA kwa kutumia haki yao kukusanyika sio? Jana UVCCM walikua na MKUTANO Dodoma. Hatukusikia upuuzi wowote wa Polisi, walikua wameufyata.
Sasa nawapa taarifa siku na nyie kiongozi wenu akiitwa kupumzika milele msije mkawalaumu Chadema wakishangilia.
Wacha Leo tupitishwe kwenye huu moto, tutatoka imara zaidi ila msije mkatulaumu wakati wenu ukifika.
Ingia barabaraniHatuna Polisi Bali genge la CCM
Peleka wewe mume wako akawe raisMama kichwani ni empty head,anachoweza ni kula urojo,kupanda ndege na kuzurura,kushona suti,kurembua ila akili ya kufanya kazi hana kabisa
Unaongea wewe kama nani?Viongozi wetu waachiwe mara moja ili waendelee na Kongamano la Katiba mpya.
Ni mijinga sana hii mibavicha!mlishangilia kifo tukawaacha leo basha wenu kukamatwa tu, tunafurahi mnapata kifafa!!!
Wekeni Jeshi kando mje nyie wenyewe....hahahh wacha niishie hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajinga nyie!
Huwa mnajifananisha na Mandela mnafikiri Mandela alikuwa mrenda kama nyie?
Hivi kufanya Kongamano ni Vituko? Au Jana UVCCM Dodoma walipokusanyika walikua wako mbinguni sio?YOTE HAYA YANATOKEA KWA KUWA WATU WAMEOMBWA WAMPE MUDA NA HAWATAKI. MTU KAKAA MADARAKANI SIKU 120 TU MNAMFANYIA KILA AINA YA VITUKO.