Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

A

Anakuwaje Mjinga na amekuwa kiongozi Kwenye chama chako?

Na amepewa Nyaraka mbali mbali za wizara na wewe uko hapa unapiga makelele tu?

Mbona hizo nafasi hujapewa wewe?
Ndio maana, tupo nyuma kimaendeleo kwa kuwa wajinga na wapumbavu ndio viongozi. Magenious, hatuongoz tunaandika paper na recommendations zinabaki makabatini. Ila, hakuna kisicho na mwisho.
 
Ndio maana, tupo nyuma kimaendeleo kwa kuwa wajinga na wapumbavu ndio viongozi. Magenious, hatuongoz tunaandika paper na recommendations zinabaki makabatini. Ila, hakuna kisicho na mwisho.
Ccm nyie hamna maajabu yoyote mtafanyia Nchi hii. Endeleeni kula kwa mrija tu.
 
Huyo unayemtetea hasafishiki hata kwa Detol na Dodoki.
Mtapiga kelele kama mbwa koko asiye tumia akili, Magufuli hamko naye Ila mko na hao wezi, wanyan'ganyi, wauaji, wapo hai ambapo mmeshindwa kuwabwekea hao kwa sababu ya ujinga mlio nao na mmekaza kulaumu maiti.

Wabongo mmeshainguzwa katika kitabu cha maajabu ya dunia, mnalaumu maiti 😂😂😂

Hata shetani anawashangaa
 
Mtapiga kelele kama mbwa koko asiye tumia akili, Magufuli hamko naye Ila mko na hao wezi, wanyan'ganyi, wauaji, wapo hai ambapo mmeshindwa kuwabwekea hao kwa sababu ya ujinga mlio nao na mmekaza kulaumu maiti.

Wabongo mmeshainguzwa katika kitabu cha maajabu ya dunia, mnalaumu maiti 😂😂😂

Hata shetani anawashangaa
Naona mnabweka nyinyi kwa nyinyi kama mmeshikana ugoni.

Dhambi ya wizi na kuvuruga uchaguzi inawatafuna
 
Kwa jinsi mambo yalivyokuwa yanaenda 2010 wale wa 2015 ndio hao hao.
Hao si mnao sasa katika serikali, kuna wengine JPM aliwafyekelea mbali Ila alipokufa tu bi Kizimkazi akawarudisha wote na ni hao hao wanaongoza serikali sasa, na ndio hao hao wezi na mafisadi na ndio hao hao wanagawana madaraka hadi na michepuko yao.

Wapo hai, halafu sisi kwa ujinga wetu talaumu mfu.

Kuwa mjinga ili mwerevu akutawale, ndivyo tulivyo wabongo
 
Hao si mnao sasa katika serikali, kuna wengine JPM aliwafyekelea mbali Ila alipokufa tu bi Kizimkazi akawarudisha wote na ni hao hao wanaongoza serikali sasa, na ndio hao hao wezi na mafisadi na ndio hao hao wanagawana madaraka hadi na michepuko yao.

Wapo hai, halafu sisi kwa ujinga wetu talaumu mfu.

Kuwa mjinga ili mwerevu akutawale, ndivyo tulivyo wabongo
Karma
 
Uchaguzi 2020 ulikuwa wa kipuuzi huuu ni ukweli mchungu

Tatizo labda wanaosema ndio wanafiki maana walishiriki kuhujumu uchaguzi.

Zigo la democracy na uchaguzi wa hovyo litamwandama magufuli vizazi na vizazi.

Tupende kusema ukweli magufuli alikuwa ni rais wa ovyo kwenye mfumo wa vyama vingi na hasa katika kipindi hiki cha digital wewe unatawala kama mkoloni ....

Angekuwa rais bora kama angetawala Tanzania baada ya Uhuru uko sio sasa.
Watu wenye akili ndogo ndiyo mmejazana kwenye siasa kwa asilimia 99%....kwa sababu democracy siyo muhimu kuliko kiongozi bora hapo ndipo magufuli alipo wapiga bao wapumbavu wote wa ccm na chadema na upinzani wote. Ni bora kuwa na kiongozi bora kuliko kuwa na democracy maana ukiwa na democracy kisha mkaitumia kumchagua barnaba na kumsulubisha yesu basi hiyo democracy ina faida gani ....wapumbavu wanadhani democracy ndiyo haki kumbe ni tofauti. Umuhimu wa democracy ni pale tu inapo tumika kutenda haki kwa kuchagua viongozi bora au kutoa maamuzi bora kinyume na hapo democracy inageuka uhuni tu. Watanzania tunataka kiongozi mzalendo mwenye kuleta maendeleo...kwa hiyo fisadi hata kama kapatikana kwa democracy ni upumbavu mtupu.
 
Wizi wa kura na ujambazi wake hakuna kipindi kinachozidi kingine. Tofauti ni JPM hakuwa mnafiki na kona kona. Ukisikia mtu anasema 2020 ilizidi ujue huyo hajawahi kuwa front kwenye uchaguzi na kama alishiriki hakuwa insider alisikia sikia tu vitu.
Kwahiyo hicho kilio cha 2020 ni kwa kuwa wote walikuwa front na insiders?
 
Changamoto ni kuwa na watumishi wa Uma na vyombo vya dola wenye akili kama za mbwa.
Tukiwalaumu Marais moja kwa moja bila watumishi wa Uma na vyombo vya dola siyo sawa hata kidogo.
Rais ni mtu kama walivyo wao na wanatakiwa wamshauri na kutekeleza maagizo yake kwa weledi.
Kwa ujumla wake, tatizo kubwa ni watumishi wa Uma na siyo viongozi wakuu wa nchi.
Kama bunge, mahakama, majeshi na taasisi nyingine za uma zikifanya kazi zake kwa weledi, hizi changamoto za kumlaumu Rais zitapungua sana.
Nira za utumwa wa fikra bado hazijaondolewa kwa watumishi wa Uma.
Kama katiba inasema rais hashitakiwi akiwa au ametoka madarakani, huku ana mamlaka makubwa Hadi kuunda vikundi vya kuteka wanaoenda kinyume na utashi wake, mtumishi gani wa umma ataacha kutii maagizo yake hata kama ni batili?
 
Watu wenye akili ndogo ndiyo mmejazana kwenye siasa kwa asilimia 99%....kwa sababu democracy siyo muhimu kuliko kiongozi bora hapo ndipo magufuli alipo wapiga bao wapumbavu wote wa ccm na chadema na upinzani wote. Ni bora kuwa na kiongozi bora kuliko kuwa na democracy maana ukiwa na democracy kisha mkaitumia kumchagua barnaba na kumsulubisha yesu basi hiyo democracy ina faida gani ....wapumbavu wanadhani democracy ndiyo haki kumbe ni tofauti. Umuhimu wa democracy ni pale tu inapo tumika kutenda haki kwa kuchagua viongozi bora au kutoa maamuzi bora kinyume na hapo democracy inageuka uhuni tu. Watanzania tunataka kiongozi mzalendo mwenye kuleta maendeleo...kwa hiyo fisadi hata kama kapatikana kwa democracy ni upumbavu mtupu.
Kwa haya maelezo yako ilikuwa sahihi kwa weusi wa africa kusini kufanyiwa unyama na makaburu, kwa sababu hao makaburu walikuwa wanaleta maendeleo?
 
Back
Top Bottom