atakuwa alikuwa anauza bwimbwi...Enos Salema
Jamaa namkubali sana nilipiga nae kazi vodacom jamaa mshiko anao maana kanunua gari Discovery4 mpya pale posta na pia ana ghorofa moja na yupo around 30yrs....FLP Daima.
SORry lkn! mbona wengi wao ni wahaya lkn? maana walikuja hapa arusha last month GOLDEN rose nikaambulia wine ya alvera bt nikawa mgumu mpaka leo wananitongoza
Sio kama ni misukule.., wale ni misukule orijino kabisa..!!Halafu wanavuojua kutongoza utadhani Misukule fulani hivii...
Kuna nyingine inaitwa Ori-Flames......Upuuzi mtupu..Wapo wengi hata JF ngoja waje..
Tufaidishe basi na sisi.., zilikufanya nini kwani..??!Dah usinikumbushe hawa watu mkuu, niliwahi kuingia mkenge nikaenda kununua product zao pale Mkapa tower, zilichonifanya sitaki hata kuwasikia.
Pyramid scheme... Upatu, aka deci, aka mchezo aka chezo
wajinga ndio waliwao