Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

Mnatumia njia gani kukabiliana na msongo wa mawazo (stress)?

Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.

Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.

Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.

OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
 
Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.

Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.

Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.

OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
Wee pole Sana kipenzi
Kumbe sijawahi kua na stress baasi km ndo hvyo
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Unajua ili uwe yule unaetamani kuwa lazima uache ulivozoea. Binafsi huwa nawaza vitu positive tu. Hizo zingine huwa naonaga ni changamoto tu hivo napambania yale ya kunijenga zaidi. Mfano watu wakiwa wanakuongelea sana kwa mabaya, jitahidi kuwapuuzia na kufanya ya kukujenga zaidi. Mfano kama ni kazi fanya zaidi ili upate kipato zaidi ili ujijenge kimaisha. Mawazo yapo tu lakini usiruhusu yakutawale sana mbaka ushindwe hata kula....pia fanya sala ilwe sehemu ya maisha yako ya kila siku. Mungu akutangulie
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Yafanye mambo yawe rahisi,vitu vingine ni vigumi sabbu ya incestor DNA fanya unaloweza kama huwezi jikaushe.Mfano kama una muda nenda beach kimbia then Anza kuangalia Kazi ya Mungu na kumshukuru kwa kukupa nafasi ya kuwa hai,uhai tuu shukuru,jana tuu watu wamekufa na wenza wao hapo iyovi Moro,tujifunze kuhipa furaha kuna vitu tunaweza na vingine hatuwezi
 
Wee pole Sana kipenzi
Kumbe sijawahi kua na stress baasi km ndo hvyo
Huyo Paula Paula sii mtoto wa Kajala,the best way unaweza fanya ni neture therapy unatembelea garden na kujipa nguvu kwa kutembelea maeneo pendwa huku ukifanya short prayer
 
Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.

Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.

Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.

OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
Nilipitia hiyo hali December hii....nilifanya jambo moja la kipuuzi nikaingia hasara kubwa sana kifedha, kumweleza partner wangu sijui nianzie wapi...nilizima simu siwezi kula, kuoga, kulala yani kiufupi ni kama nusu uchizi ila alienisaidia ni huyo huyo mwenzangu alinielewa haraka sana sijui kwa nn ilikuwa rahisi hivyo wakati ni mtata mbaya kabisa

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Nilipitia hiyo hali kipindi natafuta kazi na sina mwelekeo nilikuwa kula siwezi,kulala nayo ni shida mawazo.Ila sala zilinisadia mno ,nilikuwa nasali sana asubuh mchana jioni hatimaye nilipata ombi langu.Sali kwa imani yako Mungu anakusikia na atakufariji
 
Huyo Paula Paula sii mtoto wa Kajala,the best way unaweza fanya ni neture therapy unatembelea garden na kujipa nguvu kwa kutembelea maeneo pendwa huku ukifanya short prayer
Sio yeye bwana huyu mwingine
 
Wee pole Sana kipenzi
Kumbe sijawahi kua na stress baasi km ndo hvyo
Asante dear.
Yawezekana umewahi kuwa nazo zile za kawaida hazijafika kiwango chenyewe. Ni mateso sana. I wish usikae upatwe na hiyo hali Reymage.

Kwanza kwa namna umeteseka, ukipona kila saa unakuwa na hofu na wasiwasi kwamba ile hali inaweza kujirudia tena.
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
images(38).jpg
 
Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.

Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.

Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.

OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.

Pole professor,

Binafsi ikifika mahali kiasi Cha stress zinasababisha kushindwa kabisa kupiga kazi (nafikiri nimeeleweka), hapo ndugu waanze kupewa taarifa wajiandae Kwa msiba.
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
mwagilia moyo weweeee,au utapata kiharusi,pombe ni nzuri kwani inakusaida kupata usingizi pindi ukiwa na mawazo,pia fanaya sana mazoezi!!
 
Niko na hiyo hali sasa, najitibu kwa kuangalia series mwanzo mwisho. Ratiba yangu iko hivi, nikirudi job saa kumi na mbili nakoga na washa TV naweka series hadi nachukuliwa na usingizi. Movies, series ndio kilevi nikipendacho.

Nimenza na breaking bad, nimemaliza, black list, sasa naangalia shooter. Hii miezi ya mwisho wa mwaka kwangu mara nyingi inakuwa poa ila mara hii msala umeanza Oktoba mwanzoni hadi sasa. Nimejaribu kusolve na nashukuru njia hii ya kuangalia series imeniondolea stressess na imenipa muda wa kutafakari changamoto zangu nizitatue vipi.

Nashauri tafuta kilevi chako ulewe nacho, naomba unifahamu tafadhali, sikushauri unywe pombe tafuta kilevi chako.

Karibu
Mkuu unapatikana wapi please check me 0713237228

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Mim huwa nafanya meditation [emoji3286] kila sku stress ni nni?
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Pole sana,,muhimu ni kukubali kwamba hiyo ni hatua tu na itapita. Hakuna kitu au jambo ambalo linadumu milele. Hali zote ambazo tunapitia katika maisha huja na kuondoka. Kuna majira kwa kila jambo. Ikubali hiyo hali lakini usipambane nayo. Amka asubuhi, fanya mambo mengine yaliyo kwenye ratiba yako. Angalia yaliyo ndani ya uwezo wako. Usilazimishe kufanya jambo ambalo lipo nje ya uwezo wako. Jipe nafasi na uiche akili ifanye kazi kwa ku-relax. Hata kama unaona dakika chache baadae hutakuwa na uhakika wa kufanikisha kupata chakula, usipaniki kwa kutaka kufanikiwa katika hilo. Tulia na panga akili vizuri. Usifikirie sana kuhusu mambo yaliyopita. Wakati ni sasa, ishi, vumilia, jipange na utashinda. Nina rafiki yangu ambae amepitia magumu sana, japo hayajaisha lakini alipokubali kwamba ni wakati tu utapita, angalau uso wake unaanza kung'aa tena. Zaidi ya yote, Mungu wa mbinguni akutunze na kukupa faraja na maarifa yapitayo mawazo ya wanadam ili ufanikiwe tena. Barikiwa!
 
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.

Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Hilo jambo,je liko ndani ya uwezo wako?Kama ndivyo basi lifanye/ litatue.Je liko nje wa uwezo wako? Kama ndivyo basi achana nalo haliko ndani ya uwezo mpe Mungu mwenye uwezo wote . Ukizingatia formula hii furaha itakuwa nyingi maishani pako.
Ushauri wa watu sikiliza pokea lkn changanya na kujisikiliza sana moyoni kwa utulivu, utapata jibu na kuvuka.
 
Pole sana,,muhimu ni kukubali kwamba hiyo ni hatua tu na itapita. Hakuna kitu au jambo ambalo linadumu milele. Hali zote ambazo tunapitia katika maisha huja na kuondoka. Kuna majira kwa kila jambo. Ikubali hiyo hali lakini usipambane nayo. Amka asubuhi, fanya mambo mengine yaliyo kwenye ratiba yako. Angalia yaliyo ndani ya uwezo wako. Usilazimishe kufanya jambo ambalo lipo nje ya uwezo wako. Jipe nafasi na uiche akili ifanye kazi kwa ku-relax. Hata kama unaona dakika chache baadae hutakuwa na uhakika wa kufanikisha kupata chakula, usipaniki kwa kutaka kufanikiwa katika hilo. Tulia na panga akili vizuri. Usifikirie sana kuhusu mambo yaliyopita. Wakati ni sasa, ishi, vumilia, jipange na utashinda. Nina rafiki yangu ambae amepitia magumu sana, japo hayajaisha lakini alipokubali kwamba ni wakati tu utapita, angalau uso wake unaanza kung'aa tena. Zaidi ya yote, Mungu wa mbinguni akutunze na kukupa faraja na maarifa yapitayo mawazo ya wanadam ili ufanikiwe tena. Barikiwa!
moja ya reply bora ya mwaka huu
 
Mkuu shukuru kwa kila kitu, stay positive tupo wengi na hio hali ila we hope for the best
 
Back
Top Bottom