Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hayo matapeli yameumiza sana watu ni sawa na DECI
Huu Uzi umejaa watu wajinga ambao wanaamini kupata mafanikio kwa njia nyepesi ,network marketing Ni system ambayo IPO wazi mno kufanikiwa au kufeli Ni we mwenyewe na sio system....to be honest I really feel sorry for u guys jinsi mnavyodanganyana hpa
Huu Uzi umejaa watu wajinga ambao wanaamini kupata mafanikio kwa njia nyepesi ,network marketing Ni system ambayo IPO wazi mno kufanikiwa au kufeli Ni we mwenyewe na sio system....to be honest I really feel sorry for u guys jinsi mnavyodanganyana hpa
.........wewe uko upande gani !?........wa kufanikiwa au kufeli ?.......au huna uzoefu wowote !?
mkuu nipe ushauri wako!!! mimi sijaponda kitu.
Ahahah pumbafu zao mi ningesimama na kuwauliza maswalj ya kipuuzi then ningewashushua na kuondoka
mkuu ushauri wangu kwako Ni kutafuta information sahihi khs hii biashara then ndyo utafanya uamuzi!! Usiwasikilize watu wenye negative thought waliopo humu
siwezi kukulaum kwa chochote coz unalack information cku ukipata information sahihi hutokaa uiponde hii biashara
wewe hiyo information sahihi mbona hutoi hapa ili uelimishe wa !?...........una kwepa kwepa tuu !
Kama una guts jenga hoja na utetee, hiyo ndo haswa maana ya JF 'house of great thinkers !
.........wewe uko upande gani !?........wa kufanikiwa au kufeli ?.......au huna uzoefu wowote !?
Huu Uzi umejaa watu wajinga ambao wanaamini kupata mafanikio kwa njia nyepesi ,network marketing Ni system ambayo IPO wazi mno kufanikiwa au kufeli Ni we mwenyewe na sio system....to be honest I really feel sorry for u guys jinsi mnavyodanganyana hpa
mie nimejiunga nayo no kwa ajili ya unene lakini nashukuru ni wiki ya 3 sasa nimepunguza sana kilo
Mkuu nikupe ushauri wa bure! Acha ulimbukeni! Ukiamua kutumia kiswahili andika kiswahili na ukiamua kutumia kiingereza andika kiingereza. Hii changanya uliyofanya inaharibu ladha nzima ya ulichoandika na inaonyesha ulimbukeni wa hali ya juu!