Mtanzania anakuwa mpambe wake wa kumsaidia kukusumbua 🤣🤣🤣🤣Hahhaah aisee huyo mzambia dah ungekuwepo hapo alafu lazima waje wawili na mtanzania mmoja utashusha sample zotee
Utaongea kingereza chote
Mungu azidi kutubariki na anatubariki maana eeeh sio poa mapambano sio kitoto
The customer is always right….That is rule no.1Unawasikiliza tu usiwajibu chochote akimaliza unaendelea kumhudumia.
Hapo bado kuna ambao ukiwaambia walipie kabisa ndo umtumie mzigo wanakuambia tapeli yaani acha tu😥😥
Oooh kumbe ni hapo? Au ni kwa Gespo?Hizi frame mpya za hapa Bomb2 stand kwa juu.. Inaanza Oryx gas inafika ya kwangu Karibu sana... Vijana wangu wako poa sana hutajutia[emoji173][emoji120]
Wateja wengi wa nje mwanzoni hawana shida ila wakishaanza kuzoea mazingira na wakawa added kwenye magroup ya kazi wanaanza uswahili na waoMtanzania anakuwa mpambe wake wa kumsaidia kukusumbua 🤣🤣🤣🤣
Kuna dogo anakujaga nao ananiambia sister niwekee ya maji, tena akizoea usimkopeshe utajuta..!!
Mimi wateja wangu wengi wa jumla, wa kuchukua piece chache wanahesabika, namshukuru Mungu kwa hilo.
Una roho ndogo sana, vitu vingine unapotezea tu, maana yeye huko aliko hata hakuwazi!Alinigombeza
Anataka free delivery kutoka temeke mpaka lugalo mzigo wa 70,000/= sijui mjeshi yule ….aliniaribia siku jana inagne hadi leo namuwaza
Halafu wanaanza kufananisha bei za maduka mengine, ukimuelekeza mbishi. Kuna siku aliuziwa bidhaa na winga km ninayouza ila low quality wee alilia huku kanipigia video call nimsaidie kumtafuta aliyemuuzia…. Nikamwambia hiyo kazi hatufanyi ww uza kwa bei ya hasara, next time ukija uwe umejifunza..!!Wateja wengi wa nje mwanzoni hawana shida ila wakishaanza kuzoea mazingira na wakawa added kwenye magroup ya kazi wanaanza uswahili na wao
Kisa nna tako basi ananiita tikisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku hz case za mawinga ni chache maana saiv watu wana access ya group la dukani kbs wanaona sample, kias na beiHalafu wanaanza kufananisha bei za maduka mengine, ukimuelekeza mbishi. Kuna siku aliuziwa bidhaa km ninayouza ila low quality na winga wee alilia huku kanipigia video call nimsaidie kumtafuta aliyemuuzia…. Nikamwambia hiyo kazi hatufanyi ww uza kwa bei ya hasara, next time ukija uwe umejifunza..!!
Ss hivi hataki kusikia lolote kutoka kwa mawinga🤣🤣🤣🤣
Hawa wengi wanakuwaga wafanya kazi wa serikali wenye vyeo kidogo au watu flani hivi mabosi wao wamezoea kila kitu kuamrishaSi ndo hapo sasa, yani alijiona mfalme kweli.....akipiga simu nikichelewa kupokea ananifokea yani unaeza dhani ndo faza hausi
Wabongo kwenye hii huduma wamekuwa tofauti sanaWabongo ndio sijawahi kuwaelewa hawa wa niletee nikulipe, hiyo huduma nilifuta.. njoo dukani hutaki basi.
Mkuu hiyo biashara itakuwa uko peke yako hilo eneo😅, uzuri wa buz ili arudi mpokee vizuri mwelekeze bidhaa na beiMimi kwny biashara yangu huwa sibembelezi mteja wala sikaribishi mteja
Biashara nzuri ni ile inayojiuza yenyewe
Nafanya biashara ambayo mteja lazima aje anunue tuMkuu hiyo biashara itakuwa uko peke yako hilo eneo😅, uzuri wa buz ili arudi mpokee vizuri mwelekeze bidhaa na bei
Ila kuna wale wajuaji huwa mimi narudi nyuma mpaka sitaki kuongea sana maana kila unachomwelekeza kwake anapokea negative
Mfano unamtajia bei laki 2 anakwambia mbona wenzio wanauza laki 1 , alafu anaitaka hataki kwenda kwa huyo wa laki1
Niliwahi Kutana na mteja alinitukana kwa sababu alitaka bidhaa anatoa hela Yani ipo chini ya mtaji ananiambia Yani una mambo ya ajabu Yani unakataa hela, nilimshangaa nikakaa kimya.
Weew😳😳 Kumbe hadi crespo unamjua???.. Usije ukawa unanifahamu na mimi,, mama weeee🥺🤒😂😂Oooh kumbe ni hapo? Au ni kwa Gespo?
Ntakaribia hayo maeneo. [emoji8][emoji8]
KwakweliThe customer is always right….That is rule no.1
Kwakweli mtu kama hataki aje tu dukani, mambo ya kubembelezana sometimes yanakera basi tu yaniWabongo ndio sijawahi kuwaelewa hawa wa niletee nikulipe, hiyo huduma nilifuta.. njoo dukani hutaki basi.
Potelea pote ila mteja sio kunifokea dada masai siwezi kumvumilia , biashara ni ukarimu na kuwa na lugha nzuri ila mh eti anipelekeshe aisee sitawezaUbaya wa hii biashara yangu tunaouza tupo katikati ya matajiriyaano wanaoweza kufunga mzigo mkubwa
Sasa wewe jichanganye uone
Hatupo wengi sana ila kuna matajiri wanafunga mzigo mkubwa ambao kushindana nao yabidi uwe na extra udambwi udambwi
Afu kingine aina hii ya biashara wateja wana magroup ambayo ni very common
Ukizinguana na mteja anaenda kukesema kwenye group la community watu 1000
Mimi pia nina group la watu 500 plus
Ukisemwa kwenye group moja habari inasambaa kama moto wa nyikani
Utajua ujui