jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Mkuu Laki si pesa jaribu kunipa uelewa wako kuhusu hawa Forever
Ni hivi ukisha jiunga kuna mjanja atalipwa laki mbili kwa kujiunga kwako ndo maana wanakufata fata sana na baada ya wewe kujiunga ukifanikiwa kumshawishi boya mwengine akajiunga unapewa laki mbili. kila utakaemshawishi akajiunga utapewa laki mbili yaani ni jitihada zako tu za kusaka mbululazz ili wajiunge nawe uzidi kupata laki mbili mbili huku ukiuuza Bidhaa uchwara zenye nembo ya f living