Pre GE2025 Mngependa nani awe Kampeni Meneja wa Rais Samia hapo mwakani?

Pre GE2025 Mngependa nani awe Kampeni Meneja wa Rais Samia hapo mwakani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Najipendekeza mwenyewe , ila kwa starti moja tu lazima abaki na kura halali hakuna cha bao la mkono
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Peter Msigwa atafaa sana 😍
 
Mabango yote mliyoweka nchi nzima bado mnataka kufanya na kampeni? Simnasema kizuri chajiuza hela zakampeni mkafanyie maendeleo mana picha na mabango so far ni nyingi kuliko wapiga kura😄😄😄
Nimesema kwa ajili ya kutimiza wajibu na ratiba tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jokate na Upendo Peneza wanaiweza hiyo kazi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Vyombo vya dola na wahesabu kura wanatosha kwenye hizo chaguzi za kishenzi.
 
Ninyi CHADEMA hakuna wakuwapeni kura maana ni wababaishaji na madalali tu wa siasa.
Nasema hivi, kwenye hizo chaguzi za kishenzi vyombo vya dola na wahesabu kura ndio mpango mzima sio zaidi ya hapo. Hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki hizo chaguzi za kipuuzi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa kuwa Mwakani ni uchaguzi Mkuu wa udiwani ,ubunge na Urais. Na kwa kuwa Fomu ni moja tu ya Urais ndani ya CCM kwa ajili na maalumu kwa Mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,na kwa kuwa ndio chaguo la mamilioni ya watanzania kutokana na makubwa aliyoyafanya ndani ya muda mfupi wa uongozi wake na kugusa maisha ya mamilioni ya watanzania.

Niilikuwa nauliza katika kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu tu mngependa Nani awe Kampeni Meneja wa Mama yetu Mpendwa? Nasema kukamilisha ratiba na kutimiza wajibu kwa sababu mpaka sasa Rais Samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika kuliko mtu Mwingine yeyote yule,ni kiongozi ambaye tayari ameshashinda katika mioyo ya watanzania,ni kiongozi ambaye hana wa kumzuia ,wala hakuna mtu mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu wala ushawishi wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura na mahali pengine popote pale.

Kwangu mimi nilikuwa napendekeza mtu huyo awe ni mtu mwenye kujiamini,mwenye uwezo na pumzi kubwa ya kuweza kuzungumza jukwaani bila kuchoka lakini Mwenye kuzungumza kwa umakini,hoja na mtiririko mzuri.awe ni mtu anayefahamu vyema sana na kwa undani nini chama kiliahidi katika uchaguzi uliopita,nini kimetekeleza na kwa kiwago gani.

Mtu huyu awe na uwezo na umahiri mzuri katika lugha na kuitumia katika namna itakayovuta na kuteka hisia za watu hadi kuwabubujisha machozi ya furaha makundi yote.,awe na uwezo wa kutetea hoja na kuifafanua katika namna ambayo mwananchi wa kawaida hata asiye na Elimu ataelewa vyema sana.awe na uwezo wa kuzungumza kwa utaratibu na kwa sauti yenye kuteka hisia za watu.awe na uwezo wa kuyasoma mazingira kwa uharaka na kubadilika kwa uharaka na kujuwa namna gani ya kupata usikivu wa watu.

Awe na uwezo na ufahamu na maarifa ya kuwaeleza watu ni wapi tumetoka ,wapi tupo na wapi chama kingependa tuelekee na mafanikio ambayo tumeyapata Kama Taifa. Awe ni mtu mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali. Ajuwe namna ya kucheza na hadhira na kuiteka na ajuwe namna ya kuanza na kumaliza hotuba yake katika namna ya kuvutia.. awe mtu anayeweza kuzungumza katika namna itakayohakikisha hakuna kundi linaachwa nyuma au kutokuguswa kisera.

Lakini pia ni lazima mtu huyo awe muadilifu,mchapa kazi ,asiye na madoa au taswira mbaya kwa watu na jamii kwa ujumla,yeye binafsi awe anakubalika na mwenye uwezo wa kumnadi mgombea wetu kwa uhodari na umahiri wa hali ya juu sana.ikiwa ni pamoja na kubadilika kulingana na mazingira na mahitaji ya eneo au kanda husika .mfano mahitaji ya wakulima wa nyanda za juu kusini ni tofauti na mahitaji ya watu wanaoishi Dar.mfano ukija nyanda za juu kusini wapiga kura watahitaji kusikia habari za pembejeo hususani mbolea,bei ya mazao yao, miundombinu hususani barabara,huduma za kijamii kama vile afya,elimu,maji,n.k.

wakati watu wa Dar masuala ya pembejeo kama vile mbolea siyo kipaombele na hitaji lao la msingi na Muhimu au kero yao.wao watahitaji kusikia habari za upatikanaji wa maji safi na salama, barabara nzuri,usafiri mzuri na kupunguza foleni na nauli jijini kupitia barabara na magari ya mwendo kasi,ajira kwa vijana ,mazingira mazuri kwa wafanya biashara,mikopo kwa vijana,akina mama na watu wenye ulemavu.huduma bora za afya n.k.View attachment 3047760

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpe majukumu hayo baba Yako
 
Back
Top Bottom