Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

Kaka hao ni matapeli waliosomea achana nao kazi yao kudanganya watu tuu mara ooo!! nilikuwa meneja Tra nikaacha shauri ya forever kumbe ni uongo mtupu.
 
Kama umejiunga itakula kwako biashara ngumu hatari hasa kupata wateja rafiki yangu alikuwa kwenye hiyo forever yakamshinda na wanakuwaga na stori tamu kukuvutia u join mara utakua bilionea

Hii biashara ni ya nerwork wala si kuchuuza kama baadhi wanavyofanya .kama unajijua huna network ya watu wenye uwezo wa kununua bidhaa zao kwa matumizi ya familia acha kabisa kujiunga maana ytakua mchuuzi.Inatakiwa wewe uwe kwanza umechagua kutumia product hizo kama una familia nk.kama lifestyle yako.then umshuhudie na rafiku yako nae ajiynge kutumia bidhaa hizo wewe upate gawiwo kwa kununua kwake.then nae amshuhudie na mwezie we uzidi kupanda.But kama we mwenyewe una sanda dawa ya mswkai elfu 10 nq hauna watu wenye vipato itakupa shida sana.
 
Ndugu zangu naomba nami nchangie kidogo. Kila kitu knafaida na hasara zake. Ile biashara m nmeifanya nilchokiona: 1. Kama unamuda na unawatu wanaotambua afya zao ile biashara inalipa sana, ila ukienda kujarib hakika utawatukana mpaka matusi ya nguoni.2. Kuna utofauti mkubwa kati ya Forever,Ori flame, Gnld na makund mengne.
2: Uwezekano wa kjpatia kpato cha ziada inawezekana kptia wao ika lazima ujpange katika ratiba zako za kila siku.

Onyo: Kwa madada zetu acheni ktmia sana costmetics zisizo na viwango vya kimataifa, hz chata za TBS zmezagaa kila kona, tazamana hzo bidhaa unazotmia kama urembo zna nembo za kimataifa za kibiashara???

Sio lazima kufanya
 
Husikeni na kichwa cha habar hapo juu wazee..nimepitia habar mbali mbali nimesoma et ukianza hii bishara ghafla inakubadili yan unapiga hela kinoma...je kuna mwenye kujua juu ya hii biashara...Nataka kujua ili niianze Insha allah

Tujuzane wakuu..naanza na shukran🙂
 
Ni kweli ukikaza unapata hela za kutosha ila watu wengi ni wavivu ndio maana wanaona biashara ngumu.
 
Jamaa wenyewe wanasema ni biashara ya mtandao. Na wanaisifia kweli.
Jamaa wanahesabu faida kuliko hasara. Yaani biashara hiyo haina hasara. Wanakuuzia bidhaa harafu na wewe unawatembezea watu.
 
Jamaa wenyewe wanasema ni biashara ya mtandao. Na wanaisifia kweli.
Jamaa wanahesabu faida kuliko hasara. Yaani biashara hiyo haina hasara. Wanakuuzia bidhaa harafu na wewe unawatembezea watu.

Nifahamishe vzr mkuu
 
''Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie''

Tanzania na watanzania wake........600,000 x 30 days = 18,000,000/=
 
Wenye shahada wana hela kuliko nilivyokuwa nafikiria, hivi TGS D ni kiasi gani miaka hii.
''Shilingi laki sita kwa mwezi ni pesa ambayo mtu anaweza kuongea na kujisifu mbele ya watu? Hii ni hela unayo takiwa kuingiza kwa siku moja bana acheni ujinga nyie''

Tanzania na watanzania wake........600,000 x 30 days = 18,000,000/=
 
Mi sijui kwa kweli....

wahitimu wengi wa shahada ya kwanza wanaazia TGS D usipokuwa na malipo mengine ni ngumu kurudi nyumbani na hata 450k, hivyo aliyekosa ajira kwa kutokuwa na ndugu kibopa akitengeneza 600k zinamtosha.
Bila kusahau mjasiriamali akisema kapata 600k keshatoa baadhi ya gharama za maisha kama usafiri chakula na malazi wakati mfanyakazi akisema anapata mshahara 450k hajakatwa nssf, tra, kodi ya nyumba ...
Serikali inabidi iwawezeshe vijana wajiajiri kwa tija zaidi kuliko kuajiriwa nguvu kazi inapotezwa bila sababu.
 
wahitimu wengi wa shahada ya kwanza wanaazia TGS D usipokuwa na malipo mengine ni ngumu kurudi nyumbani na hata 450k, hivyo aliyekosa ajira kwa kutokuwa na ndugu kibopa akitengeneza 600k zinamtosha.
Bila kusahau mjasiriamali akisema kapata 600k keshatoa baadhi ya gharama za maisha kama usafiri chakula na malazi wakati mfanyakazi akisema anapata mshahara 450k hajakatwa nssf, tra, kodi ya nyumba ...
Serikali inabidi iwawezeshe vijana wajiajiri kwa tija zaidi kuliko kuajiriwa nguvu kazi inapotezwa bila sababu.

Umeongea vyema, bahati nzuri nilibahatika nilipomaliza chuo tu nilipata kazi kampuni ya kigeni. Wao wana value taaluma kwa hiyo package inakuwa nzuri.

Hii serikali inasemwa ni ''sikivu'' nadhani watalisikia hili na kulifanyia kazi. Ni vyema kuwa na watu wengi wenye vipato vya kati kuliko kuwalipa wachache pesa nyingi na kuwapa wengine kiwango hata kisichotosha kukidhi mahitaji yao.
 
kuna jamaa yangu ananishawishi kujiunga na kampuni ambalo sijaliewa kwa kweli.

eti anasema unafanya kazi kwa network markating., yaani unategeneza mtandao wa kushawishi watu wajiunge na kadili mtandao wako unavyokua ndiyo malipo yako yanakuwa makubwa.

lakini ili ujiuge na hii network markating kwenye kampuni hili unatakiwa kutoa tsh750,000.


kampuni linaitwa forever living product(FLP)

website yao hii hapa click ili usome
 
Utamshawishi nani sasa hivi kwa kampuni hiyo? Ukishatoa hiyo laki saba na nusu nawe utageuka kuwa MC mzuri tu wa kuwashawishi watu,usipopata watu basi ndo imekula kwako.Walifaidi wa mwanzo kwa sasa hivi ni majanga
 
Utamshawishi nani sasa hivi kwa kampuni hiyo? Ukishatoa hiyo laki saba na nusu nawe utageuka kuwa MC mzuri tu wa kuwashawishi watu,usipopata watu basi ndo imekula kwako.Walifaidi wa mwanzo kwa sasa hivi ni majanga

Kumbe kweli lipo!!!!!
 
.............kyeeh....kyeeeh...kyeeh ! kuna hatari mkono wako kubakia hapo hapo kichwani !
 
Back
Top Bottom