Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
wakuu kwanza poleni....
serikali haijakaa kimya kwa kifupi two to three week from today mtaona kazi ya serikali kwa sababu kuwapiga marufuku kunatakiwa kushirikisha wizara kadhaa.
tulipongeze jeshi la polisi kwa sababu ni siku nyingi tu wamekuwa wakitaka kupiga marufuku biashara hii haramu ya consumer fraud lakini changamoto ni mambo ya protokali za kisheria.
ushauri usijiunge, kama ndugu yako au rafiki yako yupo huko auze bidhaa fasta vinginevyo itakula kwake muda si mrefu
Good..cant wait for a swift action ..kamaya erolink..umesema kama wiki tatu sio..watu wangi wameumia sana