Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

Changamoto ni kuwa na watumishi wa Uma na vyombo vya dola wenye akili kama za mbwa.
Tukiwalaumu Marais moja kwa moja bila watumishi wa Uma na vyombo vya dola siyo sawa hata kidogo.
Rais ni mtu kama walivyo wao na wanatakiwa wamshauri na kutekeleza maagizo yake kwa weledi.
Kwa ujumla wake, tatizo kubwa ni watumishi wa Uma na siyo viongozi wakuu wa nchi.
Kama bunge, mahakama, majeshi na taasisi nyingine za uma zikifanya kazi zake kwa weledi, hizi changamoto za kumlaumu Rais zitapungua sana.
Nira za utumwa wa fikra bado hazijaondolewa kwa watumishi wa Uma.
 
Kosa moja halihalalishi jingine.
Kama nyakati zote kulikuwa na wizi wa kwenye uchaguzi hakuhalalishi wizi mkubwa wa 2020.
Busara ni kukemea vitendo vya wizi wa kura ili kujenga jamii na taifa la watu wastaarabu.
 
Mara hii umesahau habari za Mwangosi...!!! Umesahau ajali ya Hayati Filikunjombe na mtoa taarifa wa kwanza wa ajali hiyo...kabla ya maneno kuwekwa sawa ..nyumba ya vioo hiyo ..tulizana Mkuu.

..hata familia ya Mwangosi inastahili kuombwa radhi, na kufutwa machozi.

..tusifumbie macho mambo ya kikatili na kinyama yanayofanywa na serikali na viongozi wetu.
 
Tujisahihishe - Kauli maarufu ya CCM.

Tukijisahihisha 2011-2014, Inatosha 2015 tunaharibu. 2016-2019 tunaanza kuhubiri tena “tujisahihishe”. 2020 tunaharibu tena, 2021-2024 tunahubiri kujisahihisha. 2025 tunaharibu tena……. Tunaendelea na pattern ile ile.

What a joke!
 
🤣🤣🤣🤣
 
..kama kuna madaraja ya uhalifu wa kisiasa Magufuli na genge lake wako daraja la juu kuwazidi wenzao.

..kwa mfano, shambulizi dhidi ya Tundu Lissu, unaanzaje kumtetea Magufuli kwa ushenzi wa kiwango kile?
Naam! ni kupitia uhalifu wake ninathubutu kutambua madaraja ya uhalifu ; Wadokozi, vibaka na Majambazi
JPM ni daraja la juu la Ujambazi kama alivyothibitisha 2020. Ni Jambazi tu ndani ya suti. Ni jambazi tu
 
Wanccm wamezidi malalamiko kuhusu Uchaguzi ni Wazi sasa Tume huru Na Katiba Mpya iwekwe
 
Kwa jinsi mambo yalivyokuwa yanaenda 2010 wale wa 2015 ndio hao hao.
 
Huyo unayemtetea hasafishiki hata kwa Detol na Dodoki.
 
Wizi wa kura na ujambazi wake hakuna kipindi kinachozidi kingine. Tofauti ni JPM hakuwa mnafiki na kona kona. Ukisikia mtu anasema 2020 ilizidi ujue huyo hajawahi kuwa front kwenye uchaguzi na kama alishiriki hakuwa insider alisikia sikia tu vitu.
Lakini nyie wezi kila mwaka mnasemaga mnashinda kwa haki. Leo mmeumbuka sasa mnasakikiziana😂
 
You are not serious.....Kila mwenye akili anaanza kwanza na namna viongozi wanapatikana....So Uchaguzi ni namba One...huwezi kuchagua wavivu na wala rushwa harafu unataka kuona majukum yakifanyika.
 
A
Anakuwaje Mjinga na amekuwa kiongozi Kwenye chama chako?

Na amepewa Nyaraka mbali mbali za wizara na wewe uko hapa unapiga makelele tu?

Mbona hizo nafasi hujapewa wewe?
 
Imewatesa sana hadi leo. Hakuna mwenye raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…