Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Kama ni upuuzi mnataka nini?
Basi msubiri Maridhiano ya Kitaifa na nyie mtubu dhambi zenu za kutengeneza mazingira pamoja na kujiteka na kujipiga risasi....
halafu mpewe madaraka ya kupewa, si ndio lengo la Mbowe na Lissu?
Haya ya Uchaguzi hamuyawezi. Hamchaguliki.
Changamoto ni kuwa na watumishi wa Uma na vyombo vya dola wenye akili kama za mbwa.
Tukiwalaumu Marais moja kwa moja bila watumishi wa Uma na vyombo vya dola siyo sawa hata kidogo.
Rais ni mtu kama walivyo wao na wanatakiwa wamshauri na kutekeleza maagizo yake kwa weledi.
Kwa ujumla wake, tatizo kubwa ni watumishi wa Uma na siyo viongozi wakuu wa nchi.
Kama bunge, mahakama, majeshi na taasisi nyingine za uma zikifanya kazi zake kwa weledi, hizi changamoto za kumlaumu Rais zitapungua sana.
Nira za utumwa wa fikra bado hazijaondolewa kwa watumishi wa Uma.
Wanadhani tumesahau...inasikitisha sana.Usinikumbushe aisee
Sawa JPM ana mabaya yake na ni kweli 2020 uchaguzi ulikua wa faulo.Hivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2015 mambo yakaharibika? Yaani, tuamini JPM na timu yake walivuruga uchaguzi ili washinde 2015? Kabla ya hapo mambo yalikuwa powa.
Mmesahau kabisa yaliyotokea 2010?
Arumeru Mashariki
Nyamagana
Igunga
Nzega
Mbeya Mjini
Arusha Mjini
Tarime
Ubungo
Kilombero
Bumbuli
Na kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yalivyodaiwa kupikwa na kundi la vijana waliofadhiliwa data center kumanipulate data za Tume?
Au mmesahau jinsi vyombo vya Habari vilivyokatazwa kutangaza matokeo ya Urais kama yalivyo majimboni...
Najibiwa...
Mwanakijiji wewe ni sukuma gang...uchaguzi wa 2015 ndio JPM aliuharibu wa 2010 was the best election ever!!
Nawajibu
Hakuna mwaka Tanzania ilishuhudia damu kumwagika kwenye uchaguzi ili kuhakikisha utawala unabakia madarakani kama 2010. That's a fact not an opinion.
Nawauliza:
Nani alimwaga damu kuelekea uchaguzi wa 2020 au siku ya uchaguzi?
Tanzania imekuwa mahali salama sasahivi kwa mafisadi, vyeti feki, wapiga madili , wahujumu uchumi, wavivuNa afe tena mara ya pili huko aliko. Tanzania pamekuwa mahali salama pa kuishi bila huyo shetani wa Chato
Hata wewe mbona utakufa ndugu yangu huishi milele kwenye hii dunia ni swala muda tuNa afe tena mara ya pili huko aliko. Tanzania pamekuwa mahali salama pa kuishi bila huyo shetani wa Chato
Sio kama anatetewa hapana.Huyo unayemtetea hasafishiki hata kwa Detol na Dodoki.
Aliyoeleza na implication unayoleta ni vitu viwili tofauti.Kwa haya maelezo yako ilikuwa sahihi kwa weusi wa africa kusini kufanyiwa unyama na makaburu, kwa sababu hao makaburu walikuwa wanaleta maendeleo?
Kitu cha kujiuliza kwanini JPM alikua akichukiwa na majority ya wana ccm wenzake??Tanzania imekuwa mahali salama sasahivi kwa mafisadi, vyeti feki, wapiga madili , wahujumu uchumi, wavivu
Ujibiwe Mkuu!Hivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2015 mambo yakaharibika? Yaani, tuamini JPM na timu yake walivuruga uchaguzi ili washinde 2015? Kabla ya hapo mambo yalikuwa powa.
Mmesahau kabisa yaliyotokea 2010?
Arumeru Mashariki
Nyamagana
Igunga
Nzega
Mbeya Mjini
Arusha Mjini
Tarime
Ubungo
Kilombero
Bumbuli
Na kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yalivyodaiwa kupikwa na kundi la vijana waliofadhiliwa data center kumanipulate data za Tume?
Au mmesahau jinsi vyombo vya Habari vilivyokatazwa kutangaza matokeo ya Urais kama yalivyo majimboni...
Najibiwa...
Mwanakijiji wewe ni sukuma gang...uchaguzi wa 2015 ndio JPM aliuharibu wa 2010 was the best election ever!!
Nawajibu
Hakuna mwaka Tanzania ilishuhudia damu kumwagika kwenye uchaguzi ili kuhakikisha utawala unabakia madarakani kama 2010. That's a fact not an opinion.
Nawauliza:
Nani alimwaga damu kuelekea uchaguzi wa 2020 au siku ya uchaguzi?
π€π..kama kuna madaraja ya uhalifu wa kisiasa Magufuli na genge lake wako daraja la juu kuwazidi wenzao.
..kwa mfano, shambulizi dhidi ya Tundu Lissu, unaanzaje kumtetea Magufuli kwa ushenzi wa kiwango kile?
Huyo bwanako aliharibu Kila mahala sio tuu kwenye uchaguzi Hadi kwenye diplomasia na UchumiHivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2015 mambo yakaharibika? Yaani, tuamini JPM na timu yake walivuruga uchaguzi ili washinde 2015? Kabla ya hapo mambo yalikuwa powa.
Mmesahau kabisa yaliyotokea 2010?
Arumeru Mashariki
Nyamagana
Igunga
Nzega
Mbeya Mjini
Arusha Mjini
Tarime
Ubungo
Kilombero
Bumbuli
Na kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yalivyodaiwa kupikwa na kundi la vijana waliofadhiliwa data center kumanipulate data za Tume?
Au mmesahau jinsi vyombo vya Habari vilivyokatazwa kutangaza matokeo ya Urais kama yalivyo majimboni...
Najibiwa...
Mwanakijiji wewe ni sukuma gang...uchaguzi wa 2015 ndio JPM aliuharibu wa 2010 was the best election ever!!
Nawajibu
Hakuna mwaka Tanzania ilishuhudia damu kumwagika kwenye uchaguzi ili kuhakikisha utawala unabakia madarakani kama 2010. That's a fact not an opinion.
Nawauliza:
Nani alimwaga damu kuelekea uchaguzi wa 2020 au siku ya uchaguzi?
Mkuu watu hawa hitaji Mwendazake ajibu! Wanakumbushana ubaya uliotokea kipindi chake hadi kwenye uchaguzi wa 2020 ili usijirudie .Mnahangaika na Magufuri aliyelala kwa amani, ila wezi wauaji na waharibufu kwa nchi yetu wapo nasi na wanaendelea na mikakati yao.
Rais aliyepo madarakani angekuwa mwema kuliko JPM angevunja bunge mara tu baada ya mazishi ya JPM.
Na kwa kuwa hakuvunja bunge maana yake alivutiwa na uchaguzi huo wa 2020 na yeye alishirikiana na JPM, huyo mama yupo hai anakula mema ya nchi pamoja na marafiki na watu wa nyumbani kwake tu.
Huku sisi tunabetua midomo tu...... "JPM alivuruga uchaguzi wa 2020, watu walijaa hofu, biashara zilifungwa ..."
Kwa nini tunapambana na mfu? Je tunawaogopa walio hai? wanaiba na kuuza rasrimali zetu mchana kweupee na kutuacha na miundombinu isiyokubalika kimataifa....
Wabongo tumekazana na taarabu.... "JPM alikuwa dikiteta...."
Nahisi aliyeturoga wabongo hakufanya makosa, tumekuwa kituko tangu tupate uhuru hadi leo hatujawahi kuwa huru kabisa.
Magufuli wala hajibu chochote kuhusu hizo lawama na hatajibu milele na milele.
Sasa basi tutaendelea kuwa wajinga wa kumlaumu mfu ilhali walio hai tunawaita waheshimiwa japo ni kausha damu?
π€£π€£π€£π€£ππΏNgoja waje kukupa mwongozo
Cc mahondaw
πππ€ππΌKumtetea Magufuli kwenye ishu ya uchaguzi serikali za mitaa mwaka 2019 na 2020 inabidi akili zako uzifanye fyatu kidogo.
Leo tuna bunge asilimia 99.99999 ni CCM watupu kwa sababu ya uhuni uliopitiliza wa utawala wake.
Kwa hili nitamchukia sana, lile limekuwa kama jengo la sanaa tu.Kumtetea Magufuli kwenye ishu ya uchaguzi serikali za mitaa mwaka 2019 na 2020 inabidi akili zako uzifanye fyatu kidogo.
Leo tuna bunge asilimia 99.99999 ni CCM watupu kwa sababu ya uhuni uliopitiliza wa utawala wake.
Hii haiondoi ukweli kuwa Magufuli alikuwa zaidi ya shetani!Hivi mnataka tuamini kuwa Uchaguzi Tanzania miaka yote ulikuwa unafanyika vizuri, kwa Amani, na bila makadokado ya Chama tawala na wapambe wake? Kwamba kufika 2015 mambo yakaharibika? Yaani, tuamini JPM na timu yake walivuruga uchaguzi ili washinde 2015? Kabla ya hapo mambo yalikuwa powa.
Mmesahau kabisa yaliyotokea 2010?
Arumeru Mashariki
Nyamagana
Igunga
Nzega
Mbeya Mjini
Arusha Mjini
Tarime
Ubungo
Kilombero
Bumbuli
Na kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais yalivyodaiwa kupikwa na kundi la vijana waliofadhiliwa data center kumanipulate data za Tume?
Au mmesahau jinsi vyombo vya Habari vilivyokatazwa kutangaza matokeo ya Urais kama yalivyo majimboni...
Najibiwa...
Mwanakijiji wewe ni sukuma gang...uchaguzi wa 2015 ndio JPM aliuharibu wa 2010 was the best election ever!!
Nawajibu
Hakuna mwaka Tanzania ilishuhudia damu kumwagika kwenye uchaguzi ili kuhakikisha utawala unabakia madarakani kama 2010. That's a fact not an opinion.
Nawauliza:
Nani alimwaga damu kuelekea uchaguzi wa 2020 au siku ya uchaguzi?