jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Mkuu Laki si pesa jaribu kunipa uelewa wako kuhusu hawa Forever
Ni hivi ukisha jiunga kuna mjanja atalipwa laki mbili kwa kujiunga kwako ndo maana wanakufata fata sana na baada ya wewe kujiunga ukifanikiwa kumshawishi boya mwengine akajiunga unapewa laki mbili. kila utakaemshawishi akajiunga utapewa laki mbili yaani ni jitihada zako tu za kusaka mbululazz ili wajiunge nawe uzidi kupata laki mbili mbili huku ukiuuza Bidhaa uchwara zenye nembo ya f living
Aiseeee!! hivi kumbe huyu Dada ananidharau kiasi hiki😡? ngoja aje tawawekea mguu wake nimeuvunja hapa!
Sio dharau ni bizness kwani wee laki mbili unaona ndogo?? Pia ukijiunga wewe pia unakuwa sehemu ya soko kwasababu huwezi uza Bidhaa usizotumia hivyo kampuni itanufaika kwa wewe kuwa consumer pia kama utafanikiwa kushawishi watu watano wakajiunga utapata 1 million, bado waona ndogo?
Achana na forever living. Jiunge na trevo product. Wana product moja ambayo wanauza na rahisi kuuzika tofauti na foreve ambayo Ina products Nyingi na kuwachanganya customers. Trevo imemsaidia wengi niliowapa product hii. More details kuhusu trevo check www.trevocorporation.com/coach/Abella na simu 0767632212
Wadau mwenzenu nimekuwa nafuatwa na watu wa Forever Living tena kwa mialiko mithili ya kadi za harusi. Kwa muda sasa naletewa vipeperushi na baada ya kuona siitikii wito imefikia hatua wanatumwa mabinti kuniletea hiyo mialiko. Tatizo kubwa ambalo limenifanya kuwa mzito kuitikia huu wito ni Uzi uliowahi kuletwa hapa jamiiforum ambapo wachangiaji wengi walionyesha wasiwasi na hii kampuni. Juzi nililetewa na Dada mmoja kitabu cha watu mbalimbali waliojiunga Forever na kupata mafanikio makubwa hadi akili ikawa kama nimepigwa ganzi na hadi sasa huenda nikajiunga lakini kabla ya kujipeleka huko naomba ushauri kwa mara ya mwisho.
Wameandika hao watu wamekumbana na mafanikio baada ya muda gani?
Cheki Hapa wanavyojibaragua
Biashara yenye pesa watu huwa awasemi aisei...!
Aiseeee!! hivi kumbe huyu Dada ananidharau kiasi hiki😡? ngoja aje tawawekea mguu wake nimeuvunja hapa!
Habarini wadau.
Ninaelimishwa Sana na mada zijadiliwazo humu ndani. Leo natamani kuelimishwa kuhusu membership za kampuni za gnld, forever living na nyinginezo Kama hizi.
Ni Mara ya tatu sasa wanakuja kwangu na ushawishi mkubwa kwamba kampuni hizi zitanipa faida kubwa yaani nitatoka kimaisha.
Sina wasiwasi na products zao nna wasiwasi na mafanikio makubwa wayapatao wanachama kwa kadri uongezavyo watu. Wasiwasi wangu sasa ni huu; hakuna uhusiano wa kampuni hizi na free mason? Mbona hatusikii zikijitangaza kwenye vyombo vya habari?
Kama kuna faida kubwa kuwa huko mbona basi watu wasiache ajira zao na biashara zao na kujiunga na kampuni hizo? Msaada jamani. Pesa naipenda ila zina mipaka yake