Mnaumia nini Kufungwa Goli 5 na Yanga SC leo, wakati GENTAMYCINE kila nikiwasema Viongozi na Wachezaji wa Simba SC mnanuna na kunitusi?

Mnaumia nini Kufungwa Goli 5 na Yanga SC leo, wakati GENTAMYCINE kila nikiwasema Viongozi na Wachezaji wa Simba SC mnanuna na kunitusi?

Brother toa neno.
Unahisi tufanye nini kwa sasa????
Binafsi nashauri.
Simba lazima tufanye marekebisho makubwa yafuatayo:
1. Tuuze wachezaji wazembe na wazee km Onana etc
2. Robertinho atoke
3. Yanga watueleze wanatoa wapi makocha.
Wewe toa ushauri please
 
Brother toa neno.
Unahisi tufanye nini kwa sasa????
Binafsi nashauri.
Simba lazima tufanye marekebisho makubwa yafuatayo:
1. Tuuze wachezaji wazembe na wazee km Onana etc
2. Robertinho atoke
3. Yanga watueleze wanatoa wapi makocha.
Wewe toa ushauri please

Kaka nitaongea
Asante sana
Kwa sasa acha tutafakari kwanza kabla ya maamuzi.


1.Wachezaji wafuatao waondoshwe haraka ndani ya simba. Uhuni na ujanja umetumika kupiga pesa nyingi kwa kuleta wachezaji Mizigo.

1. Ayoub lakred
2. Kramo.
3. Onana.
4. Miquissone.

5. Phili.
6. (Kanute)

2. Brazil haijawahi kutoa makocha wazuri.
Nazani sven angeisaidia zaidi simba

Mengine tutaongea tukipata utulivu mkuu...
 
Kaka nitaongea
Asante sana
Kwa sasa acha tutafakari kwanza kabla ya maamuzi.


1.Wachezaji wafuatao waondoshwe haraka ndani ya simba. Uhuni na ujanja umetumika kupiga pesa nyingi kwa kuleta wachezaji Mizigo.

1. Ayoub lakred
2. Kramo.
3. Onana.
4. Miquissone.

5. Phili.
6. (Kanute)

2. Brazil haijawahi kutoa makocha wazuri.
Nazani sven angeisaidia zaidi simba

Mengine tutaongea tukipata utulivu mkuu...
Sawa, mm nakuaminia hasa ukiamua kutoa koment ya ki professional
 
Kilichowaponza ni kiburi chenu, uwezo mdogo mnataka mpishane na Yanga. Mngeshikilia bomba kama kule Tanga. Tatizo mlikuwa mnaona wenzenu wanaofungwa mambwiga, wavuta bangi, mazuzu. Mpaka Msemeeeee.
Target ya pira objective ilikua watangulie kufunga then wapaki bus,gamondi aliwaangalia game zao 3 kwa upumbavu wa yule mbana pua wao akadai gamondi aende bunju akawaangalie mazoezini,so ile jana magoli ya kuwatangulia yakawafanya wafunguke hasa lile la half ya kwanza waliposawazisha wakajipa tamaa wanaweza kupishana na kina pacome 😆,kilichowakuta sasa 😂😂
 
Target ya pira objective ilikua watangulie kufunga then wapaki bus,gamondi aliwaangalia game zao 3 kwa upumbavu wa yule mbana pua wao akadai gamondi aende bunju akawaangalie mazoezini,so ile jana magoli ya kuwatangulia yakawafanya wafunguke hasa lile la half ya kwanza waliposawazisha wakajipa tamaa wanaweza kupishana na kina pacome 😆,kilichowakuta sasa 😂😂
Kilichowakuta hadi mda huu wanajadili historia.
 
Stamina na kasi ya Yanga ndio mchawi mkubwa kuliko kitu kingine chochote. Simba watafute kwanza kocha wa viungo mwenye hadhi ya kufundisha Simba haraka sana. Robertino naye hajielewi kabisa na sijui ni kwa nini mpaka sasa hakuna taarifa kwa umma kuwa kafukuzwa. Yaani Robertino ana kundi la wachezaji 30 na wengi wao wamesajiliwa msimu huu yeye akiwa kocha mkuu na "pre season" kapewa nje ya nchi halafu anahojiwa na media anasema eti kuumia kwa mchezaji mmoja Kibu eti ndio kulisababaishwa Simba kupigwa 5G. Je wangeaumia wachezaji watatu ina maana Simba angekufa 15? Hata aibu hana huyo kocha. Kwa kauli yake hiyo iwapo viongozi hawatafanya maamuzi magumu ya kumtimua nitaamini kweli Simba inaongozwa na watu wasiojua mpira.
 
Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Viongozi Murtaza Mangungu ni Kirusi na Salim Abdallah Mhene 'Try Again' ni Mtu wa Kuuza na Kupenda mni 10%?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa ndani ya Simba SC ( hata Kamati ya Utendaji ) kuna Virusi ( Watu wa Yanga SC ) ambao kila tukikutana nao Wanauza Kwao Ramani ya Vita?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Kipa ( Duka ) Aishi Manula asiaminiwe Mechi za Derby kwakuwa huwa anatuumiza?

Kama hajadaka Mechi yoyote ile ya Kimashindano kwa Miezi Mitano, hayuko Fiti bado, Mzito na hana Game Momentum leo kulikuwa na Ulazima gani aaminiwe kudaka Mechi Ngumu na Muhimu Kwetu?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa kamwe simkubali Mchezaji Clatous Chama kwakuwa anapooza Mashambulizi, hakabi na anacheza Kifaza zaidi na Kujiona Mungu Mtu ndani ya Kikosi hivyo awe anaanzia tu Benchi na aingizwe pale tu Simba SC ikiwa imeshinda?

Siyo Mimi hapa Jamiiforums niliyeonya kuhusu Uchezaji wa Kitoto, Mzaha na Sifa zilizopitiliza za Beki Henock Inonga na kwamba asipokanywa na kuchekewa ipo Siku atakuja Kutuponza na Kutugharimu pakubwa? Je, leo hajatugarimu?

Hivi Beki Henock Inonga ni wa Kucheza kwa Mbwembwe huku akipiga back pass zake mbele ya 18 ya Simba SC huku kila mara akilazimisha tu Kurejesha Mipira kwa Kipa badala ya Kupeleka mbele Timu izidi Kushambulia?

Ndiyo maana hata sikushangaa kumuona Yeye ( Henock Inonga ) baada ya Mechi Kumalizika ndiyo alikuwa Mchezaji pekee wa Simba SC ambaye hakutokwa na Machozi na hata alikuwa haonyeshi Kuumia na Kipigo cha Kishalubela na badala yake akaenda Kuzungumza na Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi huku wakiwa Wanacheka na kuonyesha Kukubaliana Kimazungumzo.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa kutokana na Kushuka vibaya mno kwa Kiwango kwa Beki Shomary Kapombe asiwe anapangwa Yeye bali sasa damu Changa akina Israel Mwenda au David Kameta ndiyo wawe Wanapangwa kwani kwa Umri wao mdogo wanaendana kabisa na Kasi ya Mpira wa sasa.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa Simba SC ikiwa inajiandaa Kucheza na Yanga SC basi kule Kambini Bunju asiwe anaruhusiwa Mtu yoyote Kuingia / kwenda Kutizama Mazoezi kwakuwa Wataalam ( Waganga ) wa Yanga SC huvalia Jezi za Simba SC na kwenda Kufanya Ushirikina pale kwa Kuwafunga Miguu Wachezaji wa Simba SC na kuwafanya wawe Wazito na Waliochoka Uwanjani kama ilivyoonekana leo?

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilisema na kuomba ule Utamaduni wa Mzee Wetu Amiri Bamchawi kila tukiwa tunakaribia kucheza na Yanga SC utumike kwa Wachezaji, Benchi la Ufundi na Viongozi Waandamizi Kulishwa Yamini ya Kiapo na kuttotoa Siri yoyote ya Kummaliza Adui?

Leo ni Mechi ya Nne kila Simba SC tukiwatega Yanga SC Kiushirikina kupitia Milango Mikubwa Mitatu ya Uwanja wa Benjamin Mkapa na lile Geti linalotazama na Kambi ya Mgulani na kufanya Siri ili wapite na Wauvagae Mtego na tuwafunge nyingi Kiurahisi?

Kama Watu wa Simba SC ( tena Kamati ya Ufundi ) huwa tunakubaliana Kutunza Siri za Mikakati yetu na ya Kumtega Adui ( Yanga SC ) ni nani huwa anawashtua / anawaambia Watu wa Yanga SC na Wao kuutegua Mtego uliowekwa Mageti Makubwa Mkapa Stadium kama walivyofanya leo na hatimaye Kufungwa nyingi?

Nawapongeza Yanga SC ( kama Mdau wa Michezo ) kwa Ushindi wao Mnono wa Kutufunga Goli 5 kwa 1 Watani zenu Simba SC na hakika kwa Mpira wenu mkubwa mlioucheza huku Pamoke Zoazoe akihaha Uwanja mzima na Kutuonyesha Thamani yake ya Kutukuka Kwetu tofauti na ilivyo kwa Mchezaji wetu mbovu na tuliopigwa Leandre Onana.
Lakini tufike mahara tuachane na ushirikina kwenye michezo Bali tutafute wachezaji wazuri na wenyekujituma uwanjani. Yanga wanastahili maana magori yote sio ya bahati Bali yamesukwa Kwa ufundi wa wachezaji wazuri.
 
Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Viongozi Murtaza Mangungu ni Kirusi na Salim Abdallah Mhene 'Try Again' ni Mtu wa Kuuza na Kupenda mni 10%?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa ndani ya Simba SC ( hata Kamati ya Utendaji ) kuna Virusi ( Watu wa Yanga SC ) ambao kila tukikutana nao Wanauza Kwao Ramani ya Vita?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Kipa ( Duka ) Aishi Manula asiaminiwe Mechi za Derby kwakuwa huwa anatuumiza?

Kama hajadaka Mechi yoyote ile ya Kimashindano kwa Miezi Mitano, hayuko Fiti bado, Mzito na hana Game Momentum leo kulikuwa na Ulazima gani aaminiwe kudaka Mechi Ngumu na Muhimu Kwetu?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa kamwe simkubali Mchezaji Clatous Chama kwakuwa anapooza Mashambulizi, hakabi na anacheza Kifaza zaidi na Kujiona Mungu Mtu ndani ya Kikosi hivyo awe anaanzia tu Benchi na aingizwe pale tu Simba SC ikiwa imeshinda?

Siyo Mimi hapa Jamiiforums niliyeonya kuhusu Uchezaji wa Kitoto, Mzaha na Sifa zilizopitiliza za Beki Henock Inonga na kwamba asipokanywa na kuchekewa ipo Siku atakuja Kutuponza na Kutugharimu pakubwa? Je, leo hajatugarimu?

Hivi Beki Henock Inonga ni wa Kucheza kwa Mbwembwe huku akipiga back pass zake mbele ya 18 ya Simba SC huku kila mara akilazimisha tu Kurejesha Mipira kwa Kipa badala ya Kupeleka mbele Timu izidi Kushambulia?

Ndiyo maana hata sikushangaa kumuona Yeye ( Henock Inonga ) baada ya Mechi Kumalizika ndiyo alikuwa Mchezaji pekee wa Simba SC ambaye hakutokwa na Machozi na hata alikuwa haonyeshi Kuumia na Kipigo cha Kishalubela na badala yake akaenda Kuzungumza na Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi huku wakiwa Wanacheka na kuonyesha Kukubaliana Kimazungumzo.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa kutokana na Kushuka vibaya mno kwa Kiwango kwa Beki Shomary Kapombe asiwe anapangwa Yeye bali sasa damu Changa akina Israel Mwenda au David Kameta ndiyo wawe Wanapangwa kwani kwa Umri wao mdogo wanaendana kabisa na Kasi ya Mpira wa sasa.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa Simba SC ikiwa inajiandaa Kucheza na Yanga SC basi kule Kambini Bunju asiwe anaruhusiwa Mtu yoyote Kuingia / kwenda Kutizama Mazoezi kwakuwa Wataalam ( Waganga ) wa Yanga SC huvalia Jezi za Simba SC na kwenda Kufanya Ushirikina pale kwa Kuwafunga Miguu Wachezaji wa Simba SC na kuwafanya wawe Wazito na Waliochoka Uwanjani kama ilivyoonekana leo?

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilisema na kuomba ule Utamaduni wa Mzee Wetu Amiri Bamchawi kila tukiwa tunakaribia kucheza na Yanga SC utumike kwa Wachezaji, Benchi la Ufundi na Viongozi Waandamizi Kulishwa Yamini ya Kiapo na kuttotoa Siri yoyote ya Kummaliza Adui?

Leo ni Mechi ya Nne kila Simba SC tukiwatega Yanga SC Kiushirikina kupitia Milango Mikubwa Mitatu ya Uwanja wa Benjamin Mkapa na lile Geti linalotazama na Kambi ya Mgulani na kufanya Siri ili wapite na Wauvagae Mtego na tuwafunge nyingi Kiurahisi?

Kama Watu wa Simba SC ( tena Kamati ya Ufundi ) huwa tunakubaliana Kutunza Siri za Mikakati yetu na ya Kumtega Adui ( Yanga SC ) ni nani huwa anawashtua / anawaambia Watu wa Yanga SC na Wao kuutegua Mtego uliowekwa Mageti Makubwa Mkapa Stadium kama walivyofanya leo na hatimaye Kufungwa nyingi?

Nawapongeza Yanga SC ( kama Mdau wa Michezo ) kwa Ushindi wao Mnono wa Kutufunga Goli 5 kwa 1 Watani zenu Simba SC na hakika kwa Mpira wenu mkubwa mlioucheza huku Pamoke Zoazoe akihaha Uwanja mzima na Kutuonyesha Thamani yake ya Kutukuka Kwetu tofauti na ilivyo kwa Mchezaji wetu mbovu na tuliopigwa Leandre Onana.
NDIO WEWE...tukupe maua yako kwekweli...
 
Kapombe kachoka, kasoma na mzuwanda wetu darasa moja, umri nao na mwili unachoka.
 
Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Viongozi Murtaza Mangungu ni Kirusi na Salim Abdallah Mhene 'Try Again' ni Mtu wa Kuuza na Kupenda mni 10%?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa ndani ya Simba SC ( hata Kamati ya Utendaji ) kuna Virusi ( Watu wa Yanga SC ) ambao kila tukikutana nao Wanauza Kwao Ramani ya Vita?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa Kipa ( Duka ) Aishi Manula asiaminiwe Mechi za Derby kwakuwa huwa anatuumiza?

Kama hajadaka Mechi yoyote ile ya Kimashindano kwa Miezi Mitano, hayuko Fiti bado, Mzito na hana Game Momentum leo kulikuwa na Ulazima gani aaminiwe kudaka Mechi Ngumu na Muhimu Kwetu?

Siyo Mimi niliyewaambia hapa hapa Jamiiforums kuwa kamwe simkubali Mchezaji Clatous Chama kwakuwa anapooza Mashambulizi, hakabi na anacheza Kifaza zaidi na Kujiona Mungu Mtu ndani ya Kikosi hivyo awe anaanzia tu Benchi na aingizwe pale tu Simba SC ikiwa imeshinda?

Siyo Mimi hapa Jamiiforums niliyeonya kuhusu Uchezaji wa Kitoto, Mzaha na Sifa zilizopitiliza za Beki Henock Inonga na kwamba asipokanywa na kuchekewa ipo Siku atakuja Kutuponza na Kutugharimu pakubwa? Je, leo hajatugarimu?

Hivi Beki Henock Inonga ni wa Kucheza kwa Mbwembwe huku akipiga back pass zake mbele ya 18 ya Simba SC huku kila mara akilazimisha tu Kurejesha Mipira kwa Kipa badala ya Kupeleka mbele Timu izidi Kushambulia?

Ndiyo maana hata sikushangaa kumuona Yeye ( Henock Inonga ) baada ya Mechi Kumalizika ndiyo alikuwa Mchezaji pekee wa Simba SC ambaye hakutokwa na Machozi na hata alikuwa haonyeshi Kuumia na Kipigo cha Kishalubela na badala yake akaenda Kuzungumza na Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi huku wakiwa Wanacheka na kuonyesha Kukubaliana Kimazungumzo.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa kutokana na Kushuka vibaya mno kwa Kiwango kwa Beki Shomary Kapombe asiwe anapangwa Yeye bali sasa damu Changa akina Israel Mwenda au David Kameta ndiyo wawe Wanapangwa kwani kwa Umri wao mdogo wanaendana kabisa na Kasi ya Mpira wa sasa.

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilionya kuwa Simba SC ikiwa inajiandaa Kucheza na Yanga SC basi kule Kambini Bunju asiwe anaruhusiwa Mtu yoyote Kuingia / kwenda Kutizama Mazoezi kwakuwa Wataalam ( Waganga ) wa Yanga SC huvalia Jezi za Simba SC na kwenda Kufanya Ushirikina pale kwa Kuwafunga Miguu Wachezaji wa Simba SC na kuwafanya wawe Wazito na Waliochoka Uwanjani kama ilivyoonekana leo?

Siyo Mimi hapa hapa Jamiiforums nilisema na kuomba ule Utamaduni wa Mzee Wetu Amiri Bamchawi kila tukiwa tunakaribia kucheza na Yanga SC utumike kwa Wachezaji, Benchi la Ufundi na Viongozi Waandamizi Kulishwa Yamini ya Kiapo na kuttotoa Siri yoyote ya Kummaliza Adui?

Leo ni Mechi ya Nne kila Simba SC tukiwatega Yanga SC Kiushirikina kupitia Milango Mikubwa Mitatu ya Uwanja wa Benjamin Mkapa na lile Geti linalotazama na Kambi ya Mgulani na kufanya Siri ili wapite na Wauvagae Mtego na tuwafunge nyingi Kiurahisi?

Kama Watu wa Simba SC ( tena Kamati ya Ufundi ) huwa tunakubaliana Kutunza Siri za Mikakati yetu na ya Kumtega Adui ( Yanga SC ) ni nani huwa anawashtua / anawaambia Watu wa Yanga SC na Wao kuutegua Mtego uliowekwa Mageti Makubwa Mkapa Stadium kama walivyofanya leo na hatimaye Kufungwa nyingi?

Nawapongeza Yanga SC ( kama Mdau wa Michezo ) kwa Ushindi wao Mnono wa Kutufunga Goli 5 kwa 1 Watani zenu Simba SC na hakika kwa Mpira wenu mkubwa mlioucheza huku Pamoke Zoazoe akihaha Uwanja mzima na Kutuonyesha Thamani yake ya Kutukuka Kwetu tofauti na ilivyo kwa Mchezaji wetu mbovu na tuliopigwa Leandre Onana.
yote ulisema kweli
 
Back
Top Bottom