Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
maisha yameanza kurudi 2005 enzi za Kikwete hakuna kuoneana wivu, kazi kazi, sasa hivi ni " HARI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA"Vp lakini kwa sasa maendeleo yAke?
Mji unakuwa na kama una uwezo kawekeze pale, ila panda miti mingi kulinda mazingira, usiwe kama wasukuma wa hapa wanakata miti yote na kukimbilia mikoa mingine.