ctl jr
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 391
- 86
Ukiwaambia kuwa hao ni matapeli mnakosana kabisa. Elimu hii iende na kwa wengine. Niwe mkweli hawa watu hii biashara si ya kuwashirikisha watu wanaotaka kufanya ujasiriamali wenye maendeleo ya kweli sio hii biashara.
Mkuu nimeshuhudia mwenyewe cjui nan atakuja kunishawishi nikubaliane nae, alafu ukiwasikia kwny marketing zao wanaelezea positive lakn upande wa negative hawaugusi, ukiwasikiliza utajiona baada ya mwezi utakuwa tajiri! Illusions!!!