Mnashangilia kukamatwa kwa Mbowe, tutashangilia muda ukifika

Si mnao wembe... wanyoeni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Jukwaa Hili limekua kichaka cha matusi,,Yani watoa lugha chafu wote humu πŸ˜‚
 
Mama hawezi kutawala amepata hiyo nafasi kwa mungu kumchukua shetani mwenzake,kajaza watu wake ikulu mpka head wa usalama ni mkwe wake...anachoweza ni kula urojo tu
Mkwe wa huyu au mwendazake
 
Uzi kinyesi huu
 
Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Kama Kanda ya ziwa mko vizuri mbona kamkutano kadooogo tu mnaleta mpaka magari ya deraya?
Mngekua na akili mngenunua magari ya Zima Moto tuokoe japo kidogo tulichokua nacho.
 
Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
Hawa wote akili zao ni za akina Mdude, SACCOS hii inabidi ianze kuuza mboga badala ya kufanya siasa.
 
Kimekua cha hovyo kuliko wewe ulivyo wa hovyo
Acha upoyoyo, kama kufa ni kila mtu atakufa. Kwa hiyo nyie mkishangalia vifo ndo mnakua mmepata faida sana sio! Chadema kimekua hopeless sana, yaani maujinga ujinga kibao. Kifutwe kabisa, na tena huko kanda ya ziwa hatutaki hata kukisikia.
 

mbowe ashakuwa mrema, hana jipya
kajiweka mbali na wananchi
eti chanjo lazima

lini watanzania walihangaika nae?
 
Kwa lile pigo la March, hata CHADEMA yote tukipelekwa jela, tutaendelea kushangilia ushindi! Na usemalo lipo na linakuja, tutashangilia sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…