Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
- Thread starter
- #41
Duh...Tatizo la huko ni ushamba mwingi na ushirikina kipindi cha nyuma kulikuwa na ujambazi ila kwasasa kumepoa Pako vizuri ni mji unaochipukia ila hakuna mipango miji kama Miji mingine ya Tanzania