Promenthous
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 338
- 397
Dah pole sana, Mimi pia huwa napitiaga kipindi kama hicho, huwa sitamani kufanya chochote lakini baada ya muda hali hiyo huwa inaisha, always time heal, jipe muda tu itaisha.Siku ya jana,leo na sijui hiyo kesho itakwendaje napitia msongo mkubwa sana wa mawazo najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta na rudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naomben msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.