Kongole Mkongwe kwa kuliona hili,..Donald Trump ni tapeli, mwizi, na mbaguzi.
..huyu bwana amewapa sauti, na kuwainua Wamarekani weupe wabaguzi.
..Trump anataka kuirudisha Marekani ktk zama za ubaguzi za miaka ya 50 na 60.
Wazungu wa JF wengi wanatoka Uyole, Tunduma, Ngudu, Kibosho na maeneo mengine hawawezi kukuelewa wapo radhi wale hata kinyesi cha Trump lakini hawawezii kuwakana Wazungu😀Mkiambiwa Waafrika tuungane tulijenge Bara letu, kwani Wazungu huwa hawatupendi hatusikii na tunawapenda tu.
Wakikubagua na wewe wabague. Kwanini unalilia kuthaminiwa na race nyingine?
Hapana Kamala ndio upinde
Mbona Obama mbona vice president mwanaume ambae ni joe biden na hakuitwa mbaguzi mkuu.
Bush pia alikuwa na VP mwanaume mbona hakuitwa mbaguzi mkuu.
Weka ushahidi kwamba Maraisi wote waliopita walichagua ma VP wenye asiili ya kilatino,unao huo ushahidi kwamba maraisi wote waliopita walifanya hivyo ?
Wapi ama rejea gani inayosema kwamba usipochagua VP mlatino basi unakuwa mbaguzi?
Utaratibu huu ulikuwepo kwa maraisi wote waliotangulia wa marekani ?
Mbona bush VP wake alikuwa mzungu ?
mpaka sasa mkuu haujaweka hoja za msingi kuonesha ubaguzi ni upi bali naona kama wewe ni mtu unayejadili kwa kuongozwa na chuki.
Waliomchagua obama ndio hao hao walimcjagua trump,kwa sababu obama hakuchaguliwa kwa sababu ya rangi yake...kwa kumchagua Obama Marekani iliingia ktk zama mpya za race relationship baina ya watu wake.
..Zama za Raisi na Makamu kuwa wazungu wanaume zilipaswa kuwa historia baada ya Uraisi wa Obama.
..Trump alipaswa kuchagua Makamu mwanamke, au mweusi, au Latino, ili kuonyesha mfano kuwa Marekani inasonga mbele badala ya kurudi nyuma.
Haya ni mawazo yako wewe yanayotokana na chuki kwa huyu bwana trump hivyo unatafuta sababu ilimradi tu usikose cha kukosoa.Zama za Raisi na Makamu kuwa wazungu wanaume zilipaswa kuwa historia baada ya Uraisi wa Obama.
Hoja hii nilishaijibu.Trump alipaswa kuchagua Makamu mwanamke, au mweusi, au Latino, ili kuonyesha mfano kuwa Marekani inasonga mbele badala ya kurudi nyuma.
Ngoja tuone..Marekani haitaongozwa na Mwanamke kamwe.
mtu mweusi ndiye tatizo. acha asemwe! black race is a cursed race. wewe hujioni? am not a black, but a Hebrew. Gal 3:29..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.
..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.
..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.
..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
Kamala
Mama; INDIAN
Baba: Jamaican
Mbona hesabu ni rahisi hapo
Basi usilazimishe imani yako ifuatwe na wengine, kama hauamini katika ubaguzi basi mtendee mema kila mtu na hakuna atakaekusumbua vile vile ukiona mtu ambae ni mbaguzi nawe usimsumbue mwache na imani yake...siamini kwenye itikadi za kubaguana, au kuweka visasi.
..kwa msingi huo nikimuona mtu ni mbaguzi mahali popote nitampinga.
AfukastiKwa hiyo ni black?
Afukasti
Kwani ni uongo kwamba nchi zetu ni shit holes?..ameshatoa matamko mengi ya kibaguzi dhidi ya watu weusi wa Marekani.
..hata nchi za Kiafrika aliziita " shit hole " countries.
..hata kwenye hayo mahojiano majibu yake yanaonyesha ni mtu asiye mstaarabu kwa wanawake, na watu weusi.
..wafuasi wake wengi ni Wamarekani weupe wenye misimamo ya kibaguzi dhidi ya watu weusi, na wahamiaji wa Marekani wasio weupe.
Halafu hayo mambo ya Feminism hata mimi siyapendi kinyama. Maana bila hayo Mama Mzenj asingekuwa VP na wala asingekuwa kumalizia awamu iliyoachwa...Trump angekuwa sio mbaguzi angefanya mojawapo kati ya haya.
1. Angechagua VP mwanamke.
2. Angechagua VP mwenye asili ya Kilatino.
3. Angechagua VP mmarekani mweusi.
..Ticket ya Uraisi wa Marekani inatakiwa itume ujumbe wa kuwaunganisha Wamarekani, na sio ujumbe kwamba Marekani ni nchi ya wanaume weupe wenye chuki na wabaguzi.
Kwani ni uongo kwamba nchi zetu ni shit holes?
Kiongozi anaposema kwa kiburi kuwa hawezi kusikiliza waliompigia kura na kwamba amejigeuza Chura kiziwi kwa kelele za waliomuajiri (wapiga kura). Hiyo siyo dalili kwamba nchi anayoiongoza ni Shit hole kweli kweli?
Alikuwa na maana ninayoisema. Na ndo maana alisema 'baadhi' ya nchi za Africa na Asia ni shithole countries. Maana yake siyo zote ni shit holes...Je, Trump alipoita " shit hole " countries alikuwa na maana hiyo unayoisema wewe, au aliongozwa na hulka yake ya ubaguzi?